Wanasema urafiki kumbe wanataka kukunjunja tuu.Mamaeeeeeee[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Kapate ujasiri wa ivoo
Usikatika maini mkuu. Na wewe muombe urafiki you never know. There is no harm in trying
Amri ya sita????????Msije mkavunja amri ya sita. Nyie ni marafiki.
Duuh...! yaani hamjakutana ndio unashangilia hivyo dogo? mimi nilijua tayari mnabadirishana mawazo ana kwa ana. Sikukatishi tamaa ila utakuja kusema tena hapa,kitu utakachokutana nacho sicho kabisa ulichoki-target,Sicho ulichokiingiza kichwani. Yote kwa Yote mitandao ya kijamii kuna marafiki kibao tu wazuri saana ya ufikiriavyoBado mzaee!
Na hatuna haraka maana we are friends na tunawasiliana tu fresh
Amri ya sita????????
Aiseee mbona hivi jamani???
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] ko mm ambae siombi haraka jeeeWanasema urafiki kumbe wanataka kukunjunja tuu.
Hii kali sasa... Walau asubiri muda gani ndio aombe mzinga wa asali?Wiki tuu kaomba papuchi.
Jamaa yupo fasta sana[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] ko mm ambae siombi haraka jeee
Sijacheka tangia asubuhi[emoji23] asante. Saa zingine masikhara tuWanasema urafiki kumbe wanataka kukunjunja tuu.
Aah. Wappi. Napambana na hali yangu huku jirani.Mi mzima jirani, nimetamalaki kama harusi ya mtoto wa mfalme na vile twaijongea Ijumaa mambo si haba kabisa.
Wala mema ya nchi pekee, nakuona tu[emoji3]
Hii kali sasa... Walau asubiri muda gani ndio aombe mzinga wa asali?
Me ntachelewa kidogo. Sio kama jamaaWewe unaomba kwa muda gani? Au hauombi kabisa?
Lakini hata yeye si anaweza akawa rafiki yako piaNdio mkuu ninae
Kama huyu ninaemkwoti si rafiki yangu, basi narudi kumalizia vigae vyangu.Aah. Wappi. Napambana na hali yangu huku jirani.
Vp na weye jirani hujapata rafiki bado? [emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]
Haijaandikwa pahala lakini... Au ni tusheria tudogo tudogo twa urafikiRafiki hatakiwi kuomba papuchi.
Me ntachelewa kidogo. Sio kama jamaa
Ulijuaje??? Umekaa kama mpiga ramli mkuu hahahahaahhaahahahahWouh! But still scanning on process before things get boom.. Good for you chief. Utotoni kulikuwa na ile michezo ya kupanda kilimani na kuteleza kwa mikebe.. Basi unajionea raha za dunia. I see you there[emoji4]
Haijaandikwa pahala lakini... Au ni tusheria tudogo tudogo twa urafiki
Ndioo anawezaLakini hata yeye si anaweza akawa rafiki yako pia
Ladha ya maandishi chief.... Unarudi nyumbani kaptula imetoboka, unachapwa viboko ila hujali as long as ushaenjoy[emoji23][emoji23][emoji23]Ulijuaje??? Umekaa kama mpiga ramli mkuu hahahahaahhaahahahah