Nimepatwa na maajabu duniani baada ya kununua na kusoma kitabu fulani

Nimepatwa na maajabu duniani baada ya kununua na kusoma kitabu fulani

Jamani wapendwa nasumbuka usiku na mchana, mimi (naishi ulaya lakini mkenya) kuna kitabu moja nilinunua (amozon.com) nikafanya ilivyo andikwa, sio kitabu kibaya (nitapost mkione) lakini yanayo nikumba kwa sasa ni makubwa. Hio kitabu nilinunua mwezi 01. 2024.

Baada ya kusoma na kufuata maagizo, ikaanza mawasiliano yaani (Telepathy) sikupata mabadiliko maishani hata nikauza gari yangu. Ila nikapata kazi lakini mshahara duni! Kazi nikafanya toka mwezi wa 03. hadi September 2024.

Toka ninunue hio kitabu nilikua nawasaliana na hao viumbe kwa kichwa lakina walikua hawasumbui kichwa kama sasa hivi (Telepathy) Toka mwezi wa sita Mawasiliano kwa kichwa yakawa kupita kiasi yaani kama kufunguliwa radio kwa kichwa sio kazini, nyumbani, kila sehemu, usiku na mchana.

Mwezi wa saba kitu kikaanza kama kunikula kitovu kwa ndani na nje, kila kabla ya kula kitovu inavuta kwa ndani na kumaliza chakula kitovu kama kinatoa chakula kwa nje.

Usiku pia kabla kulała kitovu kinavutwa sana. Sehemu ya juu ya kichwa (Utosi) pia kila mara kinavutwa kwa ndani na kwa nje.

Mwezi wa nane kwa mazoea ya mawasiliano kichwani (Telepathy) wakaniagiza kulala na nguo ndefu ya kupendeza na kufungua madirisha na kuwasha taa hadi asubuhi, yaani sijui niseme vipi lakini hio usiku niliona mengi na nikaanza kuona maajabu sana, usiku fulani kwa mawasiliano kama nikawekwa hewa kwenye upande wa kushoto wa uzazi na hadi leo hii inaguruma sana na kupiga kama moyo, kuna kitu ndani.

Toka mwezi wa 09.2024 siwezi kwenda kazini kisa nakosa usingizi usiku, ilianza kama mchezo maanake hao viumbe walikua wanataka niwasikize sana pia usiku.

Hapa ulaya na madawa za hali ya juu sana siwezi kabisa kulala usiku, kila siku daktari ananipa dawa ya nguvu ya juu kabisa lakini wapi....usiku nikimeza dawa napigwa sehemu ya kichwa ya juu utosini, na kwa mbele usinginzi inapotea nabaki macho kavu, kisha naskia sauti kwa kichwa (kinasema unameza dawa na hulali ya nini) yaani napigwa utosini nabaki macho kavu hadi asubuhi tena kila siku hii ni mwezi wa pili sasa toka September 2024 makubwa yamenipata!

Kabla ya kwenda kulala usiku kitovu, sehumu ya uzazi kushoto na upande wa kulia kwa tumbo kinaguruma sana kama kitu kina activate na asubuhi kabla ya kuamka kitovu, sehemu kushoto ya kizazi na kulia kwa tumbo ninatoa hewa (kunyamba) sana na mgurumo kama radi kama kitu *(deactivate) kila siku ndio mtindo.

Tangu wiki tatu zilizopita nimeanza kuingiliwa sehemu ya nyuma sana kinyume na maaumbile ya mwanamke... usiku sana, yaani sijawai kujaribu lakini ndio yamenipata sasa, sauti usiku kutwa kwa kichwa yaani kama radio usiku na mchana.... ikiniambia zoea sasa. Usiku nateseka sana, kuna wakati kama kitu kinakuja na kunipiga napoanza kusinzia ama naskia kama kitu kimenishika, ama sauti funny sana kisha nastuka naamka ama kitu kinawekwa sehemu ya nyuma kisha nastuka! Kila wiki naenda kwa Psychtrists(daktari wa akili) hapa ulaya nalazwa, napewa madawa za kumeza kusaidia kutoa masauti kwa kichwa, asubuhi kuamka natatemeka mwili kama nimenyeshewa.

Sauti kichwani kwa mawasiliano naskia ikisema *(msumbue akose usingizi azeeke kabisa, na hana makalio tena yaani nyuma, na hizi masauti kichwani kwake alipuke achoke kabisa, kisha kinasema zoea sasa hivi kila siku) Na majina yao (Supernaturals) hua yanataja kila siku.

Yaani nateseka sio mchezo na hii ni macheche tu kuna mengi sana sijasema.

