careenjibebe
JF-Expert Member
- May 28, 2020
- 1,604
- 1,652
- Thread starter
-
- #41
Ndo nimempa hilo shart lakin sasa hizi ndoa za sikuhizi hata ukiolewa unaweza achika pia..ndo maana hapa najiwaza mie zaid je ntaweza? Uwii jaman! Sijui najisikiaje hapaMimi kama mzazi sikushauri nakukanya! Au hakikisha aliyekupa mimba akuoe si kukuzalisha ili uongeze single mothers
Jaman[emoji848] hayaKama hukutumia condom, basi wewe na mzinzi mwenzio mlikuwa mnataka
Sasa leeni kiumbe hicho muijaze dunia... Nakushauri ujifungue kwa operesheni ili mashine iendelee kuwa tight... Vinginevyo huyo mzinzi mwenzio atatafuta mzinzi mwingine amwambukize mimba kama alivyokuambukiza wewe...
Msitusumbue wakubwa wakati tuko bize na mama kulijenga taifa.
Kazi iendelee...
Uko wap sasa huo utoto?Utoto nao kazi kwel!
Sawa! Wacha nione jaman yewuuu!Kwanza wazo la kuitoa achana nalo.
Pili ikifikisha wiki 20 anza clinic za kila mwezi. Huko watakushauri mambo mengi ikiwemo lifestyle, aina ya vyakula, aina ya mazoezi, hali yako na ukuaji wa mimba, maandalizi ya kumpokea mtoto nk.
JamiiForums mobile app
Asante kwa ushauri mkuu! Wacha nione!!Hongera ,kama ujauzito wako hauna changamoto za hapa na pale utafanya kazi zako vizuri ila jitahidi kupata muda wa kupumzika, pia kuwa tayari kuacha baadhi ya mambo hasa ukifikia stage ya kulea.Kama baba mtoto anakusapoti ni vema zaidi maana malezi ya mimba & mtoto yana changamoto kiasi .
Mungu akutunze mamiloo
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Na nikujikaza kwelikwel aseeJikaze tuu
aisee, nimependa hiiNakushauri ujifungue kwa operesheni ili mashine iendelee kuwa tight.
Huo ni ujinga! Ndoa huwa haijaribiwi, olewa na uhakikishe mnaishi wote bila kuachana. Ukiingia katika ndoa na Wazo la kuachana, lazima ipo siku mtaachana. Hakikisha unamganda kama rubi. Useme hatoki mtu hapa. Kila la heri na hakikisha unafunga ndoa kabla ya mwisho wa mwezi huuNdo nimempa hilo shart lakin sasa hizi ndoa za sikuhizi hata ukiolewa unaweza achika pia..ndo maana hapa najiwaza mie zaid je ntaweza? Uwii jaman! Sijui najisikiaje hapa
Nahisi nina mimba[emoji1751] kabla sijaipata niliitaman na nikasema niitafute..nikaitafuta kama miez miwili hiv hola sasa mwezi huu nimenasa! Naogopaaa! Nawaza? Nifanyaje? Nitamudu? Kazi zangu itakuaje? Hlf tayar sasa nakunywa soda tu muda wote sitak mdomo ubak bila kitu..ladha imekua mbaya mdomoni..nawaza tabu za mimba mpaka nijefika miez tisa? Sielew hapa ni kama sitak nataka? Hebu nishaurini nifanyaje? Upande mwingine napata picha ndiyo nimejifungua aah raha sana na katoto kangu kananichangamsha! Nishaurini kwa upole tu mwenzenu mnajua tena mwenye mimba akili inakua siyo yake
Enh aseme usikute ni wetu.Baba mwenye mimba wako yuko wapi?
Tuanzie hapo kwanza...
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] inakuwa ya mtoto.Mwenye mimba akili inakuwa sio yake!![emoji15][emoji15]wewe
Umenichekesha jaman! Mwisho wa mwezi huu? Acha utan bas mie niko serious ujueHuo ni ujinga! Ndoa huwa haijaribiwi, olewa na uhakikishe mnaishi wote bila kuachana. Ukiingia katika ndoa na Wazo la kuachana, lazima ipo siku mtaachana. Hakikisha unamganda kama rubi. Useme hatoki mtu hapa. Kila la heri na hakikisha unafunga ndoa kabla ya mwisho wa mwezi huu
[emoji3][emoji3] umenichekeshaa!Enh aseme usikute ni wetu.
mana we nae kwa kunipa hekaheka!
Mxxxxiiiew
Mimba inakuwa tu na samtymes yes samtaims ni nying sana.Hivi kwanini mwenye mimba akili inakua sio yake, huwa mnapatwa na nini!!
Asante! Najaribu kujitosa nione!!Hongera na karibu kwenye dunia ya kuwa mama.
Bonge la kisipiriensi.
Hivi mkiwa kwenye ujauzito kwanini mnakuaga wasumbufu sana na makeleleCongratulations and Good luck, OP.
Lol!![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] inakuwa ya mtoto.
Enh mwenzangu aseme ili na mi niwe snowhitejibebe.[emoji3][emoji3] umenichekeshaa!