Nimependwa na bibi wa kizungu anataka tuoane

Nimependwa na bibi wa kizungu anataka tuoane

Wakuu nishaurini nikubali au la? Maana hapa mjini sina ishu ya kueleweka.

Kwahyo hio ndio ishu ya kueleweka.????

Jifunze kujitegemea...

Olewa na jimama nenda ukadeki huko but usi relax to that extent... Kumbuka wewe bado ni mwanaume...

Linda heshima yako.... Hatua unayoikimbia lazima utairudia... Takatisha ukiweza otherwise hustle utakuja kuzirudia huko mbele.
 
Kwahyo hio ndio ishu ya kueleweka.????

Jifunze kujitegemea...

Olewa na jimama nenda ukadeki huko but usi relax to that extent... Kumbuka wewe bado ni mwanaume...

Linda heshima yako.... Hatua unayoikimbia lazima utairudia... Takatisha ukiweza otherwise hustle utakuja kuzirudia huko mbele.
Anataka nifanye kazi na nisome zaidi. Sio kwamba nikae kizembe. Na hili hata huku alinifadhili kusoma professional short courses 2 tofauti.
 
Vipi unasubiri uje upigwe na kitu kizito na stress za mademu wa bongo. Tafuta Passport fasta uondoke hii nchi
Mimi kitu nimekuja kujifunza kwenye haya maisha bana fursa ikikutembelea usiilazie damu. Kwa sisi tunaoishi kanda ya kaskazini huku vijana kibao tu wamekamata vibibi/vibabu na wanasukuma life freshi tuu.. Mi nna jamaa zangu kibao wako na vibibi vyao kila siku wanaruka mtoni hasa ujerumani, denmark, finland nk. Jamaa wana maisha fresh tu wamefungua makampuni ya tours wana mijengo ya maana, wanapush mikoko heavy town na vibibi vyao. Madem nao hawako nyuma wengi unaona wana ma restaurant, ma boutique ya maana hela ni za vibabu.
 
Finland sehemu gani? Msingi kiuno Mzee, huku divorce ni kitu cha miezi sita tu uko free mtaani. Kama una ndoto ya kuja Ulaya nakushauri umchukue tu ila ufunge ndoa bomani. Chukua mashahidi wawili funga ndoa makaratasi yakamilike uje.

Ujiandae kwa baridi lakini, Finland tuna baridi kali sana. Ukifika ukihitaji ushauri usisite kunitafuta. Naishi mji wa Espoo Karibu na Helsinki.
Unataka kupiga mtu hapa wewe.
 
Anataka nifanye kazi na nisome zaidi. Sio kwamba nikae kizembe. Na hili hata huku alinifadhili kusoma professional short courses 2 tofauti.
Mkuu unaposali unamuomba Mungu akushushie baraka, usidhani Mungu ataacha shughuli zake aje akuletee baraka kwa miguu. Ndio kama ivyo kakituma icho kiajuza
 
Finland sehemu gani? Msingi kiuno Mzee, huku divorce ni kitu cha miezi sita tu uko free mtaani. Kama una ndoto ya kuja Ulaya nakushauri umchukue tu ila ufunge ndoa bomani. Chukua mashahidi wawili funga ndoa makaratasi yakamilike uje.

Ujiandae kwa baridi lakini, Finland tuna baridi kali sana. Ukifika ukihitaji ushauri usisite kunitafuta. Naishi mji wa Espoo Karibu na Helsinki.
Safi mkuu kwa moyo huo wa ukarimu
 
Nenda haraka. Ili mradi tu jitambue. Ukifika kule piga sana kazi. Mshahara wake uko juu. Wakati unapiga kazi kule,pamoja na kuwasaidia ndugu wekeza hapa nchini maeneo mazuri.
 
Habari wakuu.

Nisiwachoshe na maneno mengi. Nimebahatika kuwa kwenye urafiki na huyu mama/bibi wa kizungu kwa miaka 10 sasa.
Amekua akinisaidia hapa na pale.

Sasa anataka tuwe wapenzi na mimi niende kwake. Anaishi na mabinti zake wawili. Mabinti wamekubali uhusiano na kuubariki.

Pia anataka anisajili kama mrithi wa nyumba yake, kingine anataka nikienda nipate kazi, hataki nikae bure na kipato changu nikitumie kumsaidia mtoto wangu na ndugu zangu. Nchi ni Finland.

Wakuu nishaurini nikubali au la? Maana hapa mjini sina ishu ya kueleweka.
mkuu unaharibu sifa ya uanaume wanaume hatupendi kwa sababu ya... ila tunapenda kwa kuwa mioyo yetu inapenda over kama unampenda we oa ila kama ni kwa sababu ya pesa na ili uishi pambana tafta pesa yako ikikosa tafta mwanamke mnaeendana usipende mserereko wanaume tuliumbwa tutafte kwa jasho na wanawake wazae kwa uchungu, na ukishindwa kutafta kwa jasho utafilwa
 
Hiyo ndio njia kubwa pekee wanayoitumia vijana wengi kwenda ughaibuni
 
mkuu unaharibu sifa ya uanaume wanaume hatupendi kwa sababu ya... ila tunapenda kwa kuwa mioyo yetu inapenda over kama unampenda we oa ila kama ni kwa sababu ya pesa na ili uishi pambana tafta pesa yako ikikosa tafta mwanamke mnaeendana usipende mserereko wanaume tuliumbwa tutafte kwa jasho na wanawake wazae kwa uchungu, na ukishindwa kutafta kwa jasho utafilwa
Usije kuoa kwasababu unapenda.
Itakugharimu mahali
 
Back
Top Bottom