Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Funga threads imeisha hyo tusimalize wino wa simuAbadilishe jina kwenye hati au akupe kwa maandishi.
umepewa rasmi,badili jina la hati ya nyumba na ujengeHusiingie kwenye huo mtego.
Jiamini kichukue kijenge nyumba ya kawaida.. Majina weka ya watoto.. Kisha nyie kanunueni cha kwenu shusha kitu cha maana.. Ishi hapoWakuu habarini!!
Nimeoa katika familia ya mzee mmoja msitafu,huyu mke wangu ni mtoto wa mwisho kwao...
Leo nimeshangaa ameniita kwenda kuangalia kiwanja akasema kama nimekipenda nichukue
Ninachogopa ni kuwa kiwanja nilichopewaa na Baba mkwe wangu nitakosa nguvu kama kidume Cha familia...hata tukikosana na mke wangu..
Naombeni ushauri kwa wale mmeshawai pata kadhia kama hii
Mtego huo Kaka.Wakuu habarini!!
Nimeoa katika familia ya mzee mmoja msitafu,huyu mke wangu ni mtoto wa mwisho kwao...
Leo nimeshangaa ameniita kwenda kuangalia kiwanja akasema kama nimekipenda nichukue.
Ninachogopa ni kuwa kiwanja nilichopewaa na Baba mkwe wangu nitakosa nguvu kama kidume Cha familia...hata tukikosana na mke wangu..
Naombeni ushauri kwa wale mmeshawai pata kadhia kama hii
JENGA BWANA MKUBWA ILAWakuu habarini!!
Nimeoa katika familia ya mzee mmoja msitafu,huyu mke wangu ni mtoto wa mwisho kwao...
Leo nimeshangaa ameniita kwenda kuangalia kiwanja akasema kama nimekipenda nichukue.
Ninachogopa ni kuwa kiwanja nilichopewaa na Baba mkwe wangu nitakosa nguvu kama kidume Cha familia...hata tukikosana na mke wangu..
Naombeni ushauri kwa wale mmeshawai pata kadhia kama hii
Nimendika nikafuta nikaandika tena nikafuta jenga kama unakifua kipanaWakuu habarini!!
Nimeoa katika familia ya mzee mmoja msitafu,huyu mke wangu ni mtoto wa mwisho kwao...
Leo nimeshangaa ameniita kwenda kuangalia kiwanja akasema kama nimekipenda nichukue.
Ninachogopa ni kuwa kiwanja nilichopewaa na Baba mkwe wangu nitakosa nguvu kama kidume Cha familia...hata tukikosana na mke wangu..
Naombeni ushauri kwa wale mmeshawai pata kadhia kama hii
Umshauri vizuri Sana mkuu, akijichanganya litamkuta Jambo zito Sana na hataaminihongera kwa kuingizwa kwenye mtego, kujenga nyumba hapo ni sawa na kumbusu MAMBA shavuni, siku mkigombana wife wako atakwambia km nyumba ni yako suka NGATA uibebe. kama akikupa fanya maamuzi magumu KIUZE kisha nunua kingine chenye hati yenye jina lako, vinginevyo ni fedhea na utakua umefeli kwa kishindo.
Sure watu wanawaza kuachana2,Kweli mawazo ya wengi ni kwenye ubaya tu, sijui ni umasikini sana
Baba mkwe kakupa kiwanja kwa ajili yako na mwanae ili mjenge na muishi maisha yenu
Wala usiwaze mabaya kwani ndoa ni baraka na maelewano pia
Wengi wanawaza mabaya tu
Sasa kama tutawaza kugombana je kuna haja gani ya kuoa?
Acheni mawazo mabaya kwani ndoa ni kuingia vitani?
Chukua kiwanja andika jina lako jenga
Huyo mzee anataka uwe karibu nae na kakupa heshima kubwa
Bila shaka angekuwa ana majumba labda angekupa moja
Ndio ungeona comment hapa wengine wangekutupia jini humu humu 😄 🤣
Yaani mtu anatoa ushauri kama mchawiSure watu wanawaza kuachana2,
Kitafutie hati kwanza kiwe na jina lako.Wakuu habarini!!
Nimeoa katika familia ya mzee mmoja msitafu,huyu mke wangu ni mtoto wa mwisho kwao...
Leo nimeshangaa ameniita kwenda kuangalia kiwanja akasema kama nimekipenda nichukue.
Ninachogopa ni kuwa kiwanja nilichopewaa na Baba mkwe wangu nitakosa nguvu kama kidume Cha familia...hata tukikosana na mke wangu..
Naombeni ushauri kwa wale mmeshawai pata kadhia kama hii
Yaani ata kae kuwa mkwe kwa huyu nusu albino, kazI anayo😃😂Mkwe kama unaogopa nitarudisha umiliki kwangu.