24hrs
JF-Expert Member
- Aug 11, 2016
- 2,630
- 5,958
ata muhas chukua begi wah home ukasaidie kuosha vyombo hr666.....unasoma chuo gani maana kuna vyuo ukipata hi vo ...umedisco mfano udsm
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ata muhas chukua begi wah home ukasaidie kuosha vyombo hr666.....unasoma chuo gani maana kuna vyuo ukipata hi vo ...umedisco mfano udsm
Una uhakika hiyo ID ya Chid inayouliza EGM au CBG ni yangu ?
Basi ngoja tufanye mchezo huu
Nawaalika ma moderators wacheki kama hiyo id ni yaangu basi wanipe ban kama sio ya kwangu wa kupe wewe life ban kwa kusingizia member mwenzako id ambayo sio yake
Cc invisible
Cc maxense mello
Cc paw
Cc cookie
Cc mod1
Cc Jamiiforums
Cc mhariri
Cc mod2
Cc mod3
Cc mod4
Cc mod5
Mkuu wewe sio wa kusema maneno hayoata muhas chukua begi wah home ukasaidie kuosha vyombo hr666.....
Basi ngojea kupewa life ban yakoSorry mkuu sio yako.
Vp kuhusu hiyo ya PCB ilikua January 31, 2017 hata mwezi haujaisha unasema umepata sup?? au ndo utafutaji wa kiki
Reference hii hapa
HR 666 JF-Expert Member #1 Jan 31, 2017
Joined: Sep 7, 2016
Messages: 1,286
Aiseee maisha matamu sana hasa ukiweza kujipangilia<br />Mm na wanangu kuanzia jumatatu mpaka alhamisi tunasoma kama hatuna akili timamu yani msuli heavy .<br /><br />Ila babaa kuanzia ijumaa mpaka jumapili ni mwendo wa bataaa mwanzo mwisho yani bampa tu bampa<br /><br />Na kufeli hatufeli<br />Course work inasoma furesh mm nimepata 70 ,mwanangu mwengine kagonga 62 ,mwingine 68 halafu mwingine 82<br /><br />Lakini cha ajabu wale ambao wanakesha class wamelamba 45 ,wengine 50 na kitu wachache ndio wametukaribia
AkionyeahiMkuu je kwenye kusapua cheti kitaonesha kuwa uliwahi kupata sup?
nisamehe sna ndugu yangu tena leo jpiliMkuu wewe sio wa kusema maneno hayo
Basi ngojea kupewa life ban yako
ila kumbuka ata shule ni sehemu ya maisha......so kuanguka na kufanikiwa vipo yakubali tu kila kitu kitakuwa ceteris paribusnisamehe sna ndugu yangu tena leo jpili
Usijali mkuunisamehe sna ndugu yangu tena leo jpili
Go through my posts in this thread.Good.
Ahsante ,nashukuruPole sana. ...jipange tena
Nilishakusamehe! Hapo kabla nilidhani wewe ni jibaba la haja,kumbe ni mvulana masikini pole sana na hakika hata sasa nimekusamehe ila nasikitika sana kwanini umeruhusu uzembe katika masomo yako huku ukijua Baba na Mama wanategemea makubwa toka kwako!!Lady Aj yale mambo ya kutongozana mimi na wew si yalishaisha
Kwani nimekutongoza tena?
Ulivyonipiga kibuti tena isitoshe ukaja kunianika jukwaani bado tu una kinyongo?
KWANI UKU NDO MA PROF WANATOA DISCO POLE SANA....Punguza kua huku jf
Twende PM tukaongelee kwa suala hili kwa kinaNilishakusamehe! Hapo kabla nilidhani wewe ni jibaba la haja,kumbe ni mvulana masikini pole sana na hakika hata sasa nimekusamehe ila nasikitika sana kwanini umeruhusu uzembe katika masomo yako huku ukijua Baba na Mama wanategemea makubwa toka kwako!!