Nimepatwa na maajabu duniani baada ya kununua na kusoma kitabu fulani

Nimepatwa na maajabu duniani baada ya kununua na kusoma kitabu fulani

Walikua wananilazimisha sana kubadilisha dini kua mwislamu kisha ati nirudi Africa na kuolewa na mwafrica na kuzaa mtoto wa kiafrika, yaani hawa wanafanya balaa sio mchezo. Usiku ikifika wanakupiga macho inakaa kavu hadi asubuhi kisha mchana kutwaa usingizi inajaa kwa kichwa. Kitovo walinifunga sijui nini humo naliwa sana usiku
 
Jamal wa Wasafi katika The Story Book alitoa simulizi ya vitabu vitano ambavyo ukisoma unapata mauza uza na unakufa baada ya miaka michache. Unaweza kuiangalia You Tube. Huenda huyu alisoma vitabu vya namna hiyo
 
Walikua wananilazimisha sana kubadilisha dini kua mwislamu kisha ati nirudi Africa na kuolewa na mwafrica na kuzaa mtoto wa kiafrika, yaani hawa wanafanya balaa sio mchezo. Usiku ikifika wanakupiga macho inakaa kavu hadi asubuhi kisha mchana kutwaa usingizi inajaa kwa kichwa. Kitovo walinifunga sijui nini humo naliwa sana usiku
Mwambie ukweli doctor huko ulipo Ulaya kua hujapata bangi uliokua umezoea huko Kenya.
 
Muongo huyu hakuna kitu Kuna watu watamfuata inbox watatapeliwa
 
mediaton!
ukatamani kwenda mbali zaidi kwa kujaribu.....sasa umefungua milango ambayo hukutakiwa kufungua.. ..umealika wageni kabla hujajiandaa wala kujua ni wageni gani na wanataka nini.. ..
Chagua moja wapo...
nenda kwa wale watabiri ... wanajua mengi utasaidika, au nenda kanisani ,au tafuta watu wa maombezi.. .. maana kama wanakuingilia nyuma kabisa ..basi ujue hao sio wema ..ni suala la mda tu! ..
wahi kabla hujawa chizi ..,ukashindwa kujinasua!
 
Back
Top Bottom