Nimepata mchumba kanisani kwenye Morning and Evening Glory, Novemba 2023 naolewa

Nimepata mchumba kanisani kwenye Morning and Evening Glory, Novemba 2023 naolewa

Hiyo ni hewa tu, kaend kwenye maombi tafuta mume, Mume naye kaenda huko anasema huyu mtii na anapenda Mungu, kumbe targeted Market..
bro mbona uko na makasiriko? au kausha damu ijumaa?!
 
skia hii, jana nilikuwa napewa stori na dada mmoja anakaribiwa kuolewa

nikamwuliza amempataje mpenzi wake

akanijibu

Dada: nimempata kwenye morning and evening glory nilikuwa naenda kila siku kanisani, kumbe huyo kaka akaniona akanipenda akawa anapima frequency ya kuja kanisani kama na beep au namaanisha

basi baada ya mwaka mmoja akani approach asijue kuwa niko singo mimi tena kwa muda wa miaka 3

tuka exchange namba, tukaanza mawasiliano, baada ya mwaka akaomba wazee wake waje akutane na wazazi wangu!

Money Penny: kwahiyo hamjazini mwaka wote huo?

Dada: hatujazini boss hata ku kiss! nilimwambia nimetoka kwenye very painfull relationship, nimekaa miaka 3 sitaki kusikia kuzini mpaka kwenye ndoa....
ni kweli yale maombi ya morning na evening glory yamenisaidia sana, nilikuwa naenda kwa Bwana Yesu, Bwnaa Yesu akanipa Bwana Mume (My Lord)!

Money Penny: Haya haya sasa! nyie wenzetu mnaendaga wapi kupata waume?

jamani muende kanisani, ohooo! Yesu anatoa waume kama mvua huku Morning Glory!, ila usiende kudanga tu!
Na sisi wa upande wa pili tuje kanisani au?
 
me nadhani kabla hujahukumu, ungerudia kusoma uzi, ameeleza vizuri kuwa hayuko desperate!
Nimeusoma. Na wala sijasema yuko desperate. Hakuna niliposema hilo.

Lakini hata hivyo, mtu kusema hayuko desperate haina maana kwamba hayuko desperate.

Nyuzi hizi, wingi wake, mnavyoulizanaulizana, mnatuletea maswali.

Hivi, kumpata mchumba wa kiume kwa sasa ni kitu fulani big deal hivyo?

Au inakuwaje mpaka tuone habari hizi zinakuwa front sana?

Wanawake wanakwenda makanisani sana, wengine ni kama wanahamia huko, wanawake wanaroga sana.

Kutaka kuolewa tu.

Tatizo ni nini?

Hakuna waoaji?

Wanawake wenyewe wana anxiety tu?

Mbona hivi?
 
Nimeusoma. Na wala sijasema yuko desperate. Hakuna niliposema hilo.

Lakini hata hivyo, mtu kusema hayuko desperate haina maana kwamba hayuko desperate.

Nyuzi hizi, wingi wake, mnavyoulizanaulizana, mnatuletea maswali.

Hivi, kumpata mchumba wa kiume kwa sasa ni kitu fulani big deal hivyo?

Au inakuwaje mpaka tuone habari hizi zinakuwa front sana?

Wanawake wanakwenda makanisani sana, wengine ni kama wanahamia huko, wanawake wanaroga sana.

Kutaka kuolewa tu.

Tatizo ni nini?

Hakuna waoaji?

Wanawake wenyewe wana anxiety tu?

Mbona hivi?
si mmegoma kuzama chumvini? mnatakaje?!
 
Preeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeach Preacher! [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Unaelewa kuwa unakataa kwamba wanawake wako desperate, halafu unakubali kuwa competition inakuwa kubwa hivyo una imply kuwa wanawake wanazidi kuwa desperate by simple laws of demand and supply hapohapo?
 
Unaelewa kuwa unakataa kwamba wanawake wako desperate, halafu unakubali kuwa competition inakuwa kubwa hivyo una imply kuwa wanawake wanazidi kuwa desperate by simple laws of demand and supply hapohapo?
sio kweli, nachounga mkono ni kwamba Bwana Yesu bado anatoa waume kama mvua!
 
Tatizo mkivua nguo tu Getto linachange atmosphere panageuka forodhani.. nani akaweke kinywa chake anachofanyia ibada kwenye huo mgodi
kuna uzi nauandaa kwa ajili yako utalala unalia!
 
Back
Top Bottom