Hongera mkuu Kwa bahati hiyo,
Kwa muda niliyokufutilia nimeona una mawazo mazuri na na makubwa sana
So siwezi kushangaa kuweza kupata watu wa kufinance mawazo yako,
Maana kwa wenzetu wanaangalia uwezo mkubwa wa kufikiri
Kwa upande wangu ningekushauri kuwekeza kwenye sekta
Nishati haswa kwenye Gas Asilia
ambayo naona
-unaipenda na
-Una uzoefu nayo na unailewa
-lakini pia baadhi ya material yake yanapatikana hapa nchini
-Pia Ina uhitaji mkubwa
-vile vile I think was cheap after process
-Lakini pia unaweza kuifanyia ubunifu mkubwa ambao Bado haupo nchini Kwa wingi na Africa na
-Hivyo kukuza uchumi wako na kutoa fursa kwa maelfu ya watu
-na ukakuza uchumi wa nchi yetu
Kufungua kampuni kubwa ktk
Sekta ya Gas Asilia
hapa napendekeza miradi ifuatayo ambayo itabidi iandane
1.Viiwanda vya kubadilisha mifumo ya magari ya petroleum kutumia gas, hapa itabidi ujenge angalau Kila mkoa Kwa kuanzia Ili kiharakisha zoezi
2.Vituo vya kujaza Gas kwenye magari yenye huo mfumo ,hapa itabidi ujenge angalua Kila halmashauri kituo kimoja kikubwa kwa kuanzia,
small project
a)Magari ya kusambaza gas
b)Maeneo au store za kuhifadhi gas kila halmashauri
-but unaweza ukatufuta wauzaji wa jumla kila halmashauri then wao wakusupply kwenye vituo vidogo
Kama mtaji utatosha nashauri pia kuwa na miradi hii
3. Kuwa na eneo kubwa la kuhifadhi akiba ya Gas (I think was Gas hub sijui vizuri ) kutoka Kwa kampuni za uchimbaji au import, ambayo utakuwa na uhakika wa supply ya wateja wako angalau mwenzi mmoja bila kuwakwamisha, pia itkusaidia kuagiza nje endapo uzalishaji wa nchini utasusua
4.Kuwa na kiwanda Cha kuconvert gas yetu mpaka ifikie Hali ya kutumika na kusafirishwa kirahisi (hapa nimeshindwa kutumia ile misamiati yenu but I believe ya understand that process)
5. For the future Kuingia ubia na viwanda mbalimbali vya magari kuja kuasembelly magari yao hapa nchini but kwa sharti la mifumo ya Gas
6.For the future of many years after your co grow global and be stable, unaweza kuanzisha kampuni ya magari ya Gas moja kwa Moja au have two option Gas and electric (hapa kwenye electric unaweza kuingia ubia na magari ya umeme like Tesla endapo umeme utakuja kuwa stable hapa kwetu)
Uwe na utulivu wa kutosha na umakini mkubwa Kwa hao wafadhili na kujiepusha na wanasiasa uchwara
Ni mvivu wa kuandika but kama ushauri na ushieikiano utahitajika zaidi Niko tayari
Nikutakie mafanikio mema mkuu