Nimepata mgeni yuko rafu sana

Nimepata mgeni yuko rafu sana

1. Uchafu anaweka popote, anaweza kula embe kisha maganada akaacha hapo chini ndani yani akawa yuko comfortable kabisa.

2. Dawa ya meno anaminya popote tu.

3. Jagi la maji anakunywa kwa kushika lote na mmekaa wengi mnakula na grass zipo.

4. Inshort things are mess
gentleman,
Msitiri ndugu yako na mapungufungu yake.
mpige short course training ya ustaarabu na Mungu atakubariki.
 
Hivi kwanini Ukweli huwa ni jambo gumu sana?!

Mfano hapa wewe ungemweleza Ukweli kulingana na makubaliano yenu nini kingeharibika au kupungua kwako? Sana sana wewe ungekua mtu bora zaidi.
Tangu siku hiyo mkuu nimejifunza sana. Siku hizi sicheki na Mtanzania. Sasa hivi nimenyooka sipindishi mambo ingawa wananiona nina roho mbaya.

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
 
Baadhi ya watz ni watu wa ajabu. Jamaa alinipigia simu anakuja kwenye interview ya kazi nikasema fresh njoo tu nakupokea hakuna shida. Eeehh naenda stendi kumpokea huyu rafiki yangu "Y" naona yuko na mtu mwingine "x" anatufata nyuma nyuma tunaingia kwenye gari naona "x" anaingia nauliza nani huyu ndo jamaa "Y" anasema huyu ni rafiki yangu. Namuuliza je na yeye "X" kaja kwenye interview? Jamaa anasema hapana yeye kaja kutembea tu.

Kufika home yule mwamba X aliyekuja kutembea kumbe anavuta sigara kama kichaaa. Mimi na moshi wa sigara hatupatani hata kidogo mwamba akiingia ndani nyumba nzima moshi unanuka.

Nikamuambia yule mwamba X mimi na sigara hatupatani naomba usivute sigara nyumbani kwangu mwamba akanielewa. Baada ya kufanya interview yule rafiki yangu Y akasema hawezi kuondoka hadi majibu yatoke nikasema fresh. Baada ya majibu kutoka akawa amekosa nafasi nikajua sasa anasepa heee naona siku na kwanza, ya pili, ya tatu wapo tu.

Nikaona yule mwamba Y mvuta fegi ameanza kufukuzia mwanamke nyumba ya jirani ambao tunaheshimiana sana nikaona wema utaniponza. Mimi nika deal na rafiki yangu tu. Nikamwambia sasa mimi nasafiri rafiki yangu akasema we nenda utatukuta tu mkuu ukirudi. Nikamwambia hapana kubaki mimi nasafiri kesho kutwa nyinyi mnaondoka kesho asubuhi mapema. Ndio ulikua mwisho wa mawasiliano.

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
Huyo jamaa sio mstarabu kabisa yani unkaribishwa kwa mtu unabeba na plus one 🤣
 
1. Uchafu anaweka popote, anaweza kula embe kisha maganada akaacha hapo chini ndani yani akawa yuko comfortable kabisa.

2. Dawa ya meno anaminya popote tu.

3. Jagi la maji anakunywa kwa kushika lote na mmekaa wengi mnakula na grass zipo.

4. Inshort things are mess
Mwelekeze kwa upole hayo ni mambo madogo yanafundishika.......

Wengine tumetoka Nyumba chafu sana kwa tabia na usafi.

Mazingira magumu mambo ya Jagi na Ndizi wakati wa kula ni nadra au hakuna kabisa.
 
Baadhi ya watz ni watu wa ajabu. Jamaa alinipigia simu anakuja kwenye interview ya kazi nikasema fresh njoo tu nakupokea hakuna shida. Eeehh naenda stendi kumpokea huyu rafiki yangu "Y" naona yuko na mtu mwingine "x" anatufata nyuma nyuma tunaingia kwenye gari naona "x" anaingia nauliza nani huyu ndo jamaa "Y" anasema huyu ni rafiki yangu. Namuuliza je na yeye "X" kaja kwenye interview? Jamaa anasema hapana yeye kaja kutembea tu.

Kufika home yule mwamba X aliyekuja kutembea kumbe anavuta sigara kama kichaaa. Mimi na moshi wa sigara hatupatani hata kidogo mwamba akiingia ndani nyumba nzima moshi unanuka.

Nikamuambia yule mwamba X mimi na sigara hatupatani naomba usivute sigara nyumbani kwangu mwamba akanielewa. Baada ya kufanya interview yule rafiki yangu Y akasema hawezi kuondoka hadi majibu yatoke nikasema fresh. Baada ya majibu kutoka akawa amekosa nafasi nikajua sasa anasepa heee naona siku na kwanza, ya pili, ya tatu wapo tu.

