mkakaflani
JF-Expert Member
- Sep 30, 2023
- 702
- 2,716
Shida ni ushamba,we mtu mpk anafika miaka 20 hajawahi kutumia mswaki aje ajue jns ya kubinya Colgate..?Unajua kuna vitu vingine ni nature tu ya mtu mkuu.
We kwa jinsi jamaa alivyo elezea
Unazani hapo shida ni ushamba au shida ni ustaarabu wa mtu..?
Daaah hata kama ni ushamba..Shida ni ushamba,we mtu mpk anafika miaka 20 hajawahi kutumia mswaki aje ajue jns ya kubinya Colgate..?
Kuna kipindi nilitembelea kijiji flan kwa ndugu zangu uko ndani ndani.Ilipofika mida ya msosi maji yakaletwa kwenye beseni ile kuja kufika zamu yng maji yashakua meusi tiiiii
Hao watu wapo,sasa kama uko perfect sana lazima ulie...1. Uchafu anaweka popote, anaweza kula embe kisha maganada akaacha hapo chini ndani yani akawa yuko comfortable kabisa.
2. Dawa ya meno anaminya popote tu.
3. Jagi la maji anakunywa kwa kushika lote na mmekaa wengi mnakula na glass zipo.
4. Inshort things are mess
Nina ndugu yangu Yuko hvyo hata kipande Cha vocha utupe ataongea vibaya mnoDaah ndugu yako baada ya kwenda nae taratibu unamsema kisa dawa ya meno aisee....
Aaa...🫠And what if I am the designated drama queen on the said table?! Jukumu langu kuhakikisha mpaka jirani yako nyumba ya tatu kasikia nipo.
mimi nilishawahi kupata mgeni, mwanaume mwenzangu, hadi leo sikumwelewa huyo jamaa. of course ni wa nchi nyingine hapahapa Africa so nilidhani labda ni tamaduni yao. yeye mkikaa sebuleni, akibanwa na ushuzi, mwanaume mzima, anautoa wote. nilivumilia mara ya kwanza, kesho tena mara kadhaa. uzalendo ukanishinda, nikwamwuliza kwanini unafanya hivi unajisikiaje kufanya hivyo mbele za watu. akaniambia akiubana ina side effects. nikamwambia basi uwe unakimbia kwenda chooni ukajitanue huko. imagine mwanaume miaka 28 anatoa ushuzi tena wa nguvu mmekaa sebuleni. tangu siku hiyo sihitaji mgeni, akija natafuta hotel/lodge siku tatu, namwambia zikiisha hizo utajitegemea. kwisha.1. Uchafu anaweka popote, anaweza kula embe kisha maganada akaacha hapo chini ndani yani akawa yuko comfortable kabisa.
2. Dawa ya meno anaminya popote tu.
3. Jagi la maji anakunywa kwa kushika lote na mmekaa wengi mnakula na glass zipo.
4. Inshort things are mess
Kwa akili hizo na ndio maana alikosa hata Hiyo intavyuu!!Baadhi ya watz ni watu wa ajabu. Jamaa alinipigia simu anakuja kwenye interview ya kazi nikasema fresh njoo tu nakupokea hakuna shida. Eeehh naenda stendi kumpokea huyu rafiki yangu "Y" naona yuko na mtu mwingine "x" anatufata nyuma nyuma tunaingia kwenye gari naona "x" anaingia nauliza nani huyu ndo jamaa "Y" anasema huyu ni rafiki yangu. Namuuliza je na yeye "X" kaja kwenye interview? Jamaa anasema hapana yeye kaja kutembea tu.
Kufika home yule mwamba X aliyekuja kutembea kumbe anavuta sigara kama kichaaa. Mimi na moshi wa sigara hatupatani hata kidogo mwamba akiingia ndani nyumba nzima moshi unanuka.
Nikamuambia yule mwamba X mimi na sigara hatupatani naomba usivute sigara nyumbani kwangu mwamba akanielewa. Baada ya kufanya interview yule rafiki yangu Y akasema hawezi kuondoka hadi majibu yatoke nikasema fresh. Baada ya majibu kutoka akawa amekosa nafasi nikajua sasa anasepa heee naona siku na kwanza, ya pili, ya tatu wapo tu.
Nikaona yule mwamba Y mvuta fegi ameanza kufukuzia mwanamke nyumba ya jirani ambao tunaheshimiana sana nikaona wema utaniponza. Mimi nika deal na rafiki yangu tu. Nikamwambia sasa mimi nasafiri rafiki yangu akasema we nenda utatukuta tu mkuu ukirudi. Nikamwambia hapana kubaki mimi nasafiri kesho kutwa nyinyi mnaondoka kesho asubuhi mapema. Ndio ulikua mwisho wa mawasiliano.
Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
Na pia usionje chai Kwa kijiko ulichokorogea sukari ili kuona kama sukari imekoa!!ariaTable manner nyingine ni pamoja na kijiko unapokoroga chai yako kisitoe mlio kwa kubamiza kuta za kikombe. Koroga kwa ku balance pale kati.
Chukueni hiyo.
GudNa pia usionje chai Kwa kijiko ulichokorogea sukari ili kuona kama sukari imekoa!!
Pengine anafanya kwa kutokujua utaratibu.. aelekezwe tu.1. Uchafu anaweka popote, anaweza kula embe kisha maganada akaacha hapo chini ndani yani akawa yuko comfortable kabisa.
2. Dawa ya meno anaminya popote tu.
3. Jagi la maji anakunywa kwa kushika lote na mmekaa wengi mnakula na glass zipo.
4. Inshort things are mess
Huyo alikua anakupa signal kwamba 'jicho' linamuwasha Ila hukumuelewa tu.Alitaka huduma yakomimi nilishawahi kupata mgeni, mwanaume mwenzangu, hadi leo sikumwelewa huyo jamaa. of course ni wa nchi nyingine hapahapa Africa so nilidhani labda ni tamaduni yao. yeye mkikaa sebuleni, akibanwa na ushuzi, mwanaume mzima, anautoa wote. nilivumilia mara ya kwanza, kesho tena mara kadhaa. uzalendo ukanishinda, nikwamwuliza kwanini unafanya hivi unajisikiaje kufanya hivyo mbele za watu. akaniambia akiubana ina side effects. nikamwambia basi uwe unakimbia kwenda chooni ukajitanue huko. imagine mwanaume miaka 28 anatoa ushuzi tena wa nguvu mmekaa sebuleni. tangu siku hiyo sihitaji mgeni, akija natafuta hotel/lodge siku tatu, namwambia zikiisha hizo utajitegemea. kwisha.
Hahhhhaaa nilitaka kusema umeniwahiMbandue
Dawa yenyewe buku 4.Ila hiyo namba mbili ni unamuonea tu jamani??? Yani unataka kumpa masharti ya namna ya kuminya dawa?
Unamwambia ukweli tu kuwa hupendi tabia zake kua haziendani na maisha yenu hapo nyumbani, akichukia aondoke tu.1. Uchafu anaweka popote, anaweza kula embe kisha maganada akaacha hapo chini ndani yani akawa yuko comfortable kabisa.
2. Dawa ya meno anaminya popote tu.
3. Jagi la maji anakunywa kwa kushika lote na mmekaa wengi mnakula na glass zipo.
4. Inshort things are mess
Kwani mgeni ni wakike?Mpelekee Moto huyo mgen