Nimepata Sup 5 katika masomo 8 ninayo soma ,msaada tafadhali

Nimepata Sup 5 katika masomo 8 ninayo soma ,msaada tafadhali

Una uhakika hiyo ID ya Chid inayouliza EGM au CBG ni yangu ?



Basi ngoja tufanye mchezo huu

Nawaalika ma moderators wacheki kama hiyo id ni yaangu basi wanipe ban kama sio ya kwangu wa kupe wewe life ban kwa kusingizia member mwenzako id ambayo sio yake


Cc invisible

Cc maxense mello

Cc paw

Cc cookie

Cc mod1

Cc Jamiiforums

Cc mhariri

Cc mod2

Cc mod3

Cc mod4

Cc mod5

Sorry mkuu sio yako.

Vp kuhusu hiyo ya PCB ilikua January 31, 2017 hata mwezi haujaisha unasema umepata sup?? au ndo utafutaji wa kiki


Reference hii hapa

HR 666 JF-Expert Member #1 Jan 31, 2017
Joined: Sep 7, 2016
Messages: 1,286
 
Aiseee maisha matamu sana hasa ukiweza kujipangilia<br />Mm na wanangu kuanzia jumatatu mpaka alhamisi tunasoma kama hatuna akili timamu yani msuli heavy .<br /><br />Ila babaa kuanzia ijumaa mpaka jumapili ni mwendo wa bataaa mwanzo mwisho yani bampa tu bampa<br /><br />Na kufeli hatufeli<br />Course work inasoma furesh mm nimepata 70 ,mwanangu mwengine kagonga 62 ,mwingine 68 halafu mwingine 82<br /><br />Lakini cha ajabu wale ambao wanakesha class wamelamba 45 ,wengine 50 na kitu wachache ndio wametukaribia

Good.
 
Lady Aj yale mambo ya kutongozana mimi na wew si yalishaisha

Kwani nimekutongoza tena?

Ulivyonipiga kibuti tena isitoshe ukaja kunianika jukwaani bado tu una kinyongo?
Nilishakusamehe! Hapo kabla nilidhani wewe ni jibaba la haja,kumbe ni mvulana masikini pole sana na hakika hata sasa nimekusamehe ila nasikitika sana kwanini umeruhusu uzembe katika masomo yako huku ukijua Baba na Mama wanategemea makubwa toka kwako!!
 
Nilishakusamehe! Hapo kabla nilidhani wewe ni jibaba la haja,kumbe ni mvulana masikini pole sana na hakika hata sasa nimekusamehe ila nasikitika sana kwanini umeruhusu uzembe katika masomo yako huku ukijua Baba na Mama wanategemea makubwa toka kwako!!
Twende PM tukaongelee kwa suala hili kwa kina
 
Kama haujadisco endelea but kaza buti.m nlisoma SUA watu wanakula sup 6&7 semester one but semester 2 wanashinda library wanatoka na za nne.

GPA inangarisha chet but ina play very little role kwenye ajira bcz ukiwa unaomba kazi mara nying unaombwa c v tu na cover letter ndio basis ya kuitwa kwenye interview, vyet n kama proof tu na ni baada ya interview.

The idea is that hauwez kutumia matokeo ya mtu kufanya employment decision since kila chuo kinatofautia ubora na ugumu also the way hyo gpa inatafutwa n tofaut.
Mm ninayo upper sec but nipo huku mtaan lkn watu wana vimbili vyao wapo kazini.
Kaza buti bcz ukiwa unaaply kazi mara nying hauombwi vyet, vyet n baadae.
 
Back
Top Bottom