kinyamkela mahaba
JF-Expert Member
- May 4, 2022
- 1,178
- 1,596
Hivi mtoa post ni dume au jike?Mfadhili yeye huwa na mlengo upi wa ufadhili wake.
Maeneo gani huyapa kipaumbele na yepi hayagusi kabisa?
Ukishapata japo. Njoo tukupe maujanja uweze kuandika mradi uwasaidie walengwa
Kama uko serious kweli nione inbox tuyajenge .... yaani unapeleka mradu wa elimu kabisa!Habarini wakuu,
Nina swali zito naombeni majibu yake.
Nimepata mfadhili mmoja katika tafuta zangu. Ameniambia nitafute mradi mmoja wa kuwekeza unaoweza kugharimu billioni 116.
Je, ni mradi gani mmoja mkubwa ambao unaweza kugharimu Tsh. billioni 116.
Niliandika miradi yangu mitatu. Miwili ya mafuta na gesi. Na mmoja wa mambo ya elimu. Ila imeonekana ni midogo. Imeonekana haifiki hata Tsh billioni 10. Hivyo nimepewa nafasi ya kutafuta mradi mwingine.
Najua hapa kuna wakubwa wenye uwezo wa kuwaza kuliko Mimi.
Nipo hapa kupata mawazo yenu
Ahsanteni sana
Kuliwa kiaje? Kwani kakuambia mtoa post ni ke?Na kuliwa mliwe na pesa mkose
Nakwel kabsa huyu kaliwa bado kafichwa kwenye kivuli cha illusion ili aendelee kuliwaNa kuliwa mliwe na pesa mkose
Mwombe Mungu akupe kuwaza mambo yaliyomema. Mwombe Mungu sana. Mawazo haya ni dalili mbaya katika maisha yako. Mwisho wa kunukuu..Nakwel kabsa huyu kaliwa bado kafichwa kwenye kivuli cha illusion ili aendelee kuliwa
Waza mirad tu likichoka kujipigia utaskia hamna mazingira mazur ya uwekezaj tanzania
HahahHivi mtoa post ni dume au jike?
Mbona kama dume hili!Hahah
Aje ajieleze
Sisi wataalam wa mahusiano tumekushtukia kuwa umeshamfata PM na kakutoa nduki.Mbona kama dume hili!
Ooh,kumbeSisi wataalam wa mahusiano tumekushtukia kuwa umeshamfata PM na kakutoa nduki.
Msaodie kwanza mengine majaliwa
Wabongo wamefanyaje boss. Mbona hizo ndio pesa zinasimamiwa na mawaziri na wakuu wetu wa wilaya. Sasa ni nini kinakutisha hapo.Sema wabongo wacha nipite
Yan wanajudge mtu ata humjui ni nan badala ya kuandika mi naogopa sana kujudge mtu aliyebehind fake idWabongo wamefanyaje boss. Mbona hizo ndio pesa zinasimamiwa na mawaziri na wakuu wetu wa wilaya. Sasa ni nini kinakutisha hapo.
Miaka ileee wakati sijajua matapeli vizuri, dah walinifanya niandike project proposal usiku na mchana Hadi mgongo ukauma! Just to realize kuwa ni matepeli! mbwaHabarini wakuu,
Nina swali zito naombeni majibu yake.
Nimepata mfadhili mmoja katika tafuta zangu. Ameniambia nitafute mradi mmoja wa kuwekeza unaoweza kugharimu billioni 116.
Je, ni mradi gani mmoja mkubwa ambao unaweza kugharimu Tsh. billioni 116.
Niliandika miradi yangu mitatu. Miwili ya mafuta na gesi. Na mmoja wa mambo ya elimu. Ila imeonekana ni midogo. Imeonekana haifiki hata Tsh billioni 10. Hivyo nimepewa nafasi ya kutafuta mradi mwingine.
Najua hapa kuna wakubwa wenye uwezo wa kuwaza kuliko Mimi.
Nipo hapa kupata mawazo yenu
Ahsanteni sana
Ahsante sana kwa ujumbe mzuri boss. Hakika mawazo yako yamejaa hekima sana.Miaka ileee wakati sijajua matapeli vizuri, dah walinifanya niandike project proposal usiku na mchana Hadi mgongo ukauma! Just to realize kuwa ni matepeli! mbwa