Nimepata mshtuko mkubwa Ubungo Bus Terminal leo alfajiri!

Nimepata mshtuko mkubwa Ubungo Bus Terminal leo alfajiri!

ongea wew mkuu ..watu wanatozwa ushuru wakuingia humu ndani kila siku .Massa na dakika..lakini hela zetu sijui zinapelekwa wapi ..wakati eneo husika linafanana na tandale kwa mfuga mbwa..bado pesa wanayokata SUMATRA kwa magari yote yaendayo mikoani...yaani bila hata haya wameamua kuiacha uchi terminal kubwa kama hiyo pasipo kuitengeneza vyema nakuipa heshima yake stahiki kutokna na hadhi ambayo inayo...yaani hiyo ndio stand ya east Africa kama usemavyo nandio kioo cha wageni wetu kututazama ili kuweza kutujua watanzania niwatu wanamna gani ..so wanaposafiri kutoka huko watokako kisha wakifika hapo nakukutana na mazingira kama hayo tunajitukanisha mnooo...taifa zima linaonekana nilawatu wachafu..sababu tu wamuonekano mbaya wahilo eneo muhimu kwa taifa....

ngoja nifuatilie VISA mimi nisepe ...mamaeee
 
Bomoa bomoa zikianza ili kupanua barabara wa kwanza kulalamika.

Stendi ikihamishiwa eneo kubwa wa kwanza kulalamikia umbali. Binadamu bwana
 
Hakuna sehemu siipendi kama ile stendi,, na inaendelea kuoza huku wahusika wakihangaishana na wacheza sinema,[emoji4][emoji4][emoji4]
 
Tanzania ni nchi chafu sana.

Hapo hujaelezea muozo wa takataka zilizokaa kwa siku nyingi mitaroni.

Hata ile wanayoita siku ya usafi kitaifa au ya kila jumamosi ya mwisho wa mwezi wakishafanya usafi bado kunabaki kuwa KUCHAFU.

Tanzania haijawahi kufanya usafi unaostahili kuitwa usafi.

Kuna uchafu na uzembe mkubwa sana, sijui hizo hela wanazikusanya za nini?
 
Tanzania ni nchi chafu sana.

Hapo hujaelezea muozo wa takataka zilizokaa kwa siku nyingi mitaroni.

Hata ile wanayoita siku ya usafi kitaifa au ya kila jumamosi ya mwisho wa mwezi wakishafanya usafi bado kunabaki kuwa KUCHAFU.

Tanzania haijawahi kufanya usafi unaostahili kuitwa usafi.

Kuna uchafu na uzembe mkubwa sana, sijui hizo hela wanazikusanya za nini?
Siyo yote mkuu, kuna baadhi ya maeneo yanakausafi flani nje ya "kijiji cha wavuvi",, kama vile singida mjini, moshi, etc
 
Siyo yote mkuu, kuna baadhi ya maeneo yanakausafi flani nje ya "kijiji cha wavuvi",, kama vile singida mjini, moshi, etc
Ukisema yana kausafi kiasi ni sawa ila Ukiita ni Majiji masafi (Clean Cities) au mikoa misafi sidhani kama utakuwa sahihi.

Mimi sijazunguka katika majiji makubwa duniani hivyo sifanyi mlinganisho, lakini tu kwa macho na uelewa wa kawaida ukipita maeneo unayoambiwa kuwa ni masafi sana na kupewa tuzo za usafi bado yanashangaza.
 
bus-terminal.jpg
New upcountry bus stand still under feasibility study
(23/08/2013, IPP Media)
Bus terminal
Dar es salaam City Council is currently conducting a feasibility study on the construction of the upcountry bus terminal at Mbezi Luis and Boko Basihaya in the city. Speaking to journalists yesterday in Dar es Salaam, the City Council spokesman, Gaston Makwembe said the bus terminal at Mbezi Luis will be the first one to be constructed followed by another one at Boko Basihaya to pave way for the implementation of Dar es Salaam Rapid Transit (DART) project. Makwembe noted that the constructions of the two bus stations need thorough feasibility studies in order to come up with the actual cost of both though it was earlier estimated to cost 40bn/- upon completion. The city spokesman said in the meantime, the Ubungo Bus Terminal will continue to accommodate upcountry buses and other buses from neighbouring countries. He added that transportation stakeholders should understand that as it was planned before, the Ubungo bus terminal will be reserved for DART buses when the infrastructures are complete. “The government through the city council also plans to construct shopping malls and hotels at the Ubungo bus terminal to ease provision of services,” he said, adding that this means more money will be needed.