Nikaona yule mwamba Y mvuta fegi ameanza kufukuzia mwanamke nyumba ya jirani ambao tunaheshimiana sana nikaona wema utaniponza. Mimi nika deal na rafiki yangu tu. Nikamwambia sasa mimi nasafiri rafiki yangu akasema we nenda utatukuta tu mkuu ukirudi. Nikamwambia hapana kubaki mimi nasafiri kesho kutwa nyinyi mnaondoka kesho asubuhi mapema. Ndio ulikua mwisho wa mawasiliano.

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
Mimi nilitoka familia masikini na Mimi nilisaidiwa na Ndugu na marafiki ila sikuwa na Akili kama matope za Hao X and Y Friends.

😆😆😆
 
Ila hiyo namba mbili ni unamuonea tu jamani??? Yani unataka kumpa masharti ya namna ya kuminya dawa?
kuminya dawa kuna ustaarabu wake pia, sisi tulifunzwa na Mama yetu toka udogoni kabisa..!!
Mfano mzuri, kwetu nyumbani tukiwasha jiko la mkaa huwa hatushiki mkaa na mikono toka utotoni tena Mama ndiye alitukataza..!
Huwa tuna gloves flani ngumu tunavaa ndiyo unaweka mkaa, Mimi till date kugusa mkaa ugenini nababaika sana..!! Niliwahi semwa ugenini mpaka nikakosa raha..!

Hivyo mara nyingi ni malezi tu..!!
 
1. Uchafu anaweka popote, anaweza kula embe kisha maganada akaacha hapo chini ndani yani akawa yuko comfortable kabisa.

2. Dawa ya meno anaminya popote tu.

3. Jagi la maji anakunywa kwa kushika lote na mmekaa wengi mnakula na grass zipo.

4. Inshort things are mess

Mpaka hapo una chaguzi 2 tu.

Mfukuze au mwelimishe

Tatizo lipo kwako umezoea kulalamika badala ya kufanya maamuzi
 
1. Uchafu anaweka popote, anaweza kula embe kisha maganada akaacha hapo chini ndani yani akawa yuko comfortable kabisa.

2. Dawa ya meno anaminya popote tu.

3. Jagi la maji anakunywa kwa kushika lote na mmekaa wengi mnakula na grass zipo.

4. Inshort things are mess

Mpaka hapo una chaguzi 2 tu.

Mfukuze au mwelimishe

Tatizo lipo kwako umezoea kulalamika badala ya kufanya maamuzi
 
1. Uchafu anaweka popote, anaweza kula embe kisha maganada akaacha hapo chini ndani yani akawa yuko comfortable kabisa.

2. Dawa ya meno anaminya popote tu.

3. Jagi la maji anakunywa kwa kushika lote na mmekaa wengi mnakula na grass zipo.

4. Inshort things are mess
UJINGA,UMASKINI NA MARADHI NI NDUGU WA BABA NA MAMA MMOJA 😊😊😊
 
kuminya dawa kuna ustaarabu wake pia, sisi tulifunzwa na Mama yetu toka udogoni kabisa..!!
Mfano mzuri, kwetu nyumbani tukiwasha jiko la mkaa huwa hatushiki mkaa na mikono toka utotoni tena Mama ndiye alitukataza..!
Huwa tuna gloves flani ngumu tunavaa ndiyo unaweka mkaa, Mimi till date kugusa mkaa ugenini nababaika sana..!! Niliwahi semwa ugenini mpaka nikakosa raha..!

Hivyo mara nyingi ni malezi tu..!!
Wew ulibahatika kufunzwa na mama yako namna ya kuminya dawa, so utamlaumu vp yeye ambae hakufunzwa juu ya huo ustaarabu.
 
Hana malezi huyo
Hivo vitu vinafundishwa utotoni
Wanangu tu wadogo wanatambua Hilo,itakuwa lijitu lizima liloanza kuota mvi.


Kwamba malezi ya mtanzania wa visiwa vya Ukara huko Ukerewe yawe sawa na ya mtanzania wa Fukayosi ya Bagamoyo?

Umezingatia ya kwamba sisi ni binaadam? kwamba binaadam ni kiumbe cha kipekee sana na kila kimoja kinabeba tabia za kipekee kabisa kutokana na muundo wake?


Tusiwe na aibu ya kuwaeleza wageni wetu taratibu/sheria katika majumba yetu, ndio uungwana.
 
Back
Top Bottom