Nimepata mtoto wa kiume

Nimepata mtoto wa kiume

Mungu ni mwema.

Siku chache zilizopita nimejaliwa mtoto wa kiume.

Mama na mtoto ni wazima.

Namuandalia kadi yake kabisa ya CCM.

Ngoja nipunguze siasa kidogo maana nina hamu ya kumuona akigraduate na kufanya mambo yake.
Hongera sana
Screenshot_20220410-230412_Twitter.jpeg
 
Hongera.ila namuonea huruma maana atakua karithi uzwazwa wako.
 
Mungu ni mwema.

Siku chache zilizopita nimejaliwa mtoto wa kiume.

Mama na mtoto ni wazima.

Namuandalia kadi yake kabisa ya CCM.

Ngoja nipunguze siasa kidogo maana nina hamu ya kumuona akigraduate na kufanya mambo yake.
Muite JPM.

#MaendeleoHayanaChama
 
Back
Top Bottom