Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
- Thread starter
-
- #21
bro mbona uko na makasiriko? au kausha damu ijumaa?!Hiyo ni hewa tu, kaend kwenye maombi tafuta mume, Mume naye kaenda huko anasema huyu mtii na anapenda Mungu, kumbe targeted Market..
Na sisi wa upande wa pili tuje kanisani au?skia hii, jana nilikuwa napewa stori na dada mmoja anakaribiwa kuolewa
nikamwuliza amempataje mpenzi wake
akanijibu
Dada: nimempata kwenye morning and evening glory nilikuwa naenda kila siku kanisani, kumbe huyo kaka akaniona akanipenda akawa anapima frequency ya kuja kanisani kama na beep au namaanisha
basi baada ya mwaka mmoja akani approach asijue kuwa niko singo mimi tena kwa muda wa miaka 3
tuka exchange namba, tukaanza mawasiliano, baada ya mwaka akaomba wazee wake waje akutane na wazazi wangu!
Money Penny: kwahiyo hamjazini mwaka wote huo?
Dada: hatujazini boss hata ku kiss! nilimwambia nimetoka kwenye very painfull relationship, nimekaa miaka 3 sitaki kusikia kuzini mpaka kwenye ndoa....
ni kweli yale maombi ya morning na evening glory yamenisaidia sana, nilikuwa naenda kwa Bwana Yesu, Bwnaa Yesu akanipa Bwana Mume (My Lord)!
Money Penny: Haya haya sasa! nyie wenzetu mnaendaga wapi kupata waume?
jamani muende kanisani, ohooo! Yesu anatoa waume kama mvua huku Morning Glory!, ila usiende kudanga tu!
Preeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeach Preacher! 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kila siku Vijana wanakua mashoga, kwahio competition inazidi kuwa kubwa
Uje ukimtafuta Bwana Yesu lakini!Na sisi wa upande wa pili tuke kanisani pia?
Nimeusoma. Na wala sijasema yuko desperate. Hakuna niliposema hilo.me nadhani kabla hujahukumu, ungerudia kusoma uzi, ameeleza vizuri kuwa hayuko desperate!
Nikija kwa sababu ya pisi tu?Uje ukimtafuta Bwana Yesu lakini!
bro mbona uko na makasiriko? au kausha damu ijumaa?!
si mmegoma kuzama chumvini? mnatakaje?!Nimeusoma. Na wala sijasema yuko desperate. Hakuna niliposema hilo.
Lakini hata hivyo, mtu kusema hayuko desperate haina maana kwamba hayuko desperate.
Nyuzi hizi, wingi wake, mnavyoulizanaulizana, mnatuletea maswali.
Hivi, kumpata mchumba wa kiume kwa sasa ni kitu fulani big deal hivyo?
Au inakuwaje mpaka tuone habari hizi zinakuwa front sana?
Wanawake wanakwenda makanisani sana, wengine ni kama wanahamia huko, wanawake wanaroga sana.
Kutaka kuolewa tu.
Tatizo ni nini?
Hakuna waoaji?
Wanawake wenyewe wana anxiety tu?
Mbona hivi?
utaondoka na agent wa shetraaaniNikija kwa sababu ya pisi tu?
Amina mtumishi!Mi nlikutana nae bandarini sema bado tunasomana 😁akikaa powa 2030 mtakula pilau
kausha damu oyee!Comment hiyo, nakasiria watu nisiowajua fala.
Unaelewa kuwa unakataa kwamba wanawake wako desperate, halafu unakubali kuwa competition inakuwa kubwa hivyo una imply kuwa wanawake wanazidi kuwa desperate by simple laws of demand and supply hapohapo?Preeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeach Preacher! [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tatizo mkivua nguo tu Getto linachange atmosphere panageuka forodhani.. nani akaweke kinywa chake anachofanyia ibada kwenye huo mgodisi mmegoma kuzama chumvini? mnatakaje?!
sio kweli, nachounga mkono ni kwamba Bwana Yesu bado anatoa waume kama mvua!Unaelewa kuwa unakataa kwamba wanawake wako desperate, halafu unakubali kuwa competition inakuwa kubwa hivyo una imply kuwa wanawake wanazidi kuwa desperate by simple laws of demand and supply hapohapo?
This is a buyer's market my dear. [emoji1787][emoji1787][emoji1787].si mmegoma kuzama chumvini? mnatakaje?!
Na AGENT wenyewe ndio hizo pisiutaondoka na agent wa shetraaani
kuna uzi nauandaa kwa ajili yako utalala unalia!Tatizo mkivua nguo tu Getto linachange atmosphere panageuka forodhani.. nani akaweke kinywa chake anachofanyia ibada kwenye huo mgodi
It's Jesus's market bro!This is a buyer's market my dear. [emoji1787][emoji1787][emoji1787].
ndio maana mnagoma kuzama maana ma agent watraaachaaaafuuuNa AGENT wenyewe ndio hizo pisi