Nimepata rafiki na sitaki kumpoteza

Nimepata rafiki na sitaki kumpoteza

Mkuu mm ni wa Kanda ya ziwa. Na icho ndo kinywaji chetu pendwa hasa sisi wavuvi
Wapenda boli/kandanda/kipute/soka/michuano/kabumbu/mpira tunasema imegonga anapotamia kuku.... Tule vitu mkuu[emoji482][emoji482]
 
Katika yale aina ya maswali tuliosoma for 3 C kuna maswali chonganishi pia. Hili ni moja wapo. By the way, my wife said the last trip we went mtoto alipata tabu sana kwa hiyo yeye nasafiri tena mpaka angalau mtoto afike 2 years. Got it???
Nikukumbushe tuu hamna urafiki wa mwanaume na mwanamke,ipo siku utamtafuna tuu
 
Mkuu hongera sana kwa kupata rafiki na pongezi kubwa sana kwa kutoa taarifa,................ huo ni ungwana wa hali ya juu sana,.......................kwani hata rafiki atasikia raha akiona jinsi ulivyomfurahia,....................................binafsi nimejifunza kitu kwako..........................................................wewe ni mtu mstaarabu sana,........................endelea hivyo hivyo.......................................

Wasalaam

Mwenzetu
Ahsante mwenzetu kwa nasaha zako. Nitaahakikisha sipotezi sifa zangu njema
 
Back
Top Bottom