Nimepata mshtuko mkubwa Ubungo Bus Terminal leo alfajiri!

Nimepata mshtuko mkubwa Ubungo Bus Terminal leo alfajiri!

Kwa size ya stendi ya ubungo, kulipaswa kuwa na vibao to guide people. Ndiyo maana watu hupotelewa na mali na wenzi wao only kwa kutojua where to stand nor where to ask.
Kuhusu vyoo ndiyo kabisa, vilipaswa kuwa strategically located, so that abiria anaposhikwa na mawili ana kuwa na the nearest point kujisevu kabla moja halijamponyoka. Pole anyway na tuendelee kuliombea Taifa
 
Millennium_Depot_Delhi-598x400.jpg
 
Ndio maana mimi hata siku moja sipandii basi Ubungo. Panda mwendokasi ukalikute mbele (Kimara au Mbezi).
 
tandale kwa mfuga mbwa sijui ni wapi stendi yake ipo wapi?
 
Ile ni aibu. Ni katika vitu vinavyotutia aibu kama taifa. Hata airport yetu ya dar pia ni aibu tu. Ngoja tujaribu viwanda huenda huko "tutaweza".🙁🙁

Tumerogwa!
 
Ipo haja ya kuugeuza uwanjwa wa mpira wa miguu kuwa stendi kuu ya mabasi ya mikoani... Itakuwa ni manufaa makubwa kuliko ulivyo kaa kaa kihasara sasa hivi.
Hauna tofauti na uwanja wa mnada wa ng'ombe, kuna haja gani ya kuchukua ushuru sehemu isipo na maboreshi hata wageni utushangaa sehemu ambayo inabeba Magari yenye thamani zaidi ya bilioni 200 kwa siku. Inakosa stand ya kisasa ambayo hata gharama yake haifiki bilioni 100.Tupambane na maendeleo tuache kupambana na watu.
 
Next time, mpandishe bibi kwenye bombardier mpaka Mbeya then aendelee kwa bus!

[emoji39] [emoji39] [emoji39]
Yaani mtu anaenda Kondoa apande Ndege ya Mbeya? Utakuwa hujui Jogorafia wewe!
 
Hii ndio sababu nalazimika kupanda ''DARLUX'' pekee kwani sina jinsi ... Kituo cha mabasi ya kwenda mikoani - Ubungo kwangu ni kama uwanja wa vita.

Sina hamu napo hata kidogo, ni kama hapana uongozi
 
Ilikuwa ni saa kumi na robo alfajiri ya leo, mlio wa simu yangu unanikurupusha toka usingizini, nakumbuka nina appointment ya kumfuata bibi yangu nyumbani alikokuwa amefikia na kumpeleka Ubungo bus terminal tayari kwa safari ya kurudi Kondoa.

Ile naingia pale getini tu, nikapigwa na butwaa nisijue ni wapi hapa nimeingia, nikajiuliza, hivi hii ndio stendi kubwa kabisa ya mabasi ya masafa marefu Afrika mashariki na kati?! Au ni stendi ya daladala ya mabasi ya Tandale kwa mfuga mbwa??!

Wingi na ukubwa wa mabasi ambayo kwa hesabu ya haraka haraka yanaweza kufika kati ya 500 - 1000 yaliyokuwa yamepaki iliniondolea shaka niliyokuwa nayo, hakika haya ni mabasi ya mikoani na si mabasi yaendayo Tandale kwa mfuga mbwa.

Wakati natafakari mshtuko nilioupata ghafla mbele nakutana na bwawa kubwa la maji kwenya parking ya magari binafsi, probably limetokana na mvua iliyonyesha usiku wa jana, yaani ni aibu, aibu, aibu, aibu! hata pakushukia hakuna, ikabidi nivue viatu na kukunja suruali ndio nikashuka, nikamfuata bibi upande wake na kumpa mgongo huku nikichutama kidogo, akapanda mgongoni na nikamvusha hadi kwenye sehemu kavu.

Kimbembe sasa kikawa kwenye kulitafuta basi lake la Kondoa, huku nikizongwa zongwa na wakaka wenye vitoroli vya ajabu ajabu vya matairi mawili wakijitolea kubeba mizigo, walini- harass mno; ni ajabu lakini ukweli ni kwamba hakuna kibao hata kimoja cha ku-guide abiria kwamba lot ipi ni ya mabasi ya wapi, mandhari ya kituo chenyewe ni kama soko la samaki, literally kituo hakina tofauti na Buguruni sokoni mule ndani, its absolute chaos and totally filthy, uchafu uchafu wa matope, hakuna shed za watu kusubiria wageni wao, yaani hakuna chochote, yaani ukisikia kurogwa ndio huku maana hakuna explanation nyingine.

