thanks usife moyo kijana wangu waulize coet udsm mwaka wa 3 huwa wanabak wangap wew ni mwaka wa kwanza tu jitahidi ukiona mambo hayapandi wala usi force kingi waone tu tcu wanakupa chuo kulingana na machaguo utakayo fanya kwa mwaka wa masomo 2017/2018 na kama una mkopo kalipe 25% ya pesa waliokupa....Ahsante ,nashukuru
Sawa mkuu nashukuruKama haujadisco endelea but kaza buti.m nlisoma SUA watu wanakula sup 6&7 semester one but semester 2 wanashinda library wanatoka na za nne.
GPA inangarisha chet but ina play very little role kwenye ajira bcz ukiwa unaomba kazi mara nying unaombwa c v tu na cover letter ndio basis ya kuitwa kwenye interview, vyet n kama proof tu na ni baada ya interview.
The idea is that hauwez kutumia matokeo ya mtu kufanya employment decision since kila chuo kinatofautia ubora na ugumu also the way hyo gpa inatafutwa n tofaut.
Mm ninayo upper sec but nipo huku mtaan lkn watu wana vimbili vyao wapo kazini.
Kaza buti bcz ukiwa unaaply kazi mara nying hauombwi vyet, vyet n baadae.
Hujui tatzo lilipo? Ama kweli weye ni qilaza, unatuletea post za kipuuzi na kujiproud na uli underestimate masomo ya chuo, sasa hivi unalia na misapu tena unaelekea kudisco maana huwezi Ku sup course 5 out of 8 ukabaki salama.kwani hizo nyuzi zina tatizo gan?
Zinauhusiana nini na nilichopost humu?
Always try to think critically
Ali shoko vipi?Huyu dogo anzingus tu kama umekosa kazi ya kufanya njoo nkuajiri
HahahaaaKaendelee na Mdrasa tu,, hii Elimu Dunia ilisha kushinda .
Kama upo SUA chukua begi lako uondokeSawa naomba ushauri wako tafadhari kwa wakati huu mgumu ninao pitia
umesahau ile report 1:4Duuh kwel haelewek nahis nitapiteza typing energy tu hapa kutoa ushaur
Haahaha naona mzee wenzangu umekuja kumwambia kijana....huyu hasomi sema anatafuta kiki tuuuunasoma chuo gani maana kuna vyuo ukipata hivo ...umedisco mfano udsm
Nashukuru mkuuCha kushangaza nn hapo. Kawaida sana utachomoa we piga msuki kama vile huna sup. Take it easy. Usipanik. Yani u relax soma kawaida tu..
.
.
Pia cha kuongezea. Wafutate walimu woooooote hao waambie "naomba unisaidie kunielekeza topics za ku cover ili nifaulu maana nina sup 5 napatashida kusoma"
.
.
Wakikujua hawatakufelisha, usiogope asee hahahahah unankumbusha mbali sana
We ndio unapaswa u behave Kama mwanaume kwa sababu una sifa za kike.Sio muda wa dhihaka huu
Try to behave like a gentleman
Hajielewi huyo Mkuu.Chuo gan hicho ambacho UE tayari na matokeo?
Karibu jamii forumWe ndio unapaswa u behave Kama mwanaume kwa sababu una sifa za kike.
Mara unajitia unaakili.
Mara chuo sijui bata.
Mara PCM na PCB.
Yaani kwakifupi hujielewi.