Nimepewa Taarifa na washikaji zangu kijiweni kwamba kuna watu wananitafuta

Nimepewa Taarifa na washikaji zangu kijiweni kwamba kuna watu wananitafuta

Nsikuchoshe na Usinchoshe, Tusichoshane!


Nimepewa Taarifa na washikaji zangu hapo Dar es salaam ya kwamba kuna watu (Mwanamke 1 & Wanaume 2) wananitafuta!

Nikiwa Niko hapa Mbeya takribani miezi miwili Sasa nikiwa kwenye shughuli zangu nyingine,nilipigiwa simu na jamaa zangu wawili Kwa nyakati tofauti na wakanialifu ya kwamba kuna watu wamekuwa wakienda pale kijiweni kunitafuta na wanadai ya kwamba nimewahi kukopa pesa kwenye taasisi Yao (Jina kapuni) na nimeshindwa kulipa Deni Kwa wakati na kila wakinipigia simu sipokei na wakati mwingine nimewapigia Block!

Mbaya zaidi hao watu wananifahamu Kwa Majina yangu halisi kama ambavyo kijiweni nafahamika kwenye daftari la Umoja wa madereva bodaboda/Bajaji hapo Bunju!

Binafsi sijawahi kukopa pesa kwenye taasisi yeyote Ile hapa nchini na kwasasa sihitaji mkopo wa aina yeyote,Pili,Hakuna mtu yeyote au taasisi anayenidai pesa au kitu chochote!
Kutokana na matukio yanayoendelea hapa nchini,washikaji zangu walikuwa na mashaka na hao watu na wao wamenitaarifu ya kwamba hao watu kimionekano ni watu eidha kutoka Jeshi la Polisi au idara nyingine ya Kiusalama hapa nchini,kwasababu naarifiwa maswali ya dodoso waliyokuwa wakiulizwa siyo ya kawaida!

Hapo kijiweni Kuna jamaa alitoweka kwenye mazingira ya kutatanisha tangu mwezi wa 5 hadi Leo hii haijulikani Yuko wapi!

Juzi moja Kuna jamaa alinipigia simu huku akinichangamkia kishenzi akitaka nikamchukue maeneo ya IPTL nimpeleke Mbezi,Binafsi nikajua anaweza akawa miongoni mwa abiria wangu,kwakuwa hakujua kama sipo Dar es salaam nilimwambia "Mimi Niko mbali kidogo boss,ngoja nimshutue mshikaji wangu aje akuchukue hapo,nampatia namba yako"

Jamaa "Mimi nakutaka wewe kaka maana huwa uko makini sana barabarani"

Mimi "Sawa boss lakini Niko mbali (Sikutaka kumwambia nilipo) sidhani kama nitawahi ndiyo maana nakuomba nikuitie mtu ninaye muamini atakupeleka na utafika salama"

Jamaa "Hapana kaka,wewe kama ni pesa nitakuongezea Mimi nakutaka wewe"

Hapo ndipo nilipopata mashaka kwasababu abiria wa bodaboda tunawafahamu na siyo rahisi kihivyo,pili,Jamaa bado aliendelea kunipigia Simu japo nilimwambia nimetoka lakini hakukata tamaa!,baada ya kuona huo Usumbufu sikupokea hadi Leo.

Sasa,nafahamu mko humu na mnanisoma vizuri tu,Niwaambie mambo yafuatayo nyie Vishoka!

Mimi naitwa UMUGHAKA wengine hupenda kuniita UMUGHAKA WA BHAGHAKA

Dar es salaam narejea Mwezi Ujao,na kama kawaida Dar es salaam Sina shughuli nyingine zaidi ya Udereva wa Bodaboda!

Siku mtakapokuja kijiweni eidha ni kunikamata au Kwa jambo lolote lile baya,Njoeni kabisa mkiwa mmetubu na kuziaga familia zenu maana ni eidha mfe nyie au nife Mimi.

Narudia tena

Siku mtakapokuja kijiweni hakikisheni mmetubu na kuziaga familia zenu maana ni eidha mfe nyinyi au nife Mimi.

NATAKA NIFANYE KITUKO AMBACHO NAAMINI DUNIA NZIMA ITAGEUZA MACHO YOTE KUITAZAMA TANZANIA.


Mimi ndiye
UMUGHAKA




HIZI KICK NAZO ZINABORE. TAFUTA KICK NYINGINE. HIZI ZINABORE SABABU KUNA WATU WANAKAMATWA KWELI NA KUPOTEA
 
Acha uoga lipa madeni watu wa usalama wakitaka kukupata watakuja hadi mlangoni kwako labda uache kutumia simu uishi kama Osama.
 
Fundi manyumba mnataka kumfanya nini mwenzenu
Screenshot_20240714-185815_1.jpg

Nipo youtube natoa darasa mkuu
 
Nataka nchi yote siku hiyo imtambue UMUGHAKA ni Kiumbe wa namna gani,nilitamani sana fursa kama hizi,hatimaye zimejileta zenyewe!
utafanya kama yule msomali. he is a living hero. mimi sina shaka na wewe najua hiyo roho unayo.
 