Wakati naingia kulikuwa na foleni, lakini foleni ya kutoka ndio ilikuwa balaa, barabara kama vichochoro vya Vingunguti na mashimo kama tuko torabora, huu ni utani, mimi nawaambia ukweli haya ni matusi ya nguoni kwa wana Dar, hamtaamini kilichopo mule, jaribuni kama mmepotea njia muingie mule. Pale getini sasa kuna kadada kamekomaa kukusanya mapato, hata sijui wanazifanyia nini hizo hela, sijaona hata choo kimoja kwa ajili ya wageni, watu 15,000 wanaopitia hapo kila siku na hakuna choo, this is ridiculous!

Nilitokea kule kwa nyuma njia inayotokezea Shekilango, kule ndio kituko kabisa, huwezi amini ile ndio barabara inayotokea kituo kikubwa kama kile. Hivi ule mpango wa kuhama upo? Mbona mi sielewi?
Ifike pahala tuwe sehemu ya suluhusho na sio kulalama tu. Ushauri wako ni upi kwa mamlaka husika?
 
Ubungo unaweza kuachwa na Gari na wakati umewahi

Halafu bila ya aibu wanatoza ushuru ni Heri wangeacha tu.
 
Ilikuwa ni saa kumi na robo alfajiri ya leo, mlio wa simu yangu unanikurupusha toka usingizini, nakumbuka nina appointment ya kumfuata bibi yangu nyumbani alikokuwa amefikia na kumpeleka Ubungo bus terminal tayari kwa safari ya kurudi Kondoa.

Ile naingia pale getini tu, nikapigwa na butwaa nisijue ni wapi hapa nimeingia, nikajiuliza, hivi hii ndio stendi kubwa kabisa ya mabasi ya masafa marefu Afrika mashariki na kati?! Au ni stendi ya daladala ya mabasi ya Tandale kwa mfuga mbwa??!

Wingi na ukubwa wa mabasi ambayo kwa hesabu ya haraka haraka yanaweza kufika kati ya 500 - 1000 yaliyokuwa yamepaki iliniondolea shaka niliyokuwa nayo, hakika haya ni mabasi ya mikoani na si mabasi yaendayo Tandale kwa mfuga mbwa.

Wakati natafakari mshtuko nilioupata ghafla mbele nakutana na bwawa kubwa la maji kwenya parking ya magari binafsi, probably limetokana na mvua iliyonyesha usiku wa jana, yaani ni aibu, aibu, aibu, aibu! hata pakushukia hakuna, ikabidi nivue viatu na kukunja suruali ndio nikashuka, nikamfuata bibi upande wake na kumpa mgongo huku nikichutama kidogo, akapanda mgongoni na nikamvusha hadi kwenye sehemu kavu.

Kimbembe sasa kikawa kwenye kulitafuta basi lake la Kondoa, huku nikizongwa zongwa na wakaka wenye vitoroli vya ajabu ajabu vya matairi mawili wakijitolea kubeba mizigo, walini- harass mno; ni ajabu lakini ukweli ni kwamba hakuna kibao hata kimoja cha ku-guide abiria kwamba lot ipi ni ya mabasi ya wapi, mandhari ya kituo chenyewe ni kama soko la samaki, literally kituo hakina tofauti na Buguruni sokoni mule ndani, its absolute chaos and totally filthy, uchafu uchafu wa matope, hakuna shed za watu kusubiria wageni wao, yaani hakuna chochote, yaani ukisikia kurogwa ndio huku maana hakuna explanation nyingine.

Wakati naingia kulikuwa na foleni, lakini foleni ya kutoka ndio ilikuwa balaa, barabara kama vichochoro vya Vingunguti na mashimo kama tuko torabora, huu ni utani, mimi nawaambia ukweli haya ni matusi ya nguoni kwa wana Dar, hamtaamini kilichopo mule, jaribuni kama mmepotea njia muingie mule. Pale getini sasa kuna kadada kamekomaa kukusanya mapato, hata sijui wanazifanyia nini hizo hela, sijaona hata choo kimoja kwa ajili ya wageni, watu 15,000 wanaopitia hapo kila siku na hakuna choo, this is ridiculous!

Nilitokea kule kwa nyuma njia inayotokezea Shekilango, kule ndio kituko kabisa, huwezi amini ile ndio barabara inayotokea kituo kikubwa kama kile. Hivi ule mpango wa kuhama upo? Mbona mi sielewi?
Hivi Kwa nini kusiwe na terminal tatu za wilayani Temeke, Ilala na Kinondoni? Ubungo imekuwa ganzi kwenye akili za wahusika miaka nenda-rudi na watu hawana ubunifu, wanatesa abiria bure tu!

Nani kasema lazima wasafiri wa wilaya zote wakitaka kwenda bara lazima wapitie Ubungo? Au nani kasema mabasi toka nje ya Dar yasiende moja kwa moja Temeke, Mwenge au Kigamboni?

Nini maana ya "satellite cities" kama mmeng'ang'ania gari zote kwenda bara zianzie Ubungo na zitokazo baravziishie Ubungo tu?

Msongamano mnausababisha wenyewe kwa kukosa ubunifu miongini mwa vitu kama SUMATRA, TANROADS, CITY PLANNING, na Watawala kwa ujumla.Flyovers pekee sio solution ya mipango miji.
 
Back
Top Bottom