Nimepata milioni 50, nifanyie biashara gani niwe milionea?

kuwa millionaire tafsiri yake nikuwa na kuanzia shilingi million mbili na kuendelea, kwa minajili hiyo basi wewe tayari ni millionaire, labda sasa utuambie unataka kuwa millionaire wa aina gani?
 
Il faut que tu revien en Tanzanie si tu na pas les affaires a faire en France et commence avec l'agricuture des frites
to faire multiplie les chiffres comme jamais,Merci mon gar
 
Chukua hii kama utaona inafaa....

Fanya biashara ya mbao mkuu, nunua mbao border ya Tanzania na Mozambique njoo uuze dar.
Baada ya kulipa vibali vyote vinavyohitajika mbao(mninga) mpaka inafika sokoni (dar) itakuwa imekula 32k kwa kila moja.
Bia ya jumla sokoni sasa hivi ni 46k-50k

Sasa assume umetumia 10m kwa ajili ya vibali imebaki 40m...

30m/32k = 1250 maana yake utapata mbao 1250

1250*14000= 17.5m na hii ndio faida utakayopata,

Mwalimu wangu wa biashara aliniambia ukiwa unafanya calculations za biashara faida utayokisia kuipata igawe kwa mbili utachopata kama ukiona hakikutoshi acha hiyo biashara.

Sasa kwenye hii biashara faida yake tunaAssume 17.5m/2 = 8.75m

Kwa hiyo ni hakika utapata faida 8.75m kwa mwezi (Ingawa unaweza ukanunua/uza mara mbili kwa mwezi)

Kama itakufaa chukua kama haikufai pia ruksa kuiacha.

Angalizo:
Usifanye hii biashara ILLEGALLY
 
wewe nakuona kama mtu mzalendo, njoo uwekeze nchini mkuu, kuna fursa nyingi, njoo, uwekeze kwenye lendingi mkuu, milioni 50, zinatosha au km huna experience nayo njoo ofisini kwetu tunaingia contract nzuri kutokana na fedha yako kila mwezi tunakulipa 10% ya mtaji wako, dheni after 24 month unarudishiwa fedha yako km ilivyo wakati huo ndani ya kipindi chote kila mwezi ulikuwa unakula 10% sisi tunafnya biashara ya lending mkuu kwa muda wa miaka7 sasa
 
nunua coaster uanze biashara ya daladala na pesa zinazobaki wekeza katika kilimo...
Hivi hiyo coaster ni ya kununua kwa mtu aliyeshindwa biashara, yard au nje!!? Maana kwa bei ya Coaster labda kama ni hizi za mchina au nissan civilian...

Ila ya mjapan inazidi sana kiasi alichoacho.
 

Punguza negative attitudes kwenye kila kitu! Hakuna biashara isiyokuwa na changamoto, hata huo ufugaji wa kuku mimi nimewahi kufanya wakafa kwa ugonjwa wa Gumboro, lakini siwezi kusema hiyo hailipi kwasababu kuna watu wanatengeneza hela kila uchwao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…