Mimi mkristu hua kila nikiamka asubuhi lazima nifanye meditation toka kitambo kisha naomba. (Hua nasoma sana Psalms) Kwa saa hivi nikiskia nasumbuliwa sana usiku naamka nafanya meditation ila haisaidii sana sasa.

Kitabu chenye chanzo ya haya yote nitapost mkione! Kuna pia video youtube nitatayarisha kuongelea haya yote! makubwa. Wapendwa mshawahi kuskia haya mnisaidie
Kila wakati kila mahali mnaambiwa muaminini Yesu Kristo na kusoma Biblia lakini hamtaki. Sasa mnaenda kusoma vitu usivyovijua unaanza kuomba ushauri. Pole sana maana umeunganishwa ktk ufalme wa giza. Tafuta mchungaji akuombee.
 
Jamani wapendwa nasumbuka usiku na mchana, mimi (naishi ulaya lakini mkenya) kuna kitabu moja nilinunua (amozon.com) nikafanya ilivyo andikwa, sio kitabu kibaya (nitapost mkione) lakini yanayo nikumba kwa sasa ni makubwa. Hio kitabu nilinunua mwezi 01. 2024.

Baada ya kusoma na kufuata maagizo, ikaanza mawasiliano yaani (Telepathy) sikupata mabadiliko maishani hata nikauza gari yangu. Ila nikapata kazi lakini mshahara duni! Kazi nikafanya toka mwezi wa 03. hadi September 2024.

Toka ninunue hio kitabu nilikua nawasaliana na hao viumbe kwa kichwa lakina walikua hawasumbui kichwa kama sasa hivi (Telepathy) Toka mwezi wa sita Mawasiliano kwa kichwa yakawa kupita kiasi yaani kama kufunguliwa radio kwa kichwa sio kazini, nyumbani, kila sehemu, usiku na mchana.

Mwezi wa saba kitu kikaanza kama kunikula kitovu kwa ndani na nje, kila kabla ya kula kitovu inavuta kwa ndani na kumaliza chakula kitovu kama kinatoa chakula kwa nje.

Usiku pia kabla kulała kitovu kinavutwa sana. Sehemu ya juu ya kichwa (Utosi) pia kila mara kinavutwa kwa ndani na kwa nje.

Mwezi wa nane kwa mazoea ya mawasiliano kichwani (Telepathy) wakaniagiza kulala na nguo ndefu ya kupendeza na kufungua madirisha na kuwasha taa hadi asubuhi, yaani sijui niseme vipi lakini hio usiku niliona mengi na nikaanza kuona maajabu sana, usiku fulani kwa mawasiliano kama nikawekwa hewa kwenye upande wa kushoto wa uzazi na hadi leo hii inaguruma sana na kupiga kama moyo, kuna kitu ndani.

Toka mwezi wa 09.2024 siwezi kwenda kazini kisa nakosa usingizi usiku, ilianza kama mchezo maanake hao viumbe walikua wanataka niwasikize sana pia usiku.

Hapa ulaya na madawa za hali ya juu sana siwezi kabisa kulala usiku, kila siku daktari ananipa dawa ya nguvu ya juu kabisa lakini wapi....usiku nikimeza dawa napigwa sehemu ya kichwa ya juu utosini, na kwa mbele usinginzi inapotea nabaki macho kavu, kisha naskia sauti kwa kichwa (kinasema unameza dawa na hulali ya nini) yaani napigwa utosini nabaki macho kavu hadi asubuhi tena kila siku hii ni mwezi wa pili sasa toka September 2024 makubwa yamenipata!

Kabla ya kwenda kulala usiku kitovu, sehumu ya uzazi kushoto na upande wa kulia kwa tumbo kinaguruma sana kama kitu kina activate na asubuhi kabla ya kuamka kitovu, sehemu kushoto ya kizazi na kulia kwa tumbo ninatoa hewa (kunyamba) sana na mgurumo kama radi kama kitu *(deactivate) kila siku ndio mtindo.

Tangu wiki tatu zilizopita nimeanza kuingiliwa sehemu ya nyuma sana kinyume na maaumbile ya mwanamke... usiku sana, yaani sijawai kujaribu lakini ndio yamenipata sasa, sauti usiku kutwa kwa kichwa yaani kama radio usiku na mchana.... ikiniambia zoea sasa. Usiku nateseka sana, kuna wakati kama kitu kinakuja na kunipiga napoanza kusinzia ama naskia kama kitu kimenishika, ama sauti funny sana kisha nastuka naamka ama kitu kinawekwa sehemu ya nyuma kisha nastuka! Kila wiki naenda kwa Psychtrists(daktari wa akili) hapa ulaya nalazwa, napewa madawa za kumeza kusaidia kutoa masauti kwa kichwa, asubuhi kuamka natatemeka mwili kama nimenyeshewa.

