Kama haujadisco endelea but kaza buti.m nlisoma SUA watu wanakula sup 6&7 semester one but semester 2 wanashinda library wanatoka na za nne.
GPA inangarisha chet but ina play very little role kwenye ajira bcz ukiwa unaomba kazi mara nying unaombwa c v tu na cover letter ndio basis ya kuitwa kwenye interview, vyet n kama proof tu na ni baada ya interview.
The idea is that hauwez kutumia matokeo ya mtu kufanya employment decision since kila chuo kinatofautia ubora na ugumu also the way hyo gpa inatafutwa n tofaut.
Mm ninayo upper sec but nipo huku mtaan lkn watu wana vimbili vyao wapo kazini.
Kaza buti bcz ukiwa unaaply kazi mara nying hauombwi vyet, vyet n baadae.