Hapo poa inawezekana wamemuwahi lakini lazima wataibuka watoto wa kijeshi kama.baba yao,mara nyingi watoto kama hao biashara inayowafaa ni majumba ya kupangisha,shida ukiwa nacho hukumbuki aina ya uwekezaji.Lakini lodge zikiwa vimiji kama kasumulu,Tunduma,Namanga ,buza huko,Tandale walahi hulali njaa lodge za DSM hulali njaaVita ya mali lazima na watatangulizana wengi na biashara zote zitakufa.!