mtz daima
JF-Expert Member
- Apr 15, 2015
- 1,561
- 579
Wekeza kwenye financial markets kama unataka utoke fasta.
Forex zinakutoa fasta, ukiweka hiyo 50M utakuwa unatengeneza kama 500USD kila siku.
Davion Delmonte Jr.
Mkuu naomba ufunguke zaidi maana nafuatilia huu uzi na ushauri wako umenikuna