Speaking of the hygienic state at the bus terminal, the spokesperson said the council is planning on reviewing its by-laws so that as to issue harsh penalty on those who release themselves randomly despite the availability of toilets in the premises, adding that the Council will also add toilets especially near the administrations offices where there is 24 toilets and 10 bathrooms which don’t seem enough.

Transportation stakeholders and citizens have been urged to give their views on how the sector can be improved in the city.

By Waryoba Yankami
 
Hata Mimi nikifika hapo huwa nasikitika saana nafikiria hivi akili za viongozi wale wa akina NYERERE ndo walikuwa wakifikiri juu yetu kuliko hawa.

Wengine wamebaki kuharibu mipango yote ya kina NYERERE sio kuboresha.

Angalia hifadhi ya eneo MLIMANI UNIVERSITY, jiulize kuna maeneo mengine makubwa yanayohifadhiwa kwa ajili ya kizazi kingine kijidai.

Au ni kujibanabana na kuvamia majengo ya kale
Jengo la kina NYERERE lina eneo kubwa basi anzisha lingine pembeni yake, kwann wasitoke na kuanzisha majengo mengine kwenye eneo pana kwa faida ya kizazi hiki ,kile na vile.

Iangalie MUHIMBILI imejaa lkn INA maeneo makubwa njia ya CHAMAZI ni kina NYERERE
 
wewe utakua mgeni wa jiji na totally hujui kinachoendelea ama hufatilii mambo.... hiyo stand imepigiwa kelele sana tangia enzi za jk kwamba haina hadhi pia ni ndogo,... kuna mpango mkakati wa kujenga stand nyingine kubwa ya mikoani na itakua na mgawanyiko ufuatao....
magari yanayoenda nyanda za kati itajengwa stand kubwa mbezi mwisho
kaskazini stand itajengwa bunju na magari yatapitia bagamoyo
kusini itakua stand ile ile ya magari ya kusini sema itafanyiwa marekebisho makubwa...
 
Kiukweli Ubungo panatia Kinyaa sana hususani kipindi cha Mvua ndo unaweza hisi upo Damp kwa harufu tofauti tofauti unazozipata!
 
wewe utakua mgeni wa jiji na totally hujui kinachoendelea ama hufatilii mambo.... hiyo stand imepigiwa kelele sana tangia enzi za jk kwamba haina hadhi pia ni ndogo,... kuna mpango mkakati wa kujenga stand nyingine kubwa ya mikoani na itakua na mgawanyiko ufuatao....
magari yanayoenda nyanda za kati itajengwa stand kubwa mbezi mwisho
kaskazini stand itajengwa bunju na magari yatapitia bagamoyo
kusini itakua stand ile ile ya magari ya kusini sema itafanyiwa marekebisho makubwa...
Huo mpango umekwamia wapi tangu enzi za JK?
 
Ukisema yana kausafi kiasi ni sawa ila Ukiita ni Majiji masafi (Clean Cities) au mikoa misafi sidhani kama utakuwa sahihi.

Mimi sijazunguka katika majiji makubwa duniani hivyo sifanyi mlinganisho, lakini tu kwa macho na uelewa wa kawaida ukipita maeneo unayoambiwa kuwa ni masafi sana na kupewa tuzo za usafi bado yanashangaza.
Kweli bro, kwa usafi tuko nyuma,, inabidi wakuu waliangalie hilo,,
 
wewe utakua mgeni wa jiji na totally hujui kinachoendelea ama hufatilii mambo.... hiyo stand imepigiwa kelele sana tangia enzi za jk kwamba haina hadhi pia ni ndogo,... kuna mpango mkakati wa kujenga stand nyingine kubwa ya mikoani na itakua na mgawanyiko ufuatao....
magari yanayoenda nyanda za kati itajengwa stand kubwa mbezi mwisho
kaskazini stand itajengwa bunju na magari yatapitia bagamoyo
kusini itakua stand ile ile ya magari ya kusini sema itafanyiwa marekebisho makubwa...
Kumbe zitajengwa!!, Nilijua zinajengwa,, wakaige mfano wa park station Johannesburg,, stendi kama mall
 
Back
Top Bottom