Sauti kichwani kwa mawasiliano naskia ikisema *(msumbue akose usingizi azeeke kabisa, na hana makalio tena yaani nyuma, na hizi masauti kichwani kwake alipuke achoke kabisa, kisha kinasema zoea sasa hivi kila siku) Na majina yao (Supernaturals) hua yanataja kila siku.

Yaani nateseka sio mchezo na hii ni macheche tu kuna mengi sana sijasema.

Mimi mkristu hua kila nikiamka asubuhi lazima nifanye meditation toka kitambo kisha naomba. (Hua nasoma sana Psalms) Kwa saa hivi nikiskia nasumbuliwa sana usiku naamka nafanya meditation ila haisaidii sana sasa.

Kitabu chenye chanzo ya haya yote nitapost mkione! Kuna pia video youtube nitatayarisha kuongelea haya yote! makubwa. Wapendwa mshawahi kuskia haya mnisaidie
Heh🙄
 
Mimi wananisumbua sana na mambo ya kuingiliwa nyuma sio mchana sio usiku!
Andika majina yako matatu kwenye karatasi ,kunja hiyo karatasi iweke kwenye chupa ya soda ,halafu chukua chumvi kiganja kimoja weka humor,tia maji ndani ya chupa yenye jina ,chumvi halafu funika,Mwambie Mungu "Nisamehe Kwa hili linalonipata,naomba uniokoe kwenye janga hili! Halafu weka hiyo chupa chini ya kitanda unacho lalia ,iache humo Kwa mwezi mmoja!

Ulete mrejesho!
 
Andika majina yako matatu kwenye karatasi ,kunja hiyo karatasi iweke kwenye chupa ya soda ,halafu chukua chumvi kiganja kimoja weka humor,tia maji ndani ya chupa yenye jina ,chumvi halafu funika,Mwambie Mungu "Nisamehe Kwa hili linalonipata,naomba uniokoe kwenye janga hili! Halafu weka hiyo chupa chini ya kitanda unacho lalia ,iache humo Kwa mwezi mmoja!

Ulete mrejesho!
Asantes sana kwa haya, nikiuliza Humor ni nini, nitumie chupa ya glass au plastic!
 
Haya basi Kitabu unaweza kununua amazon.com unaitwa 72 Angels of magic
 
Fake P hivi mbona sijawahi ona hawa( macelebreties,) wasanii, waigizaji, wakiolewa na mfano wanajeshi, polisi,mawaziri, wabunge,rais, nk
 
Mwana kulitafuta na Sasa Umelipata...!!

Kila Binadamu anakua na Nguvu ya Asili ya kumlinda dhidi ya Spirits zingine ambazo hazina body, means sio Binadamu.

Mengi yanawakuta Binadamu Kwa wao wenyewe kufungua milango Kwa hizo Spirit kuingia na kuwatawala.

Wewe ni Mkristo, ukisoma Mwanzo utaona Mungu aliwakataza Wana Israel walipotoka Misri kwamba wasijichanganye na Mila na Tamaduni za kule kwenye Nchi ya Ahadi, na mpaka akawaambia wasiache mtu akaishi coz mwisho watajifunza ujuzi ambao utawaletea Shida kwao.

Sasa wewe japo hujasema kilichokufanya uyafanyie kazi Yale ulojifunza, ila kifupi kinachokusumbua ni Evil Spirit, na umewaruhusu wewe mwenyewe, vile ambavyo hata Maombi Yako Sasa hayakusaidii, hata ukisoma Biblia yote kila siku ukaomba Kwa masaa 10 dairy haitakusaidia, coz Kuna Kanuni kwenye Kila kitu na Sasa unataka Mungu aingilie kati wakati hufati Kanuni, unatakiwa Ku repent na Malipizi juu yake, ufanye Covernent Prayer ya Nguvu....!

Uzuri wewe ni Mkristo, njoo inbox ntakusaidia tu kukupa Muongozo, na huko huko ulipo, Mungu atakufungua.

Mungu hajawahi kutuchukia sisi, ila anachukia tu Matendo yetu, Mungu Huwa hatuhesabii Makosa...!
Usiogope, hakuna shida kubwa Kwa Mungu, yeye ndo Muumba wa vyote Kwa maana ya wewe na hizo Spirits.

Njoo inbox.
 
Jamani wapendwa nasumbuka usiku na mchana, mimi (naishi ulaya lakini mkenya) kuna kitabu moja nilinunua (amozon.com) nikafanya ilivyo andikwa, sio kitabu kibaya (nitapost mkione) lakini yanayo nikumba kwa sasa ni makubwa. Hio kitabu nilinunua mwezi 01. 2024.

