Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,992
- 22,396
- Thread starter
-
- #541
Manengelo. Hivi ukioa unakatazwa kuwa na marafiki?? Mimi nimesoma kidogo vitabu vya dini vinazungumzia nini kuhusu rafiki. Hivi tunafahamu kwamba in real life sometimes marafiki wana-play part kubwa kuliko ndugu?? Hususan hawa ndugu wetu wa kiswahili (ndugu lawama).wewe relief mkeo umemshirikisha hili suala?nakumbuka uliwah sema mkeo mnaaminiana sana sana na amejifungua kwa operation ...na mnapendana sana sana...khaa! hv kuna urafiki wa mwanamkw na mwanaume...umenichosha...naoendaga kusikia men akiri anampenda na kumheshi.u mkewe..kumbe nawe wale walw😏😏😏😏
Manengelo. Hivi ukioa unakatazwa kuwa na marafiki?? Mimi nimesoma kidogo vitabu vya dini vinazungumzia nini kuhusu rafiki. Hivi tunafahamu kwamba in real life sometimes marafiki wana-play part kubwa kuliko ndugu?? Hususan hawa ndugu wetu wa kiswahili (ndugu lawama).
This friend of mine nimedisclose kwake kila kitu and she respects it. You are just thinking negative. I have friends and we maintain friendship.
Mmmnhhhh! Kwani imekuwaje dada?? Wajameni msaada kwenye tuta. Maana sielewi elewi hapasawa kaka...utakuja nikumbuka..
Mmmnhhhh! Kwani imekuwaje dada?? Wajameni msaada kwenye tuta. Maana sielewi elewi hapa
Rafiki yako rafiki yangu!
Nilipata rafiki very potential
Ila ikatokea tu kila mtu akapita njia yake
I still adore you rafiki 90
Oohhh! We are ghosts here, remember??? We don't know each other (me and you) and I really think sio sawa kumuita rafiki yangu shetani. It doesn't bring about good feelings. Negativities mkuu, they are not good for your health. By the way, Thanks!mie siamini kbs kwenye urafiki wa hvyo..naogopa usije sema nakuoneeni gere..ila ww ndo umemleta shetan kwenye familia yako na bajaj...
nakuhamu aiseee[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Oohhh! We are ghosts here, remember??? We don't know each other (me and you) and I really think sio sawa kumuita rafiki yangu shetani. It doesn't bring about good feelings. Negativities mkuu, they are not good for your health. By the way, Thanks!
i like your positive atitudeYou seem wise, anyway! I just feel that I have someone I can talk to and ask for ideas. Time will tell but the impression is positive.
I am sure ameona ulivyomuita jina baya hilo. Usimhukumu mtu, I am sure she feels bad right now kwamba kwa sababu ya kuwa rafiki na Mimi kuna mtu anam-regard kama shetani. It's not fair mate, na itakuwa busara kama hii sorry utamwambia yeye. She doesn't deserve that from you. You don't know her, can I say you attacked her??am sorry kaka
Thanks mkuu, but somebody is attacking us for being positivei like your positive atitude
bravoo mkuu
his ana ID moja tu? Una umri gani?Nasisitiza wajameni, nimepata rafiki hapa JF.
Moja ya malengoo ya kuwepo kwenye platforms kama hizi ni kuongeza idadi ya marafiki ambao wanaweza kukuongoza vyema katika mambo mbali mbali na kukufanya pia ufurahie uwepo wao. Maisha ni mafupi sana na hatuna budi kufurahia kila sekunde ya maisha yetu mbali na changamoto nyingi tulizonazo. Of course najua vyuma vimekaza.
Nimepata rafiki ambae aiseee tunaendana nahisi. Upstairs anaonekana yuko njema sana! Anaonekana ni muelewa na nafurahia kuwa rafiki yake.
Sikuwahi kudhani kwamba hapa JF kuna watu aina yake maana wengi mnaokumbana huko PM baada ya muda mchache wanaanza kuleta story za pesa and alike. Huyu anaonekana ni mtu anajiweza na hana mpango hata kidogo na hata senti moja yangu.
I enjoy chatting with her, yaani tumekutana bila ya kuweka mabandiko ya natafuta rafiki wala nini.
Wanangu ambao mnatafuta marafiki na wenye hamu ya kupata marafiki wenye akili zao basi msikate tamaa wala msilazimishe sometimes maana him michezo haitaki hasira.
Thank you pal for being there for me.
I won't care how many IDs she has. What I care is the IDs she is using is clean. My relationship with her right now is "angel to angel" while mine with you right now is "ghost to ghost" gotcha?????Una
his ana ID moja tu? Una umri gani?
By the way, I am old enough to know what's good and what's badUna
his ana ID moja tu? Una umri gani?
never mind them, being positive is a medicine (unseen medicine)Thanks mkuu, but somebody is attacking us for being positive
The untold truth. Thanks sana mkuunever mind them, being positive is a medicine (unseen medicine)
many people don't know this secret
Keep it up
let us all move forward with our positive attitude and will be the testimony thereafter.The untold truth. Thanks sana mkuu