nzalendo
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 12,106
- 12,916
Hivyo ni viashiria vya kichwa kisichoweza kumuduKwanini unasema hivyo mkuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivyo ni viashiria vya kichwa kisichoweza kumuduKwanini unasema hivyo mkuu?
Unaweza Kuniambia ni aina gani ya ugonjwa unahisi atakuwa nao???Huyo ni mgonjwa
Anahitaji kuonana na mtaalam wa afya ya akili na apewe dawa
Unitafute.Kweli mambo haya sio ya mzaha kabisa, napitia mengi makubwa
Duuh,nikawekwa hewa kwenye upande wa kushoto wa uzazi na hadi leo hii inaguruma sana na kupiga kama moyo, kuna kitu ndani.
Jaribu kuacha hiyo wine kwa mudasitumi kilevi ila nakunywa wine pekee na mara moja moja ama kidogo san, hata beer sikunywi mimi