Mlundilwa Jr
JF-Expert Member
- Dec 11, 2019
- 3,187
- 4,857
Mbona hujafunguka ipasavyo mkuu hujasema mlikutana wapi na mlianzaje kujenga urafiki au alizuka tuu kama malika?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata yeye anataka kurithishwa nyumba...Ingekuwa mwanamke kunawatu wangekuja na comments
Anatafuta urithi
Huyu wanaona anaenda kutafuta maisha. Maajabu hayaIngekuwa mwanamke kunawatu wangekuja na comments
Anatafuta urithi
Kuna mwaka wana Jf wote walikuwa ughaibuni baadhi America wengine Tehrani, kama kurudi basi mwakajanaDuuh, kumbee bongo walioko ughaibuni ni wengi eeh!! [emoji848]
Afu hawajioneshi wala niniDuuh, kumbee bongo walioko ughaibuni ni wengi eeh!! [emoji848]
[emoji23][emoji23][emoji2][emoji2][emoji2]Ingekuwa mwanamke kunawatu wangekuja na comments
Anatafuta urithi
[emoji23][emoji2][emoji2][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji16]Kuna mwaka wana Jf wote walikuwa ughaibuni baadhi America wengine Tehrani, kama kurudi basi mwakajana
Nilijuana naye kupitia rafiki yangu msomali mtanzania alikua akiishi jirani na hiyo familia. Bibi alipenda picha zangu akaomba urafiki nami.Mbona hujafunguka ipasavyo mkuu hujasema mlikutana wapi na mlianzaje kujenga urafiki au alizuka tuu kama malika?
Hapana ni kweli. Sijaja kufurahisha genge.Maelezo mengi sana, hii ni Chai [emoji23][emoji23][emoji23]
Bado hajafika mkuu safari ndefu sanaKuna yule aliependwa na binti wa 17 years huko Malta.. aje kukupa mrejesho au ndio keshatolewa figo keshafilia mbali?
Ah sikua hata na mawazo ya kwenda ughaibuni. Zaidi naye hakuwahi nitamkia maneno ya kwenda huko wala mapenzi ila alikua akinisifia mnoo..nami nilichukulia tu amependa kunisaidia. Alikua akinisapoti tu kimaisha.Miaka 10 yote ulikuwa hujui cha kufanya ndugu?
Nimeanza wasiliana ndio toka na miaka 18.Ina maana tangu uko na 18 umeanza rondea bibi ya kizungu?
Hodi wakuu heshima yenu
Habarini! Ningeomba mnipokee jamvini. Ni mwanaume. Naishi Dar kijana wa miaka 28. Nawasilisha.www.jamiiforums.com