Nimepata mchumba kanisani kwenye Morning and Evening Glory, Novemba 2023 naolewa

money mi nakutaka
 
Umepiga mule mule mkuu.
Wadangaji wamevamia kanisa😬

Hukoseagi Kiranga.
Huu uzi wenyewe mtego.
 
Umepiga mule mule mkuu.
Wadangaji wamevamia kanisa😬

Hukoseagi Kiranga.
Huu uzi wenyewe mtego.
to deal with matapeli nayo ni kazi, basi panda hapo juu uwaone wadangaji wenzako wanavyopata waume! hapo juu kidogo utaona
 
Fellowship, morning glory, vikundi vya kwaya, vikundi vya sala huko makanisani vimetoa ndoa nyingi sana.
Binafsi ni mfaidaka wa hilo japo kupata ile perfect sio rahisi sana.
 
Ni hadithi ndio lakini kwanini hadithi zako ni za kidangaji tu😬😬

Au kwa vile mja hunena yaujazayo moyo wake??😬😬
wapi nimeandika kudanga?!
au kidhungu hujui!😆😆😆😆
 
Kuwa na afya ya akili ni jambo zuri.

Hata hadithi unayoamua kuihadithia inasema kitu kuhusu wewe, vinginevyo, usingeichagua hadithi hiyo kati ya zote ambazo ungeweza kuchagua.

Naongea na dada mkubwa saa hizi.
Mja hunena yaujazayo moyo wake mkuu.

Mpishi ataongelea chakula.
Mwalimu ataongelea a e i o u na
mdangaji ataongelea mbinu za kupata madanga😬😬
 
Mja hunena yaujazayo moyo wake mkuu.

Mpishi ataongelea chakula.
Mwalimu ataongelea a e i o u na
mdangaji ataongelea mbinu za kupata madanga😬😬
na tapeli ataongelea utapeli wake
tumekushtukia bro jaribu kwengine!
 
Kwa mwanamke mwenye kipato chake ndoa is not a big deal kihivyo.

Na huko mtaani mbona watu wanaolewa tu kila siku?

Wenye kuona wanaume ni wachache ni wale wanawake hohe hahe wako desparate waolewe wahudumiwe😬
 
Fellowship, morning glory, vikundi vya kwaya, vikundi vya sala huko makanisani vimetoa ndoa nyingi sana.
Binafsi ni mfaidaka wa hilo japo kupata ile perfect sio rahisi sana.
Amina mtumishi
achana na huyu tapeli father-xmas anajifanya mtoto wa mjini kumbe kuku tu la kuzimu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…