Baada ya kusoma na kufuata maagizo, ikaanza mawasiliano yaani (Telepathy) sikupata mabadiliko maishani hata nikauza gari yangu. Ila nikapata kazi lakini mshahara duni! Kazi nikafanya toka mwezi wa 03. hadi September 2024.

Toka ninunue hio kitabu nilikua nawasaliana na hao viumbe kwa kichwa lakina walikua hawasumbui kichwa kama sasa hivi (Telepathy) Toka mwezi wa sita Mawasiliano kwa kichwa yakawa kupita kiasi yaani kama kufunguliwa radio kwa kichwa sio kazini, nyumbani, kila sehemu, usiku na mchana.

Mwezi wa saba kitu kikaanza kama kunikula kitovu kwa ndani na nje, kila kabla ya kula kitovu inavuta kwa ndani na kumaliza chakula kitovu kama kinatoa chakula kwa nje.

Usiku pia kabla kulała kitovu kinavutwa sana. Sehemu ya juu ya kichwa (Utosi) pia kila mara kinavutwa kwa ndani na kwa nje.

Mwezi wa nane kwa mazoea ya mawasiliano kichwani (Telepathy) wakaniagiza kulala na nguo ndefu ya kupendeza na kufungua madirisha na kuwasha taa hadi asubuhi, yaani sijui niseme vipi lakini hio usiku niliona mengi na nikaanza kuona maajabu sana, usiku fulani kwa mawasiliano kama nikawekwa hewa kwenye upande wa kushoto wa uzazi na hadi leo hii inaguruma sana na kupiga kama moyo, kuna kitu ndani.

Toka mwezi wa 09.2024 siwezi kwenda kazini kisa nakosa usingizi usiku, ilianza kama mchezo maanake hao viumbe walikua wanataka niwasikize sana pia usiku.

Hapa ulaya na madawa za hali ya juu sana siwezi kabisa kulala usiku, kila siku daktari ananipa dawa ya nguvu ya juu kabisa lakini wapi....usiku nikimeza dawa napigwa sehemu ya kichwa ya juu utosini, na kwa mbele usinginzi inapotea nabaki macho kavu, kisha naskia sauti kwa kichwa (kinasema unameza dawa na hulali ya nini) yaani napigwa utosini nabaki macho kavu hadi asubuhi tena kila siku hii ni mwezi wa pili sasa toka September 2024 makubwa yamenipata!

Kabla ya kwenda kulala usiku kitovu, sehumu ya uzazi kushoto na upande wa kulia kwa tumbo kinaguruma sana kama kitu kina activate na asubuhi kabla ya kuamka kitovu, sehemu kushoto ya kizazi na kulia kwa tumbo ninatoa hewa (kunyamba) sana na mgurumo kama radi kama kitu *(deactivate) kila siku ndio mtindo.

Tangu wiki tatu zilizopita nimeanza kuingiliwa sehemu ya nyuma sana kinyume na maaumbile ya mwanamke... usiku sana, yaani sijawai kujaribu lakini ndio yamenipata sasa, sauti usiku kutwa kwa kichwa yaani kama radio usiku na mchana.... ikiniambia zoea sasa. Usiku nateseka sana, kuna wakati kama kitu kinakuja na kunipiga napoanza kusinzia ama naskia kama kitu kimenishika, ama sauti funny sana kisha nastuka naamka ama kitu kinawekwa sehemu ya nyuma kisha nastuka! Kila wiki naenda kwa Psychtrists(daktari wa akili) hapa ulaya nalazwa, napewa madawa za kumeza kusaidia kutoa masauti kwa kichwa, asubuhi kuamka natatemeka mwili kama nimenyeshewa.

Sauti kichwani kwa mawasiliano naskia ikisema *(msumbue akose usingizi azeeke kabisa, na hana makalio tena yaani nyuma, na hizi masauti kichwani kwake alipuke achoke kabisa, kisha kinasema zoea sasa hivi kila siku) Na majina yao (Supernaturals) hua yanataja kila siku.

Yaani nateseka sio mchezo na hii ni macheche tu kuna mengi sana sijasema.

Mimi mkristu hua kila nikiamka asubuhi lazima nifanye meditation toka kitambo kisha naomba. (Hua nasoma sana Psalms) Kwa saa hivi nikiskia nasumbuliwa sana usiku naamka nafanya meditation ila haisaidii sana sasa.

Kitabu chenye chanzo ya haya yote nitapost mkione! Kuna pia video youtube nitatayarisha kuongelea haya yote! makubwa. Wapendwa mshawahi kuskia haya mnisaidie
Umefungua demonic portals, kama uko ulaya nenda kwa catholic exorcist. Lazima catholic.
 
hicho kitaba kenyewe si mmeona sio ya mashetani
IMG_3411 2.jpg
 
Back
Top Bottom