Nimependa wasifu wa Sauli, umeenda moja kwa moja kwenye maisha

Nimependa wasifu wa Sauli, umeenda moja kwa moja kwenye maisha

Simple tu
Alizaliwa.....1

Akafanya biashara na kuwa tajir......2

Akaoa na kuzalisha......3

Akafa kwa ajari....4

Sio wengine hawa wasomi uchwaraaa misiba yao inamambo mengi mara alisoma veta, akatoka veta akarisit akaenda chuo,huko chuo akachanguliwa kuwa mwenyekit wa chama,akarudi akawa muasibu wa benk,akachaguriwa kuwa msaidizi wa kamanda, marehem amecha nyumba na gwanda pamoja na sare za chama......
Hii Kali😁😁😁
 
Ungetafuta kidume kipagane kiume kwa niaba yako, wewe unakipa points tu.
Mali za familia ni tatizo mnaweza kuuana.!!
Kikubwa nna nguvu na afya ya kutafuta vya kwangu wala siumizi kichwa..!!
Yani mzee amekufa tayari bro mkubwa chap kashajinunulia semi zake 2, ukijitia kihelehele kumuhoji hashindwi kukutumia wazee wa kazi wakutangulize.!! Ni zaidi ya Mafia.
 
Ushachelewa ww......,
labda uvute bangi sasa
Alafu eti nianze kusema mchawi wangu ni nani ?Ni hawa hawa marafiki zangu ninaoshinda nao jamiiforums akina ras jeff kapita yaani hata miaka hamsini sijafika alafu ananikatisha tamaa namna hii ? Tena mbele ya wanajukwaa maelfu kwa maelfu ?

Natangaza kukuandika kwenye diary yangu ya watu ambao nikitoboa zaidi inabidi niwatafute kuwaringishia Mali zangu
 
Watoto 16 na amezaliwa mwaka 1978
Waafrika tunapenda kuzaana sana
Huwa kuna vita baridi ya kuushinda uzinzi mkuu hasa ukiwa na visible chochote kitu pesa na mali kama huna hekima ya kiMunguutampata kila mwanamke unaemtani kiwepesi ,wa kubeba mimba makusudi pia wapo . .ni mkrito lakini cheki hao wanawake msururu...unadhani hawakujua anamke wa ndoa wa mwanzo kabisa ..nzi hutua palipo na kidonda,
 
Back
Top Bottom