Nimependwa na bibi wa kizungu anataka tuoane

Nimependwa na bibi wa kizungu anataka tuoane

Okay, dunia ina mambo...

Najaribu tafakari, mtu anawezaje kuwa na urafiki na bibi mtu mzima ambaye ni rika la bibi yake...!
Ni kama Mrema na mke wake mpya.....mtu na mjukuu wake. Yote yawezekana ktk ushenzi.
 
Siku hizi kuna wanaume mnaojiuza kwa wanawake, looh dunia imeisha, wanaume halisi twazidi kupungua, huyo bibi usidhani ni mjinga sana kwamba hajui ulichofata kwake ni Pesa na mali tu, anakudanganya kuwa atakurithisha nyumba ili ujae kingi akufuje, warithi wa mali za huyo bibi ni wanawe Humanity comes first
 
mkuu unaharibu sifa ya uanaume wanaume hatupendi kwa sababu ya... ila tunapenda kwa kuwa mioyo yetu inapenda over kama unampenda we oa ila kama ni kwa sababu ya pesa na ili uishi pambana tafta pesa yako ikikosa tafta mwanamke mnaeendana usipende mserereko wanaume tuliumbwa tutafte kwa jasho na wanawake wazae kwa uchungu, na ukishindwa kutafta kwa jasho utafilwa
Mkuu tambua kua maisha ya sasa yamebadilika, hiyo nadharia ya kula kwa jasho ni ya kizamani. Siku izi kila mtu mwenye mafanikio ujue kuna mahali kaotea MSEREREKO! Kumbuka hata wewe unavyopiga dili zako, unakula rushwa, unawaingiza kingi wajinga wajinga unapiga pesa ndefu, ule nao ni MSEREREKO! Cheki viongozi wa umma wanavyoserereka, wachungaji, matrafiki, mahakimu nk..... Ukikomaa na kula kwa jasho maisha haya utakufa masikini we tumia fursa yoyote ile inayojitokeza!
 
Habari wakuu.

Nisiwachoshe na maneno mengi. Nimebahatika kuwa kwenye urafiki na huyu mama/bibi wa kizungu kwa miaka 10 sasa.
Amekua akinisaidia hapa na pale.

Sasa anataka tuwe wapenzi na mimi niende kwake. Anaishi na mabinti zake wawili. Mabinti wamekubali uhusiano na kuubariki.

Pia anataka anisajili kama mrithi wa nyumba yake, kingine anataka nikienda nipate kazi, hataki nikae bure na kipato changu nikitumie kumsaidia mtoto wangu na ndugu zangu. Nchi ni Finland.

Wakuu nishaurini nikubali au la? Maana hapa mjini sina ishu ya kueleweka.
Aache kusajili watoto wake kwenye hiyo nyumba akusajili wewe??,

acha story na uongo wakitoto , anyway fake it till you make it

Na kama nikweli , kachukue PASSPORT faster upotee hapa bongo kasakae vibarua huko Finland
 
Watu8 inawezekana.
Jirani yetu kulikuwa na mtoto wa darasa la saba.
Kibibi cha kizungu kikampenda kufa anatoka Ulaya anakuja kumtembelea kwao, anamsomesha mpaka sasa na amempeleka kwao Ujerumani, mie nilikuwa naona ni uhusiano wa mtu na mjukuu wake, wengine wanasema wa kimapenzi(kuna raia mpaka zilikuwa zinatamani ile nafasi na kumuonea wivu dogo)
Kijana anasoma chuo Ujerumani sasa sijajua aina ya mahusiano wanayoendelea nayo sasa.
Adoption?
 
Finland sehemu gani? Msingi kiuno Mzee, huku divorce ni kitu cha miezi sita tu uko free mtaani. Kama una ndoto ya kuja Ulaya nakushauri umchukue tu ila ufunge ndoa bomani. Chukua mashahidi wawili funga ndoa makaratasi yakamilike uje.

Ujiandae kwa baridi lakini, Finland tuna baridi kali sana. Ukifika ukihitaji ushauri usisite kunitafuta. Naishi mji wa Espoo Karibu na Helsinki.
Kweli wa bongo tuko vizuri asee.
Tupe ramani za huko asee bongo jua kali njaa kali pesa hakuna.Umri una songa tuu

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Habari wakuu.

Nisiwachoshe na maneno mengi. Nimebahatika kuwa kwenye urafiki na huyu mama/bibi wa kizungu kwa miaka 10 sasa.
Amekua akinisaidia hapa na pale.

Sasa anataka tuwe wapenzi na mimi niende kwake. Anaishi na mabinti zake wawili. Mabinti wamekubali uhusiano na kuubariki.

Pia anataka anisajili kama mrithi wa nyumba yake, kingine anataka nikienda nipate kazi, hataki nikae bure na kipato changu nikitumie kumsaidia mtoto wangu na ndugu zangu. Nchi ni Finland.

Wakuu nishaurini nikubali au la? Maana hapa mjini sina ishu ya kueleweka.
Ndo nyie mnaoenda huko kufanyishwa kazi kubebeshwa watoto na kufua vyupi vya watoto na huyo unaemwita bibi. Kwa mzungu hakuna Cha bure, lazima Kuna namna utalipiatu.

Lizika na maisha yako ya bongo kama anakupenda kweli akufate yeye uje uishi nae
 
Habari wakuu.

Nisiwachoshe na maneno mengi. Nimebahatika kuwa kwenye urafiki na huyu mama/bibi wa kizungu kwa miaka 10 sasa.
Amekua akinisaidia hapa na pale.

Sasa anataka tuwe wapenzi na mimi niende kwake. Anaishi na mabinti zake wawili. Mabinti wamekubali uhusiano na kuubariki.

Pia anataka anisajili kama mrithi wa nyumba yake, kingine anataka nikienda nipate kazi, hataki nikae bure na kipato changu nikitumie kumsaidia mtoto wangu na ndugu zangu. Nchi ni Finland.

Wakuu nishaurini nikubali au la? Maana hapa mjini sina ishu ya kueleweka.
Huku chuga wako vijana wameoa vibibi vibogoyo wanavisukuma nyama wanunuliwe landcruiser za kubeba watalii
 
Ndo nyie mnaoenda huko kufanyishwa kazi kubebeshwa watoto na kufua vyupi vya watoto na huyo unaemwita bibi. Kwa mzungu hakuna Cha bure, lazima Kuna namna utalipiatu.

Lizika na maisha yako ya bongo kama anakupenda kweli akufate yeye uje uishi nae
Pole
 
Back
Top Bottom