Nimependa wasifu wa Sauli, umeenda moja kwa moja kwenye maisha

Nimependa wasifu wa Sauli, umeenda moja kwa moja kwenye maisha

Simple tu
Alizaliwa.....1

Akafanya biashara na kuwa tajir......2

Akaoa na kuzalisha......3

Akafa kwa ajari....4

Sio wengine hawa wasomi uchwaraaa misiba yao inamambo mengi mara alisoma veta, akatoka veta akarisit akaenda chuo,huko chuo akachanguliwa kuwa mwenyekit wa chama,akarudi akawa muasibu wa benk,akachaguriwa kuwa msaidizi wa kamanda, marehem amecha nyumba na gwanda pamoja na sare za chama......
Ndo maana mnalogwa nyie ahahahah
 
Jina Kamili: Solomoni Sauli Mwalabhila
Kuzaliwa: August 01, 1978
Mahali: Mbeya

Elimu
Elimu ya Msingi: Shule ya Msingi Chunya kati(1988-1995)

Kazi
Alijiajiri kuanzia mwaka 1997, alianza kujishughulisha na biashara ya madini na uchimbaji na mabasi makubwa yaendayo mikoani.

Familia
Alifanikiwa kuoa wake watatu na kupata watoto 16, wa kike 7 na kiume 9.

Kufariki: August 04, 2024-Ajali ya gari

Pia, soma=> Mkurugenzi wa Kampuni ya Mabasi ya Sauli, Solomoni Mwalabhila afariki dunia

Mm nimependa kipengele cha familia wake 3 watoto 16😀😀
 
.... maisha maana yake nini nini? kusoma au kufanya kazi za kuajiliwa siyo maisha? Kikwete, Karume, na Shein hawan maisha?
 
Jina Kamili: Solomoni Sauli Mwalabhila
Kuzaliwa: August 01, 1978
Mahali: Mbeya

Elimu
Elimu ya Msingi: Shule ya Msingi Chunya kati(1988-1995)

Kazi
Alijiajiri kuanzia mwaka 1997, alianza kujishughulisha na biashara ya madini na uchimbaji na mabasi makubwa yaendayo mikoani.

Familia
Alifanikiwa kuoa wake watatu na kupata watoto 16, wa kike 7 na kiume 9.

Kufariki: August 04, 2024-Ajali ya gari

Pia, soma=> Mkurugenzi wa Kampuni ya Mabasi ya Sauli, Solomoni Mwalabhila afariki dunia

Watoto 16? Basi tena, hakuna utajiri hapo..
 
Simple tu
Alizaliwa.....1

Akafanya biashara na kuwa tajir......2

Akaoa na kuzalisha......3

Akafa kwa ajari....4

Sio wengine hawa wasomi uchwaraaa misiba yao inamambo mengi mara alisoma veta, akatoka veta akarisit akaenda chuo,huko chuo akachanguliwa kuwa mwenyekit wa chama,akarudi akawa muasibu wa benk,akachaguriwa kuwa msaidizi wa kamanda, marehem amecha nyumba na gwanda pamoja na sare za chama......
Halafu mwisho wa wasifu unakuta hajaacha hata genge la kuuza nazi.

Mwamba katimiza hasa principle ya maisha. Kazaliwa, kaishi na kafariki. No mbwembwe.
 
Hapo usimamizi wa Mali zilizoachwa ni Mgumu mno,idadi ya hao watoto ma mama Zao hawawezi kuwa na niya Moja ya kuziendeleza mwisho wataishia kusema kila Mtu afe na chake baada ya hapo biashara imeisha inabaki historia
 
Back
Top Bottom