Nimependa wasifu wa Sauli, umeenda moja kwa moja kwenye maisha

Nimependa wasifu wa Sauli, umeenda moja kwa moja kwenye maisha

Vita ya mali lazima na watatangulizana wengi na biashara zote zitakufa.!
Hapo poa inawezekana wamemuwahi lakini lazima wataibuka watoto wa kijeshi kama.baba yao,mara nyingi watoto kama hao biashara inayowafaa ni majumba ya kupangisha,shida ukiwa nacho hukumbuki aina ya uwekezaji.Lakini lodge zikiwa vimiji kama kasumulu,Tunduma,Namanga ,buza huko,Tandale walahi hulali njaa lodge za DSM hulali njaa
 
Jina Kamili: Solomoni Sauli Mwalabhila
Kuzaliwa: August 01, 1978
Mahali: Mbeya

Elimu
Elimu ya Msingi: Shule ya Msingi Chunya kati(1988-1995)

Kazi
Alijiajiri kuanzia mwaka 1997, alianza kujishughulisha na biashara ya madini na uchimbaji na mabasi makubwa yaendayo mikoani.

Familia
Alifanikiwa kuoa wake watatu na kupata watoto 16, wa kike 7 na kiume 9.

Kufariki: August 04, 2024-Ajali ya gari

Pia, soma=> Mkurugenzi wa Kampuni ya Mabasi ya Sauli, Solomoni Mwalabhila afariki dunia

Wafrika hatutunzagi kumbukumbu kwa maandishi ndio maana imekuwa fupi hata hivyo wamejitahidi kuandika .
 
Kwa hiyo Familia, ni wazi vita ya mali imemuondoa Baba wa watu.
Polee yake sanaa
Washamzika faster
Huko kwao godima
Ugomvi wa Mali kama jamaa
Hajaweka mambo mambo sawa
Lazima itoke,wake 3 tena

Ova
 
Simple tu
Alizaliwa.....1

Akafanya biashara na kuwa tajir......2

Akaoa na kuzalisha......3

Akafa kwa ajari....4

Sio wengine hawa wasomi uchwaraaa misiba yao inamambo mengi mara alisoma veta, akatoka veta akarisit akaenda chuo,huko chuo akachanguliwa kuwa mwenyekit wa chama,akarudi akawa muasibu wa benk,akachaguriwa kuwa msaidizi wa kamanda, marehem amecha nyumba na gwanda pamoja na sare za chama......
😀😀😀😀😀😀😀
 
Huo ni mpango wa kishamba unaoaminiwa na wajinga tu.

Kwa hiyo mkishaijaza dunia ikajaa, atashusha tena andiko jingine kwamba sasa acheni kuzaa dunia imejaa?
Natural ecosystem ita balance yenyewe kwani kuna kiumbe anaeishi milele!!?

Huoni nuclear family plus family planning inavyosababisha Aging population kwa mataifa ya ulaya !!?Hadi wanalegeza masharti kwa wahamiaji ili ku balance population!!?

Dunia haiwezi jaa ila Kuna uwezekano wa mkubwa wa kizazi kupotea kwa family planning plus nuclear family!
 
Back
Top Bottom