Nimepata rafiki na sitaki kumpoteza

Manengelo. Hivi ukioa unakatazwa kuwa na marafiki?? Mimi nimesoma kidogo vitabu vya dini vinazungumzia nini kuhusu rafiki. Hivi tunafahamu kwamba in real life sometimes marafiki wana-play part kubwa kuliko ndugu?? Hususan hawa ndugu wetu wa kiswahili (ndugu lawama).

This friend of mine nimedisclose kwake kila kitu and she respects it. You are just thinking negative. I have friends and we maintain friendship.
 


sawa kaka...utakuja nikumbuka..
 
mie siamini kbs kwenye urafiki wa hvyo..naogopa usije sema nakuoneeni gere..ila ww ndo umemleta shetan kwenye familia yako na bajaj...
Oohhh! We are ghosts here, remember??? We don't know each other (me and you) and I really think sio sawa kumuita rafiki yangu shetani. It doesn't bring about good feelings. Negativities mkuu, they are not good for your health. By the way, Thanks!
 
am sorry kaka
I am sure ameona ulivyomuita jina baya hilo. Usimhukumu mtu, I am sure she feels bad right now kwamba kwa sababu ya kuwa rafiki na Mimi kuna mtu anam-regard kama shetani. It's not fair mate, na itakuwa busara kama hii sorry utamwambia yeye. She doesn't deserve that from you. You don't know her, can I say you attacked her??
 
Una
his ana ID moja tu? Una umri gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…