Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Hata mvua nazo siku hizi hazieleweki kutokana na mabadiliko ya tabianchi.sio kweli, nachounga mkono ni kwamba Bwana Yesu bado anatoa waume kama mvua!
Huyo Bwana Yesu mwenyewe aligoma kuoa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata mvua nazo siku hizi hazieleweki kutokana na mabadiliko ya tabianchi.sio kweli, nachounga mkono ni kwamba Bwana Yesu bado anatoa waume kama mvua!
hakuja kuoa alikuja kwenye KAZI MAALUMHata mvua nazo siku hizi hazieleweki kutokana na mabadiliko ya tabianchi.
Huyo Bwana Yesu mwenyewe aligoma kuoa!
Lazima itahusu mwamba ambae big bom yake ipo kwenye misiti na nyika 🤣🤣kuna uzi nauandaa kwa ajili yako utalala unalia!
yani hautoamini we usibiria!Lazima itahusu mwamba ambae big bom yake ipo kwenye misiti na nyika 🤣🤣
Vp hiyo mvua imekunyeshea pia?🤭sio kweli, nachounga mkono ni kwamba Bwana Yesu bado anatoa waume kama mvua!
Saa ngapi sasa hii pdf unaitoayani hautoamini we usibiria!
ilininyeshea mwaka 1960, KKKT AZANIA FRONTVp hiyo mvua imekunyeshea pia?🤭
SIKU NA SAA USIOIJUASaa ngapi sasa hii pdf unaitoa
Weeee, uko na risiti au kapicha?Hahaha mchujo wa frikwensi. Wengi wameishia hapo.
Usisahau kunitag ili nije kumtetea jamaaSIKU NA SAA USIOIJUA
SAUWA SAWAUsisahau kunitag ili nije kumtetea jamaa
Umemwonjesha mara ngapi?skia hii, jana nilikuwa napewa stori na dada mmoja anakaribiwa kuolewa
nikamwuliza amempataje mpenzi wake
akanijibu
Dada: nimempata kwenye morning and evening glory nilikuwa naenda kila siku kanisani, kumbe huyo kaka akaniona akanipenda akawa anapima frequency ya kuja kanisani kama na beep au namaanisha
basi baada ya mwaka mmoja akani approach asijue kuwa niko singo mimi tena kwa muda wa miaka 3
tuka exchange namba, tukaanza mawasiliano, baada ya mwaka akaomba wazee wake waje akutane na wazazi wangu!
Money Penny: kwahiyo hamjazini mwaka wote huo?
Dada: hatujazini boss hata ku kiss! nilimwambia nimetoka kwenye very painfull relationship, nimekaa miaka 3 sitaki kusikia kuzini mpaka kwenye ndoa....
ni kweli yale maombi ya morning na evening glory yamenisaidia sana, nilikuwa naenda kwa Bwana Yesu, Bwnaa Yesu akanipa Bwana Mume (My Lord)!
Money Penny: Haya haya sasa! nyie wenzetu mnaendaga wapi kupata waume?
jamani muende kanisani, ohooo! Yesu anatoa waume kama mvua huku Morning Glory!, ila usiende kudanga tu!
Kasema hatoi!Umemwonjesha mara ngapi?
Mbuzi kwenye gunia na wakati mwingine atakutana na mkono wa mtoto au mwingine hana lile tundu isipokuwa la mkojo tu.Kua uyaoneKasema hatoi!
sasa mbuzi kwenye gunia mbona amekaa nae mwaka mzima?Mbuzi kwenye gunia na wakati mwingine atakutana na mkono wa mtoto au mwingine hana lile tundu isipokuwa la mkojo tu.Kua uyaone
wata du kwenye ndoa,Hao wakishadu tu watachukiana.
Kumbukumbu muhm sanaaWeeee, uko na risiti au kapicha
Anakutana na kakibamiawata du kwenye ndoa,
karibu kanisani!