Nimependa wasifu wa Sauli, umeenda moja kwa moja kwenye maisha

Mimi ni muhanga naelewa jirani, tena hizi kabila za kaskazini ni hatari kwenye mali unaweza kuiaga dunia km masihara.!!
Huko Mbeya watashinda wanarogana mpk wengine wawe vichaa.!
Bibi yangu aliwahi niambia mtu akishakufa kama hakusema hakuna atakaeweza kitakachofuata ni vita, kulogana.
 
Una access na akaunti zake!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Walioanza elimu ya msingi 1988 hawakumaliza 1995
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…