Ni kama Mrema na mke wake mpya.....mtu na mjukuu wake. Yote yawezekana ktk ushenzi.Okay, dunia ina mambo...
Najaribu tafakari, mtu anawezaje kuwa na urafiki na bibi mtu mzima ambaye ni rika la bibi yake...!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kama Mrema na mke wake mpya.....mtu na mjukuu wake. Yote yawezekana ktk ushenzi.Okay, dunia ina mambo...
Najaribu tafakari, mtu anawezaje kuwa na urafiki na bibi mtu mzima ambaye ni rika la bibi yake...!
Wewe ni tapeli.......Nilijuana naye kupitia rafiki yangu msomali mtanzania alikua akiishi jirani na hiyo familia. Bibi alipenda picha zangu akaomba urafiki nami.
Watakuwa ni hawa volunteers wanaokuja kufundisha mashuleni sasa kapata kijana anaona aondoke nayeMbona hujafunguka ipasavyo mkuu hujasema mlikutana wapi na mlianzaje kujenga urafiki au alizuka tuu kama malika?
Mm nipo ulaya hapa nataka nithibitishe kwanza kabla ndg yangu hajauziwa mbuzi kwenye guniaLabda TBS ya ulaya sio ya hapa bongo
Mkuu tambua kua maisha ya sasa yamebadilika, hiyo nadharia ya kula kwa jasho ni ya kizamani. Siku izi kila mtu mwenye mafanikio ujue kuna mahali kaotea MSEREREKO! Kumbuka hata wewe unavyopiga dili zako, unakula rushwa, unawaingiza kingi wajinga wajinga unapiga pesa ndefu, ule nao ni MSEREREKO! Cheki viongozi wa umma wanavyoserereka, wachungaji, matrafiki, mahakimu nk..... Ukikomaa na kula kwa jasho maisha haya utakufa masikini we tumia fursa yoyote ile inayojitokeza!mkuu unaharibu sifa ya uanaume wanaume hatupendi kwa sababu ya... ila tunapenda kwa kuwa mioyo yetu inapenda over kama unampenda we oa ila kama ni kwa sababu ya pesa na ili uishi pambana tafta pesa yako ikikosa tafta mwanamke mnaeendana usipende mserereko wanaume tuliumbwa tutafte kwa jasho na wanawake wazae kwa uchungu, na ukishindwa kutafta kwa jasho utafilwa
Aache kusajili watoto wake kwenye hiyo nyumba akusajili wewe??,Habari wakuu.
Nisiwachoshe na maneno mengi. Nimebahatika kuwa kwenye urafiki na huyu mama/bibi wa kizungu kwa miaka 10 sasa.
Amekua akinisaidia hapa na pale.
Sasa anataka tuwe wapenzi na mimi niende kwake. Anaishi na mabinti zake wawili. Mabinti wamekubali uhusiano na kuubariki.
Pia anataka anisajili kama mrithi wa nyumba yake, kingine anataka nikienda nipate kazi, hataki nikae bure na kipato changu nikitumie kumsaidia mtoto wangu na ndugu zangu. Nchi ni Finland.
Wakuu nishaurini nikubali au la? Maana hapa mjini sina ishu ya kueleweka.
Adoption?Watu8 inawezekana.
Jirani yetu kulikuwa na mtoto wa darasa la saba.
Kibibi cha kizungu kikampenda kufa anatoka Ulaya anakuja kumtembelea kwao, anamsomesha mpaka sasa na amempeleka kwao Ujerumani, mie nilikuwa naona ni uhusiano wa mtu na mjukuu wake, wengine wanasema wa kimapenzi(kuna raia mpaka zilikuwa zinatamani ile nafasi na kumuonea wivu dogo)
Kijana anasoma chuo Ujerumani sasa sijajua aina ya mahusiano wanayoendelea nayo sasa.
Anataka nifanye kazi na nisome zaidi. Sio kwamba nikae kizembe. Na hili hata huku alinifadhili kusoma professional short courses 2 tofauti.
Kweli wa bongo tuko vizuri asee.Finland sehemu gani? Msingi kiuno Mzee, huku divorce ni kitu cha miezi sita tu uko free mtaani. Kama una ndoto ya kuja Ulaya nakushauri umchukue tu ila ufunge ndoa bomani. Chukua mashahidi wawili funga ndoa makaratasi yakamilike uje.
Ujiandae kwa baridi lakini, Finland tuna baridi kali sana. Ukifika ukihitaji ushauri usisite kunitafuta. Naishi mji wa Espoo Karibu na Helsinki.
Kabisa nami sina noma kama zipo mbona nazitoa tuSasa unasubiri nini kukubali ,nenda katafute maisha huko ili kesho utupe connection ya vibabu vya kizungu [emoji6]
[emoji2][emoji2]Kabisa nami sina noma kama zipo mbona nazitoa tu
Ndo nyie mnaoenda huko kufanyishwa kazi kubebeshwa watoto na kufua vyupi vya watoto na huyo unaemwita bibi. Kwa mzungu hakuna Cha bure, lazima Kuna namna utalipiatu.Habari wakuu.
Nisiwachoshe na maneno mengi. Nimebahatika kuwa kwenye urafiki na huyu mama/bibi wa kizungu kwa miaka 10 sasa.
Amekua akinisaidia hapa na pale.
Sasa anataka tuwe wapenzi na mimi niende kwake. Anaishi na mabinti zake wawili. Mabinti wamekubali uhusiano na kuubariki.
Pia anataka anisajili kama mrithi wa nyumba yake, kingine anataka nikienda nipate kazi, hataki nikae bure na kipato changu nikitumie kumsaidia mtoto wangu na ndugu zangu. Nchi ni Finland.
Wakuu nishaurini nikubali au la? Maana hapa mjini sina ishu ya kueleweka.
Huku chuga wako vijana wameoa vibibi vibogoyo wanavisukuma nyama wanunuliwe landcruiser za kubeba wataliiHabari wakuu.
Nisiwachoshe na maneno mengi. Nimebahatika kuwa kwenye urafiki na huyu mama/bibi wa kizungu kwa miaka 10 sasa.
Amekua akinisaidia hapa na pale.
Sasa anataka tuwe wapenzi na mimi niende kwake. Anaishi na mabinti zake wawili. Mabinti wamekubali uhusiano na kuubariki.
Pia anataka anisajili kama mrithi wa nyumba yake, kingine anataka nikienda nipate kazi, hataki nikae bure na kipato changu nikitumie kumsaidia mtoto wangu na ndugu zangu. Nchi ni Finland.
Wakuu nishaurini nikubali au la? Maana hapa mjini sina ishu ya kueleweka.
PoleNdo nyie mnaoenda huko kufanyishwa kazi kubebeshwa watoto na kufua vyupi vya watoto na huyo unaemwita bibi. Kwa mzungu hakuna Cha bure, lazima Kuna namna utalipiatu.
Lizika na maisha yako ya bongo kama anakupenda kweli akufate yeye uje uishi nae
Uzuri ni lizuri kwel na ana big tako miguu minene na sura nzuri sio kama wazungu wengine wabovu. Maana hata binti zake wazuri kwelikweli kama mama yao. Ni mtu mzima miaka 69 ila yupo kama ana miaka 40.[emoji2][emoji2]