Nsikuchoshe na Usinchoshe, Tusichoshane!


Nimepewa Taarifa na washikaji zangu hapo Dar es salaam ya kwamba kuna watu (Mwanamke 1 & Wanaume 2) wananitafuta!

Nikiwa Niko hapa Mbeya takribani miezi miwili Sasa nikiwa kwenye shughuli zangu nyingine,nilipigiwa simu na jamaa zangu wawili Kwa nyakati tofauti na wakanialifu ya kwamba kuna watu wamekuwa wakienda pale kijiweni kunitafuta na wanadai ya kwamba nimewahi kukopa pesa kwenye taasisi Yao (Jina kapuni) na nimeshindwa kulipa Deni Kwa wakati na kila wakinipigia simu sipokei na wakati mwingine nimewapigia Block!

Mbaya zaidi hao watu wananifahamu Kwa Majina yangu halisi kama ambavyo kijiweni nafahamika kwenye daftari la Umoja wa madereva bodaboda/Bajaji hapo Bunju!

Binafsi sijawahi kukopa pesa kwenye taasisi yeyote Ile hapa nchini na kwasasa sihitaji mkopo wa aina yeyote,Pili,Hakuna mtu yeyote au taasisi anayenidai pesa au kitu chochote!
Kutokana na matukio yanayoendelea hapa nchini,washikaji zangu walikuwa na mashaka na hao watu na wao wamenitaarifu ya kwamba hao watu kimionekano ni watu eidha kutoka Jeshi la Polisi au idara nyingine ya Kiusalama hapa nchini,kwasababu naarifiwa maswali ya dodoso waliyokuwa wakiulizwa siyo ya kawaida!

Hapo kijiweni Kuna jamaa alitoweka kwenye mazingira ya kutatanisha tangu mwezi wa 5 hadi Leo hii haijulikani Yuko wapi!

Juzi moja Kuna jamaa alinipigia simu huku akinichangamkia kishenzi akitaka nikamchukue maeneo ya IPTL nimpeleke Mbezi,Binafsi nikajua anaweza akawa miongoni mwa abiria wangu,kwakuwa hakujua kama sipo Dar es salaam nilimwambia "Mimi Niko mbali kidogo boss,ngoja nimshutue mshikaji wangu aje akuchukue hapo,nampatia namba yako"

Jamaa "Mimi nakutaka wewe kaka maana huwa uko makini sana barabarani"

Mimi "Sawa boss lakini Niko mbali (Sikutaka kumwambia nilipo) sidhani kama nitawahi ndiyo maana nakuomba nikuitie mtu ninaye muamini atakupeleka na utafika salama"

Jamaa "Hapana kaka,wewe kama ni pesa nitakuongezea Mimi nakutaka wewe"

Hapo ndipo nilipopata mashaka kwasababu abiria wa bodaboda tunawafahamu na siyo rahisi kihivyo,pili,Jamaa bado aliendelea kunipigia Simu japo nilimwambia nimetoka lakini hakukata tamaa!,baada ya kuona huo Usumbufu sikupokea hadi Leo.

Sasa,nafahamu mko humu na mnanisoma vizuri tu,Niwaambie mambo yafuatayo nyie Vishoka!

Mimi naitwa UMUGHAKA wengine hupenda kuniita UMUGHAKA WA BHAGHAKA

Dar es salaam narejea Mwezi Ujao,na kama kawaida Dar es salaam Sina shughuli nyingine zaidi ya Udereva wa Bodaboda!

Siku mtakapokuja kijiweni eidha ni kunikamata au Kwa jambo lolote lile baya,Njoeni kabisa mkiwa mmetubu na kuziaga familia zenu maana ni eidha mfe nyie au nife Mimi.

Narudia tena

Siku mtakapokuja kijiweni hakikisheni mmetubu na kuziaga familia zenu maana ni eidha mfe nyinyi au nife Mimi.

NATAKA NIFANYE KITUKO AMBACHO NAAMINI DUNIA NZIMA ITAGEUZA MACHO YOTE KUITAZAMA TANZANIA.


Mimi ndiye
UMUGHAKA
Aah umeanza na mkwara!Ngoja niwaambie wenzangu.
 
Una ugomvi nao? Au unahisi wanakutafuta kwa sababu zipi?
 
Nsikuchoshe na Usinchoshe, Tusichoshane!


Nimepewa Taarifa na washikaji zangu hapo Dar es salaam ya kwamba kuna watu (Mwanamke 1 & Wanaume 2) wananitafuta!

Nikiwa Niko hapa Mbeya takribani miezi miwili Sasa nikiwa kwenye shughuli zangu nyingine,nilipigiwa simu na jamaa zangu wawili Kwa nyakati tofauti na wakanialifu ya kwamba kuna watu wamekuwa wakienda pale kijiweni kunitafuta na wanadai ya kwamba nimewahi kukopa pesa kwenye taasisi Yao (Jina kapuni) na nimeshindwa kulipa Deni Kwa wakati na kila wakinipigia simu sipokei na wakati mwingine nimewapigia Block!

