Nimepata mchumba kanisani kwenye Morning and Evening Glory, Novemba 2023 naolewa

Nimepata mchumba kanisani kwenye Morning and Evening Glory, Novemba 2023 naolewa

A coping mechanism for the masses.

Nioneshe kosa liko wapi.

Weka parts of speech, grammar, spelling, hiki hakitakiwi kuwa hivi, hiki hakitakiwi kuwa hapa, kwa sababu hii.

Tuone utanifundisha mimi au mimi ndiye nitakufundisha wewe.
sio kazi yangu, sikukuambia u comment broken english!
 
sio kazi yangu, sikukuambia u comment broken english!
Hujaionesha hiyo broken english.

Unalazimisha tu.

Hiyo english imepimwa kwa energy level ya Large Hadron Collider, Google that.

Ni wewe usiyejua kusoma sijui una dyslexia au Maimuna tu, halafu unanisingizia mimi.

Yani ushuzi unajamba wewe, lawama unanipa mimi.

Wewe ndiye usiyejua Kiingereza, halafu lawama unanipa mimi.
 
Kwa kawaida hii ni mishangazi iliyochezea ujana kwa nyodo kibao
ikiwemo kuolewa kwa ndoa bubu na vibaharia visivyo na malengo yo yote huko vyuoni sasa imevuka 30yrs ipo kwenye panic mode inasaka wanaume kila kona na kwa mbinu zo zote zile. Mingi imeshatumika sana kingono sasa inatafuta mtu wa kumtwisha mtu zigo la misumari. Nenda kwa Mwamposa ukaone ilivyojazana. Sad! [emoji706][emoji706][emoji706]
Na kwa uzushi huu wa kumtaja Yesu kimkakati hapa, wakati tunaona maneno yao hapa hayafanani na mafunzo ya Yesu bado watahangaika sana.

Inaonekana watu wanaenda kanisani kudanga sasa.

Wamemaliza bar, saluni, club, mitandao, kwa waganga wa kienyeji, sasa kivumbi kanisani [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Na kwa uzushi huu wa kumtaja Yesu kimkakati hapa, wakati tunaona maneno yao hapa hayafanani na mafunzo ya Yesu bado watahangaika sana.

Inaonekana watu wanaenda kanisani kudanga sasa.

Wamemaliza bar, saluni, club, mitandao, sasa kivumbi kanisani [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
bwana we tulia na english yako ya manzese,
ila i thank you though! unachangamsha uzi unazidi kukaa namba 1 kwa comment zako!
 
Kwa kawaida hii ni mishangazi iliyochezea ujana kwa nyodo kibao
ikiwemo kuolewa kwa ndoa bubu na vibaharia visivyo na malengo yo yote huko vyuoni sasa imevuka 30yrs ipo kwenye panic mode inasaka wanaume kila kona na kwa mbinu zo zote zile. Mingi imeshatumika sana kingono (ikiwemo kutoa mimba kadhaa) sasa inatafuta mtu wa kumtwisha mtu zigo la misumari. Nenda kwa Mwamposa ukaone ilivyojazana. Sad! 🚮🚮🚮
watu wameolewa na miaka 38, 48, 53, 60, 70 itakuwa 30?
 
skia hii, jana nilikuwa napewa stori na dada mmoja anakaribiwa kuolewa

nikamwuliza amempataje mpenzi wake

akanijibu

Dada: nimempata kwenye morning and evening glory nilikuwa naenda kila siku kanisani, kumbe huyo kaka akaniona akanipenda akawa anapima frequency ya kuja kanisani kama na beep au namaanisha

basi baada ya mwaka mmoja akani approach asijue kuwa niko singo mimi tena kwa muda wa miaka 3

tuka exchange namba, tukaanza mawasiliano, baada ya mwaka akaomba wazee wake waje akutane na wazazi wangu!

Money Penny: kwahiyo hamjazini mwaka wote huo?

Dada: hatujazini boss hata ku kiss! nilimwambia nimetoka kwenye very painfull relationship, nimekaa miaka 3 sitaki kusikia kuzini mpaka kwenye ndoa....
ni kweli yale maombi ya morning na evening glory yamenisaidia sana, nilikuwa naenda kwa Bwana Yesu, Bwnaa Yesu akanipa Bwana Mume (My Lord)!

Money Penny: Haya haya sasa! nyie wenzetu mnaendaga wapi kupata waume?

jamani muende kanisani, ohooo! Yesu anatoa waume kama mvua huku Morning Glory!, ila usiende kudanga tu!
Ili kama tangazo
 
Suala la kuolewa Tanzania liko overrated [emoji1783]
Ndiyo na mimi nashangaa bidada anaanzisha uzi baada ya uzi kwenye maada hii, kama yupo obsessed vile.

Yani kuolewa kunakuwa kama Nobel prize.

I am like, what's going on here?

Tuna tatizo hili au tunajitengenezea anxiety tu?

Lakini, dada mkubwa ujue mwanamke mmoja anaweza kuwa amesimama vizuri, ana kazi/ biashara nzuri, amesoma vizuri, ana family support structure nzuri, watu wa familia yake wamesoma vizuri, wamesafiri sehemu mbalimbali duniani na kuona watu tofauti wanavyoishi, hawana pressure za kibongo za kutaka mtu aolewe.

Kwa mwanamke kama huyo, anaweza kusema suala la kuolewa Tanzania liko overrated, na akawa sahihi.

Sasa, hapo hapo umkute mwenzangunamie Maimuna pangu pakavu tia mchuzi, hana elimu, hana family support, tena inawezekana yeye ndiye anaangaliwa na family kutoa support, hana kazi/biashara, hana ujanja wowote zaidi ya kudanga.

Huyo ukimwambia suala la kuolewa Tanzania liko overrated atakuona wewe mchawi, mnaweza kupigana.
 
Back
Top Bottom