Nimepewa kiwanja na Baba mkwe wangu naombeni ushauri nikijenge au nikiache kwa muda ila yeye amesema nijenge

Nimepewa kiwanja na Baba mkwe wangu naombeni ushauri nikijenge au nikiache kwa muda ila yeye amesema nijenge

pet geo pet

JF-Expert Member
Joined
Jun 30, 2018
Posts
508
Reaction score
788
Wakuu habarini!!
Nimeoa katika familia ya mzee mmoja msitafu,huyu mke wangu ni mtoto wa mwisho kwao...

Leo nimeshangaa ameniita kwenda kuangalia kiwanja akasema kama nimekipenda nichukue.

Ninachogopa ni kuwa kiwanja nilichopewaa na Baba mkwe wangu nitakosa nguvu kama kidume Cha familia...hata tukikosana na mke wangu..

Naombeni ushauri kwa wale mmeshawai pata kadhia kama hii
 
Unawaza kupigana kwenye ndoa?
Wakuu habarini!!
Nimeoa katika familia ya mzee mmoja msitafu,huyu mke wangu ni mtoto wa mwisho kwao...
Leo nimeshangaa ameniita kwenda kuangalia kiwanja akasema kama nimekipenda nichukue
Ninachogopa ni kuwa kiwanja nilichopewaa na Baba mkwe wangu nitakosa nguvu kama kidume Cha familia...hata tukikosana na mke wangu inakuwa kazi hata kumchapa hata makofi mawili..
Naombeni ushauri kwa wale mmeshawai pata kadhia kama hii
 
Wakuu habarini!!
Nimeoa katika familia ya mzee mmoja msitafu,huyu mke wangu ni mtoto wa mwisho kwao...
Leo nimeshangaa ameniita kwenda kuangalia kiwanja akasema kama nimekipenda nichukue
Ninachogopa ni kuwa kiwanja nilichopewaa na Baba mkwe wangu nitakosa nguvu kama kidume Cha familia...hata tukikosana na mke wangu inakuwa kazi hata kumchapa hata makofi mawili..
Naombeni ushauri kwa wale mmeshawai pata kadhia kama hii
Anakwambia ujenge?
Mwambie Asante, ila uamuzi wa kujenga ni wa kwako.

Unaweza kukizungushia ukuta, si zaidi ya hapo. Kisha ukawa unalima mahindi au bustani, ila sio kuweka mjengo. Mbele ya safari uzeni mfanye mambo mengine.

Tafuta kiwanja chako ujenge utakuja kunishukuru.

Hicho kiwanja haujapewa wewe, kapewa mtoto wa huyo mzee. Niulize kwanini unasema hivyo?
Ni kwamba, hata kama usingeoa wewe huyo mke wako, nikaoa mimi bado mzee angenipa hicho hicho kiwanja. Au usingeoa mtoto wake asingkupa kiwanja.

Ila mzee ana hekima, kampa mtoto wake kwa namna ya pekee sana kiasi kwamba usiwe kilazq kugundua
 
Kuna mtu anaenda kuumia, We jenga tu ila tambua huji kumuacha mkeo hata akufanyie nini..
Hata asipomuacha mkewe,siku huyo Baba mkwe akifariki,watoto wa huyo mzee watataka urithi wao,na hiyo Nyumba itakua ni mali yao coz ipo kwenye kiwanja cha Baba yao,

Hata kesi ikienda Mahakamani,wanashinda mapema sana hata kabla Jogoo hajawika.
 
Wakuu habarini!!
Nimeoa katika familia ya mzee mmoja msitafu,huyu mke wangu ni mtoto wa mwisho kwao...
Leo nimeshangaa ameniita kwenda kuangalia kiwanja akasema kama nimekipenda nichukue
Ninachogopa ni kuwa kiwanja nilichopewaa na Baba mkwe wangu nitakosa nguvu kama kidume Cha familia...hata tukikosana na mke wangu..
Naombeni ushauri kwa wale mmeshawai pata kadhia kama hii
Kwani wazazi wako ni malofa sana kiasi cha kupewa ploti na baba mkwe. Huoni ni madharau kwa ukoo wenu wote?
 
hongera kwa kuingizwa kwenye mtego, kujenga nyumba hapo ni sawa na kumbusu MAMBA shavuni, siku mkigombana wife wako atakwambia km nyumba ni yako suka NGATA uibebe. kama akikupa fanya maamuzi magumu KIUZE kisha nunua kingine chenye hati yenye jina lako, vinginevyo ni fedhea na utakua umefeli kwa kishindo.
 
Back
Top Bottom