Nimepata mgeni yuko rafu sana

Dah qqmk 😁😁😁 Haya maisha aya. Mwamba X kaja Dar kutembea tu.
 
🤣🤣Ulifanya vyema
Ungeishia kulea marioo
Jamaa waliona wamepata pa kula na kulala bureeh,wakaona maisha washawini🤣🤣
Nchi hii Ina vijana wa ajabu Sana.
 


Hivi kwanini Ukweli huwa ni jambo gumu sana?!

Mfano hapa wewe ungemweleza Ukweli kulingana na makubaliano yenu nini kingeharibika au kupungua kwako? Sana sana wewe ungekua mtu bora zaidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…