gammaparticles
JF-Expert Member
- Jan 9, 2024
- 1,407
- 3,855
Kibongobongo hapo na hayo mabasi yote yanamfuata baada ya muda inabaki historia tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo maana mnalogwa nyie ahahahahSimple tu
Alizaliwa.....1
Akafanya biashara na kuwa tajir......2
Akaoa na kuzalisha......3
Akafa kwa ajari....4
Sio wengine hawa wasomi uchwaraaa misiba yao inamambo mengi mara alisoma veta, akatoka veta akarisit akaenda chuo,huko chuo akachanguliwa kuwa mwenyekit wa chama,akarudi akawa muasibu wa benk,akachaguriwa kuwa msaidizi wa kamanda, marehem amecha nyumba na gwanda pamoja na sare za chama......
Mm nimependa kipengele cha familia wake 3 watoto 16😀😀Jina Kamili: Solomoni Sauli Mwalabhila
Kuzaliwa: August 01, 1978
Mahali: Mbeya
Elimu
Elimu ya Msingi: Shule ya Msingi Chunya kati(1988-1995)
Kazi
Alijiajiri kuanzia mwaka 1997, alianza kujishughulisha na biashara ya madini na uchimbaji na mabasi makubwa yaendayo mikoani.
Familia
Alifanikiwa kuoa wake watatu na kupata watoto 16, wa kike 7 na kiume 9.
Kufariki: August 04, 2024-Ajali ya gari
Pia, soma=> Mkurugenzi wa Kampuni ya Mabasi ya Sauli, Solomoni Mwalabhila afariki dunia
Nimetag kama tajiri wa kike au kama unamjua tajiri yeyote wa kike anayepiga mkojo kisa utajiri wake..!! Kilicho sahihi kijibu hichohicho nkamu ghwanghu..!!Umetag Kama tajiri wa kike au?
Nchi ilishajaa zamani!?Zaeni mkaijaze nchi
Watoto 16? Basi tena, hakuna utajiri hapo..Jina Kamili: Solomoni Sauli Mwalabhila
Kuzaliwa: August 01, 1978
Mahali: Mbeya
Elimu
Elimu ya Msingi: Shule ya Msingi Chunya kati(1988-1995)
Kazi
Alijiajiri kuanzia mwaka 1997, alianza kujishughulisha na biashara ya madini na uchimbaji na mabasi makubwa yaendayo mikoani.
Familia
Alifanikiwa kuoa wake watatu na kupata watoto 16, wa kike 7 na kiume 9.
Kufariki: August 04, 2024-Ajali ya gari
Pia, soma=> Mkurugenzi wa Kampuni ya Mabasi ya Sauli, Solomoni Mwalabhila afariki dunia
Oooh...yes! That is a good history of the late Solomoni Sauli...!That good history
Utajiri roho,pesa makaratasi.Watoto 16? Basi tena, hakuna utajiri hapo..
Mapato lazima yagawanywe kwa usawa, sasa hapo wakko 16.., bado na wake watatu. Ila kafanya vizuri, kila mtu atafute chake.., sio jitu linakaa linasubiri mwenzake atangulie ili yeye atajirike..Utajiri roho,pesa makaratasi.
2 billions.40% depreciation. Remainders 1.6blns divideed to the four=400 mlns.400mlns/4=100mlnsMapato lazima yagawanywe kwa usawa, sasa hapo wakko 16.., bado na wake watatu
Kabla ya kugawa mali kwa warithi, madeni yote ya marehemu lazima yote yalipwe kwanza,na kinachobaki ndiyo watapewa warithi!!2 billions.40% depreciation. Remainders 1.6blns divideed to the four=400 mlns.400mlns/4=100mlns
Not as bad as having nothing with white sands.
I have put all those unto consideration. Kwani wakibaki hata na 50 mlns @ won't be as bad as having itchy fingures!Kabla ya kugawa mali kwa warithi, madeni yote ya marehemu lazima yote yalipwe kwanza,na kinachobaki ndiyo watapewa warithi!!
Halafu mwisho wa wasifu unakuta hajaacha hata genge la kuuza nazi.Simple tu
Alizaliwa.....1
Akafanya biashara na kuwa tajir......2
Akaoa na kuzalisha......3
Akafa kwa ajari....4
Sio wengine hawa wasomi uchwaraaa misiba yao inamambo mengi mara alisoma veta, akatoka veta akarisit akaenda chuo,huko chuo akachanguliwa kuwa mwenyekit wa chama,akarudi akawa muasibu wa benk,akachaguriwa kuwa msaidizi wa kamanda, marehem amecha nyumba na gwanda pamoja na sare za chama......
Ila nzi wanafukuzika tu.Wasifu mfupi kama mkia wa mbuzi..