residentura
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,146
- 11,434
Hongera na pole.Zote alizokuwa anajihusisha nazo Ndugu Sauli. Apumzike kwa amani
Hongera kwa kuijaza dunia.
Pole kwa hustling za mgodini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hongera na pole.Zote alizokuwa anajihusisha nazo Ndugu Sauli. Apumzike kwa amani
Hongera na pole.
Hongera kwa kuijaza dunia.
Pole kwa hustling za mgodini.
Changamoto zipi kubwa zilimkumba?zilimkumba
Changamoto zipi kubwa zilimkumba?
Bibi yangu aliwahi niambia mtu akishakufa kama hakusema hakuna atakaeweza kitakachofuata ni vita, kulogana.Mimi ni muhanga naelewa jirani, tena hizi kabila za kaskazini ni hatari kwenye mali unaweza kuiaga dunia km masihara.!!
Huko Mbeya watashinda wanarogana mpk wengine wawe vichaa.!
Jirani acha tu, haya mambo ni mepesi km hayajakukuta….. mali hizi unatangulizwa mapema kwa Sir GodBibi yangu aliwahi niambia mtu akishakufa kama hakusema hakuna atakaeweza kitakachofuata ni vita, kulogana.
Na hakunaga huruma kwenye hilo jirani.Jirani acha tu, haya mambo ni mepesi km hayajakukuta….. mali hizi unatangulizwa mapema kwa Sir God
Huruma itoke wapi watu wanawaza mali?Na hakunaga huruma kwenye hilo jirani.
Ndio uwe na moyo huo sasa vinginevyo patachimbika. Nani akubali kuachia assets za maana?Huruma itoke wapi watu wanawaza mali?
Hapo ni kukubali kuwaachia uponye nafsi yako
Hayajakukuta utaachia mwenyewe japo roho itauma.!!Ndio uwe na moyo huo sasa vinginevyo patachimbika. Nani akubali kuachia assets za maana?
Una access na akaunti zake!Wasifu mfupi wenye kueleweka lakini ulioacha Milioni za kutosha kwenye akaunti.
Sio sisi wengine una CV ndefu yenye Vyeti/PE/CPA/PROF/Shahada na PhD za kutosha lakini hata nyumba unakuta unaishi ya Serikali.
Ukifa tu ndiyo Siku hiyo hiyo familia yako inaondolewa ili aje aishi Kiongozi mwingine 🙌
Sina MkuuUna access na akaunti zake!
Umejuaje kuhusu mamilioni kwenye akaunti yakeSina Mkuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Simple tu
Alizaliwa.....1
Akafanya biashara na kuwa tajir......2
Akaoa na kuzalisha......3
Akafa kwa ajari....4
Sio wengine hawa wasomi uchwaraaa misiba yao inamambo mengi mara alisoma veta, akatoka veta akarisit akaenda chuo,huko chuo akachanguliwa kuwa mwenyekit wa chama,akarudi akawa muasibu wa benk,akachaguriwa kuwa msaidizi wa kamanda, marehem amecha nyumba na gwanda pamoja na sare za chama......
Hebu tuyaacheUmejuaje kuhusu mamilioni kwenye akaunti yake
Kuna watu hawakubali mpaka kifoHayajakukuta utaachia mwenyewe japo roho itauma.!!
Kuna faza wetu kazaliwa miaka kati ya 1978-1979 ana watoto 25.Watoto 16 na amezaliwa mwaka 1978
Waafrika tunapenda kuzaana sana
Walioanza elimu ya msingi 1988 hawakumaliza 1995Jina Kamili: Solomoni Sauli Mwalabhila
Kuzaliwa: August 01, 1978
Mahali: Mbeya
Elimu
Elimu ya Msingi: Shule ya Msingi Chunya kati(1988-1995)
Kazi
Alijiajiri kuanzia mwaka 1997, alianza kujishughulisha na biashara ya madini na uchimbaji na mabasi makubwa yaendayo mikoani.
Familia
Alifanikiwa kuoa wake watatu na kupata watoto 16, wa kike 7 na kiume 9.
Kufariki: August 04, 2024-Ajali ya gari
Pia, soma=> Mkurugenzi wa Kampuni ya Mabasi ya Sauli, Solomoni Mwalabhila afariki dunia