Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Okay, dunia ina mambo...
Najaribu tafakari, mtu anawezaje kuwa na urafiki na bibi mtu mzima ambaye ni rika la bibi yake...!
Wakuu nishaurini nikubali au la? Maana hapa mjini sina ishu ya kueleweka.
Anataka nifanye kazi na nisome zaidi. Sio kwamba nikae kizembe. Na hili hata huku alinifadhili kusoma professional short courses 2 tofauti.Kwahyo hio ndio ishu ya kueleweka.????
Jifunze kujitegemea...
Olewa na jimama nenda ukadeki huko but usi relax to that extent... Kumbuka wewe bado ni mwanaume...
Linda heshima yako.... Hatua unayoikimbia lazima utairudia... Takatisha ukiweza otherwise hustle utakuja kuzirudia huko mbele.
Mimi kitu nimekuja kujifunza kwenye haya maisha bana fursa ikikutembelea usiilazie damu. Kwa sisi tunaoishi kanda ya kaskazini huku vijana kibao tu wamekamata vibibi/vibabu na wanasukuma life freshi tuu.. Mi nna jamaa zangu kibao wako na vibibi vyao kila siku wanaruka mtoni hasa ujerumani, denmark, finland nk. Jamaa wana maisha fresh tu wamefungua makampuni ya tours wana mijengo ya maana, wanapush mikoko heavy town na vibibi vyao. Madem nao hawako nyuma wengi unaona wana ma restaurant, ma boutique ya maana hela ni za vibabu.Vipi unasubiri uje upigwe na kitu kizito na stress za mademu wa bongo. Tafuta Passport fasta uondoke hii nchi
Unataka kupiga mtu hapa wewe.Finland sehemu gani? Msingi kiuno Mzee, huku divorce ni kitu cha miezi sita tu uko free mtaani. Kama una ndoto ya kuja Ulaya nakushauri umchukue tu ila ufunge ndoa bomani. Chukua mashahidi wawili funga ndoa makaratasi yakamilike uje.
Ujiandae kwa baridi lakini, Finland tuna baridi kali sana. Ukifika ukihitaji ushauri usisite kunitafuta. Naishi mji wa Espoo Karibu na Helsinki.
Mkuu unaposali unamuomba Mungu akushushie baraka, usidhani Mungu ataacha shughuli zake aje akuletee baraka kwa miguu. Ndio kama ivyo kakituma icho kiajuzaAnataka nifanye kazi na nisome zaidi. Sio kwamba nikae kizembe. Na hili hata huku alinifadhili kusoma professional short courses 2 tofauti.
Kabisa mkubwa nimekuelewa sanaMkuu unaposali unamuomba Mungu akushushie baraka, usidhani Mungu ataacha shughuli zake aje akuletee baraka kwa miguu. Ndio kama ivyo kakituma icho kiajuza
Safi mkuu kwa moyo huo wa ukarimuFinland sehemu gani? Msingi kiuno Mzee, huku divorce ni kitu cha miezi sita tu uko free mtaani. Kama una ndoto ya kuja Ulaya nakushauri umchukue tu ila ufunge ndoa bomani. Chukua mashahidi wawili funga ndoa makaratasi yakamilike uje.
Ujiandae kwa baridi lakini, Finland tuna baridi kali sana. Ukifika ukihitaji ushauri usisite kunitafuta. Naishi mji wa Espoo Karibu na Helsinki.
Unataka kupiga mtu hapa wewe.
Safi mkuu kwa moyo huo wa ukarimu
mkuu unaharibu sifa ya uanaume wanaume hatupendi kwa sababu ya... ila tunapenda kwa kuwa mioyo yetu inapenda over kama unampenda we oa ila kama ni kwa sababu ya pesa na ili uishi pambana tafta pesa yako ikikosa tafta mwanamke mnaeendana usipende mserereko wanaume tuliumbwa tutafte kwa jasho na wanawake wazae kwa uchungu, na ukishindwa kutafta kwa jasho utafilwaHabari wakuu.
Nisiwachoshe na maneno mengi. Nimebahatika kuwa kwenye urafiki na huyu mama/bibi wa kizungu kwa miaka 10 sasa.
Amekua akinisaidia hapa na pale.
Sasa anataka tuwe wapenzi na mimi niende kwake. Anaishi na mabinti zake wawili. Mabinti wamekubali uhusiano na kuubariki.
Pia anataka anisajili kama mrithi wa nyumba yake, kingine anataka nikienda nipate kazi, hataki nikae bure na kipato changu nikitumie kumsaidia mtoto wangu na ndugu zangu. Nchi ni Finland.
Wakuu nishaurini nikubali au la? Maana hapa mjini sina ishu ya kueleweka.
Labda TBS ya ulaya sio ya hapa bongoNataka shirika la viwango lithibitishe hili jambo
Maskini mwenyewe!!Fikra za kimasikini
Usije kuoa kwasababu unapenda.mkuu unaharibu sifa ya uanaume wanaume hatupendi kwa sababu ya... ila tunapenda kwa kuwa mioyo yetu inapenda over kama unampenda we oa ila kama ni kwa sababu ya pesa na ili uishi pambana tafta pesa yako ikikosa tafta mwanamke mnaeendana usipende mserereko wanaume tuliumbwa tutafte kwa jasho na wanawake wazae kwa uchungu, na ukishindwa kutafta kwa jasho utafilwa
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Kuna mwaka wana Jf wote walikuwa ughaibuni baadhi America wengine Tehrani, kama kurudi basi mwakajana