Nimepatwa na maajabu duniani baada ya kununua na kusoma kitabu fulani

Kila wakati kila mahali mnaambiwa muaminini Yesu Kristo na kusoma Biblia lakini hamtaki. Sasa mnaenda kusoma vitu usivyovijua unaanza kuomba ushauri. Pole sana maana umeunganishwa ktk ufalme wa giza. Tafuta mchungaji akuombee.
 
Heh🙄
 
Mashoga wanaomba kitabu si wameskia kuimgiliwa usiku kucha
Nitapatia link wakanunue kitabu, waingiliwe usiku na mchana kama wako na mapenzi wataelewana nao na pengine wafaidike pia kiuchumi!
 
Mimi wananisumbua sana na mambo ya kuingiliwa nyuma sio mchana sio usiku!
Andika majina yako matatu kwenye karatasi ,kunja hiyo karatasi iweke kwenye chupa ya soda ,halafu chukua chumvi kiganja kimoja weka humor,tia maji ndani ya chupa yenye jina ,chumvi halafu funika,Mwambie Mungu "Nisamehe Kwa hili linalonipata,naomba uniokoe kwenye janga hili! Halafu weka hiyo chupa chini ya kitanda unacho lalia ,iache humo Kwa mwezi mmoja!

Ulete mrejesho!
 
Asantes sana kwa haya, nikiuliza Humor ni nini, nitumie chupa ya glass au plastic!
 
Haya basi Kitabu unaweza kununua amazon.com unaitwa 72 Angels of magic
 
Fake P hivi mbona sijawahi ona hawa( macelebreties,) wasanii, waigizaji, wakiolewa na mfano wanajeshi, polisi,mawaziri, wabunge,rais, nk
 
Mwana kulitafuta na Sasa Umelipata...!!

Kila Binadamu anakua na Nguvu ya Asili ya kumlinda dhidi ya Spirits zingine ambazo hazina body, means sio Binadamu.

Mengi yanawakuta Binadamu Kwa wao wenyewe kufungua milango Kwa hizo Spirit kuingia na kuwatawala.

Wewe ni Mkristo, ukisoma Mwanzo utaona Mungu aliwakataza Wana Israel walipotoka Misri kwamba wasijichanganye na Mila na Tamaduni za kule kwenye Nchi ya Ahadi, na mpaka akawaambia wasiache mtu akaishi coz mwisho watajifunza ujuzi ambao utawaletea Shida kwao.

Sasa wewe japo hujasema kilichokufanya uyafanyie kazi Yale ulojifunza, ila kifupi kinachokusumbua ni Evil Spirit, na umewaruhusu wewe mwenyewe, vile ambavyo hata Maombi Yako Sasa hayakusaidii, hata ukisoma Biblia yote kila siku ukaomba Kwa masaa 10 dairy haitakusaidia, coz Kuna Kanuni kwenye Kila kitu na Sasa unataka Mungu aingilie kati wakati hufati Kanuni, unatakiwa Ku repent na Malipizi juu yake, ufanye Covernent Prayer ya Nguvu....!

Uzuri wewe ni Mkristo, njoo inbox ntakusaidia tu kukupa Muongozo, na huko huko ulipo, Mungu atakufungua.

Mungu hajawahi kutuchukia sisi, ila anachukia tu Matendo yetu, Mungu Huwa hatuhesabii Makosa...!
Usiogope, hakuna shida kubwa Kwa Mungu, yeye ndo Muumba wa vyote Kwa maana ya wewe na hizo Spirits.

Njoo inbox.
 
Umefungua demonic portals, kama uko ulaya nenda kwa catholic exorcist. Lazima catholic.
 
hicho kitaba kenyewe si mmeona sio ya mashetani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…