Midekoo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2015
- 45,757
- 246,786
Nawahurumia watoto wake na Kama wake zake aliangalia makalio nandala ya akili mtihani Sana....Vita ya mali lazima na watatangulizana wengi na biashara zote zitakufa.!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nawahurumia watoto wake na Kama wake zake aliangalia makalio nandala ya akili mtihani Sana....Vita ya mali lazima na watatangulizana wengi na biashara zote zitakufa.!
Hawawezi wakakuelewa tena hao watatu ni wachache sana, wapuuzi watanunaNa ndio mpango wa Mungu!!"zaeni mkaongezeke muijaze Dunia,"huwezi ijaza Kwa mke mmoja!!
Hapo kazi wanayo na ninavyowajua watu wa Mbeya mtifuano lazima.Nawahurumia watoto wake na Kama wake zake aliangalia makalio nandala ya akili mtihani Sana....
Hakuna shidaKama pesa ipo na management ipo vyema, unakula na kushiba vizuri shida nini
Pole sana punguza idadi ya watotoUjinga maradhi haswa afya ya akili na umasikini wa fikra uliotopea ndio hasa mtu anaweza kutoa maoni kama hayo.
Mwana alikuwa na hobby ya kufyatua.. Apumzike kwa amaniJina Kamili: Solomoni Sauli Mwalabhila
Kuzaliwa: August 01, 1978
Mahali: Mbeya
Elimu
Elimu ya Msingi: Shule ya Msingi Chunya kati(1988-1995)
Kazi
Alijiajiri kuanzia mwaka 1997, alianza kujishughulisha na biashara ya madini na uchimbaji na mabasi makubwa yaendayo mikoani.
Familia
Alifanikiwa kuoa wake watatu na kupata watoto 16, wa kike 7 na kiume 9.
Kufariki: August 04, 2024-Ajali ya gari
Pia, soma=> Mkurugenzi wa Kampuni ya Mabasi ya Sauli, Solomoni Mwalabhila afariki dunia
Shemela acha umalaya ujuwe..!!Ndio tunapiga....
Sawa wewe komaa na hao wa kwako wawili wasije kuoneana wivuHakuna shida
Pole sana punguza idadi ya watoto
Kuwa na watoto wengi ni upumbavu hawana faida yoyote zaidi ya kuoneana wivu
Jamaa mmoja simple sana..Jina Kamili: Solomoni Sauli Mwalabhila
Kuzaliwa: August 01, 1978
Mahali: Mbeya
Elimu
Elimu ya Msingi: Shule ya Msingi Chunya kati(1988-1995)
Kazi
Alijiajiri kuanzia mwaka 1997, alianza kujishughulisha na biashara ya madini na uchimbaji na mabasi makubwa yaendayo mikoani.
Familia
Alifanikiwa kuoa wake watatu na kupata watoto 16, wa kike 7 na kiume 9.
Kufariki: August 04, 2024-Ajali ya gari
Pia, soma=> Mkurugenzi wa Kampuni ya Mabasi ya Sauli, Solomoni Mwalabhila afariki dunia
Nyoko kabisa 😂😂😂 ameishi kifala sana marehemu😂Simple tu
Alizaliwa.....1
Akafanya biashara na kuwa tajir......2
Akaoa na kuzalisha......3
Akafa kwa ajari....4
Sio wengine hawa wasomi uchwaraaa misiba yao inamambo mengi mara alisoma veta, akatoka veta akarisit akaenda chuo,huko chuo akachanguliwa kuwa mwenyekit wa chama,akarudi akawa muasibu wa benk,akachaguriwa kuwa msaidizi wa kamanda, marehem amecha nyumba na gwanda pamoja na sare za chama......
Kama unamudu kutunza zaa hata 30Watoto 16 na amezaliwa mwaka 1978
Waafrika tunapenda kuzaana sana
Sasa unaingia AfricaVita ya mali lazima na watatangulizana wengi na biashara zote zitakufa.!
Maisha hayana fixed.method,kila.lenye.mwanzo halina mwisho,mwenye kupata apate.Mwisho ndo inakuwa Bora ugali dagaa kwenye amani kuliko wali nyama vitani. Mitala inateseka pindi la kutokea likitokea
"Nawahurumia watoto wake na Kama wake zake aliangalia makalio nandala ya akili mtihani Sana.."Katika dunia ya utafutaji