Tumia ujanja huu:
1. Wakati anakula embe wewe ita mtoto wako kwa sauti kwa kusema ''wewe fulani, umekaa unacheza tu! Mletee mgeni kitu cha kuwekea mabaki ya embe ili akimaliza apate urahisi wa kwenda kumwaga''!
2. Hili japo siyo issue sana, lakini unaweza kutumia tena watoto. Unamwita mtoto (wakati mgeni yupo) unamwambia ''angalia umeanza tena kuminya dawa ya mswaki ndivyo sivyo. Nilikufundishaje? Si nilikuwa uanze kuminya chini kwenda juu?''
3. Hilo nalo ukiona ameshika jagi unapaza sauti. ''Jamani mbona hamjasogezea mgeni glass mnamwacha anateseka kunywa maji na jagi kama yuko kambi ya fisi?''