Nimepata mgeni yuko rafu sana

Nimepata mgeni yuko rafu sana

Unajua kuna vitu vingine ni nature tu ya mtu mkuu.

We kwa jinsi jamaa alivyo elezea
Unazani hapo shida ni ushamba au shida ni ustaarabu wa mtu..?
Shida ni ushamba,we mtu mpk anafika miaka 20 hajawahi kutumia mswaki aje ajue jns ya kubinya Colgate..?

Kuna kipindi nilitembelea kijiji flan kwa ndugu zangu uko ndani ndani.Ilipofika mida ya msosi maji ya kunawa yakaletwa kwenye beseni ile kuja kufika zamu yng maji yashakua meusi tiiiii
 
Shida ni ushamba,we mtu mpk anafika miaka 20 hajawahi kutumia mswaki aje ajue jns ya kubinya Colgate..?

Kuna kipindi nilitembelea kijiji flan kwa ndugu zangu uko ndani ndani.Ilipofika mida ya msosi maji yakaletwa kwenye beseni ile kuja kufika zamu yng maji yashakua meusi tiiiii
Daaah hata kama ni ushamba..
Kuna mda hata wewe kama kitu ukijui utatulia tuu au utauliza ila sio kufanya as if unajua...
 
1. Uchafu anaweka popote, anaweza kula embe kisha maganada akaacha hapo chini ndani yani akawa yuko comfortable kabisa.

2. Dawa ya meno anaminya popote tu.

3. Jagi la maji anakunywa kwa kushika lote na mmekaa wengi mnakula na glass zipo.

4. Inshort things are mess
Hao watu wapo,sasa kama uko perfect sana lazima ulie...
 
1. Uchafu anaweka popote, anaweza kula embe kisha maganada akaacha hapo chini ndani yani akawa yuko comfortable kabisa.

2. Dawa ya meno anaminya popote tu.

3. Jagi la maji anakunywa kwa kushika lote na mmekaa wengi mnakula na glass zipo.

4. Inshort things are mess
mimi nilishawahi kupata mgeni, mwanaume mwenzangu, hadi leo sikumwelewa huyo jamaa. of course ni wa nchi nyingine hapahapa Africa so nilidhani labda ni tamaduni yao. yeye mkikaa sebuleni, akibanwa na ushuzi, mwanaume mzima, anautoa wote. nilivumilia mara ya kwanza, kesho tena mara kadhaa. uzalendo ukanishinda, nikwamwuliza kwanini unafanya hivi unajisikiaje kufanya hivyo mbele za watu. akaniambia akiubana ina side effects. nikamwambia basi uwe unakimbia kwenda chooni ukajitanue huko. imagine mwanaume miaka 28 anatoa ushuzi tena wa nguvu mmekaa sebuleni. tangu siku hiyo sihitaji mgeni, akija natafuta hotel/lodge siku tatu, namwambia zikiisha hizo utajitegemea. kwisha.
 
Baadhi ya watz ni watu wa ajabu. Jamaa alinipigia simu anakuja kwenye interview ya kazi nikasema fresh njoo tu nakupokea hakuna shida. Eeehh naenda stendi kumpokea huyu rafiki yangu "Y" naona yuko na mtu mwingine "x" anatufata nyuma nyuma tunaingia kwenye gari naona "x" anaingia nauliza nani huyu ndo jamaa "Y" anasema huyu ni rafiki yangu. Namuuliza je na yeye "X" kaja kwenye interview? Jamaa anasema hapana yeye kaja kutembea tu.

Kufika home yule mwamba X aliyekuja kutembea kumbe anavuta sigara kama kichaaa. Mimi na moshi wa sigara hatupatani hata kidogo mwamba akiingia ndani nyumba nzima moshi unanuka.

Nikamuambia yule mwamba X mimi na sigara hatupatani naomba usivute sigara nyumbani kwangu mwamba akanielewa. Baada ya kufanya interview yule rafiki yangu Y akasema hawezi kuondoka hadi majibu yatoke nikasema fresh. Baada ya majibu kutoka akawa amekosa nafasi nikajua sasa anasepa heee naona siku na kwanza, ya pili, ya tatu wapo tu.

Nikaona yule mwamba Y mvuta fegi ameanza kufukuzia mwanamke nyumba ya jirani ambao tunaheshimiana sana nikaona wema utaniponza. Mimi nika deal na rafiki yangu tu. Nikamwambia sasa mimi nasafiri rafiki yangu akasema we nenda utatukuta tu mkuu ukirudi. Nikamwambia hapana kubaki mimi nasafiri kesho kutwa nyinyi mnaondoka kesho asubuhi mapema. Ndio ulikua mwisho wa mawasiliano.

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
Kwa akili hizo na ndio maana alikosa hata Hiyo intavyuu!!
 
ariaTable manner nyingine ni pamoja na kijiko unapokoroga chai yako kisitoe mlio kwa kubamiza kuta za kikombe. Koroga kwa ku balance pale kati.

Chukueni hiyo.
Na pia usionje chai Kwa kijiko ulichokorogea sukari ili kuona kama sukari imekoa!!
 
1. Uchafu anaweka popote, anaweza kula embe kisha maganada akaacha hapo chini ndani yani akawa yuko comfortable kabisa.

2. Dawa ya meno anaminya popote tu.

3. Jagi la maji anakunywa kwa kushika lote na mmekaa wengi mnakula na glass zipo.

4. Inshort things are mess
Pengine anafanya kwa kutokujua utaratibu.. aelekezwe tu.
 
mimi nilishawahi kupata mgeni, mwanaume mwenzangu, hadi leo sikumwelewa huyo jamaa. of course ni wa nchi nyingine hapahapa Africa so nilidhani labda ni tamaduni yao. yeye mkikaa sebuleni, akibanwa na ushuzi, mwanaume mzima, anautoa wote. nilivumilia mara ya kwanza, kesho tena mara kadhaa. uzalendo ukanishinda, nikwamwuliza kwanini unafanya hivi unajisikiaje kufanya hivyo mbele za watu. akaniambia akiubana ina side effects. nikamwambia basi uwe unakimbia kwenda chooni ukajitanue huko. imagine mwanaume miaka 28 anatoa ushuzi tena wa nguvu mmekaa sebuleni. tangu siku hiyo sihitaji mgeni, akija natafuta hotel/lodge siku tatu, namwambia zikiisha hizo utajitegemea. kwisha.
Huyo alikua anakupa signal kwamba 'jicho' linamuwasha Ila hukumuelewa tu.Alitaka huduma yako
 
Kweli mvumilie kidogo tu, mara nyingi ustaarabu wa mjini na kijijini ni tofauti, mtu akileta mambo ya kijijini town lazma iwe shida . Lakni vumilia siku kuu zitaisha atarudi kwao.
 
Jamaa anaingia kulala na viatu,anapanda navyo mpaka kitandani kisa amelewa.aiseh kaka nisameh tu huko ulipo najua umetusua Ila sijawahi kukukumbuka
 
1. Uchafu anaweka popote, anaweza kula embe kisha maganada akaacha hapo chini ndani yani akawa yuko comfortable kabisa.

2. Dawa ya meno anaminya popote tu.

3. Jagi la maji anakunywa kwa kushika lote na mmekaa wengi mnakula na glass zipo.

4. Inshort things are mess
Unamwambia ukweli tu kuwa hupendi tabia zake kua haziendani na maisha yenu hapo nyumbani, akichukia aondoke tu.
 
Nimerudi baada ya kuikuta hii habari jamiiforum WhatsApp chanel
 
Back
Top Bottom