Mbaya zaidi hao watu wananifahamu Kwa Majina yangu halisi kama ambavyo kijiweni nafahamika kwenye daftari la Umoja wa madereva bodaboda/Bajaji hapo Bunju!

Binafsi sijawahi kukopa pesa kwenye taasisi yeyote Ile hapa nchini na kwasasa sihitaji mkopo wa aina yeyote,Pili,Hakuna mtu yeyote au taasisi anayenidai pesa au kitu chochote!
Kutokana na matukio yanayoendelea hapa nchini,washikaji zangu walikuwa na mashaka na hao watu na wao wamenitaarifu ya kwamba hao watu kimionekano ni watu eidha kutoka Jeshi la Polisi au idara nyingine ya Kiusalama hapa nchini,kwasababu naarifiwa maswali ya dodoso waliyokuwa wakiulizwa siyo ya kawaida!

Hapo kijiweni Kuna jamaa alitoweka kwenye mazingira ya kutatanisha tangu mwezi wa 5 hadi Leo hii haijulikani Yuko wapi!

Juzi moja Kuna jamaa alinipigia simu huku akinichangamkia kishenzi akitaka nikamchukue maeneo ya IPTL nimpeleke Mbezi,Binafsi nikajua anaweza akawa miongoni mwa abiria wangu,kwakuwa hakujua kama sipo Dar es salaam nilimwambia "Mimi Niko mbali kidogo boss,ngoja nimshutue mshikaji wangu aje akuchukue hapo,nampatia namba yako"

Jamaa "Mimi nakutaka wewe kaka maana huwa uko makini sana barabarani"

Mimi "Sawa boss lakini Niko mbali (Sikutaka kumwambia nilipo) sidhani kama nitawahi ndiyo maana nakuomba nikuitie mtu ninaye muamini atakupeleka na utafika salama"

Jamaa "Hapana kaka,wewe kama ni pesa nitakuongezea Mimi nakutaka wewe"

Hapo ndipo nilipopata mashaka kwasababu abiria wa bodaboda tunawafahamu na siyo rahisi kihivyo,pili,Jamaa bado aliendelea kunipigia Simu japo nilimwambia nimetoka lakini hakukata tamaa!,baada ya kuona huo Usumbufu sikupokea hadi Leo.

Sasa,nafahamu mko humu na mnanisoma vizuri tu,Niwaambie mambo yafuatayo nyie Vishoka!

Mimi naitwa UMUGHAKA wengine hupenda kuniita UMUGHAKA WA BHAGHAKA

Dar es salaam narejea Mwezi Ujao,na kama kawaida Dar es salaam Sina shughuli nyingine zaidi ya Udereva wa Bodaboda!

Siku mtakapokuja kijiweni eidha ni kunikamata au Kwa jambo lolote lile baya,Njoeni kabisa mkiwa mmetubu na kuziaga familia zenu maana ni eidha mfe nyie au nife Mimi.

Narudia tena

Siku mtakapokuja kijiweni hakikisheni mmetubu na kuziaga familia zenu maana ni eidha mfe nyinyi au nife Mimi.

NATAKA NIFANYE KITUKO AMBACHO NAAMINI DUNIA NZIMA ITAGEUZA MACHO YOTE KUITAZAMA TANZANIA.


Mimi ndiye
UMUGHAKA
Grandiosity ni tatizo la afya ya akili
 
Kama Hali ndio hii!

Kuwa kipepeo ni kazi mbaya sana!!

Inaonekana wame tagert Watu wenye majina kidogo Wana umaarufu wa.kati na wanafahamika Ili wakipotea Habari zisambae na kumchafua wanaemtaka achafuke!!

Nakumbuka enzi zile za jpm.hali ilianza hivi hivi!
 
Wale Wafanyabiashara waliuawa kutokana na sababu za kiuhalifu tu walizonazo Polisi wengi zaidi waliopo hapa nchini.

Aidha, ogopa sana Polisi kujua kwamba una pesa, watakufuata ili wakupore pesa ulizonazo na Kisha wakuue ili kupoteza kabisa ushahidi. Nakumbuka mojawapo ya kisa kimoja cha kweli kilichotokea miaka zaidi ya kumi iliyopita ktk mkoa fulani ambao nisingependa kuutaja jina, wafanyabiashara wawili wa mifugo walikodi gari ili liwapeleke kwenye mnada wa mifugo (ng'ombe) ktk mji fulani. Wakiwa safarini njiani walikutana na gari la Polisi wa doria za barabarani, na Kisha gari la wafanyabiashara hao likasimamishwa, walikuwapo Askari Polisi wawili tu ambao baadaye ilijulikana kuwa walitumwa na Rpc ili kuwafuatilia wafanyabiashara hao na kuwakamata kwa sababu Polisi walishatonywa kuwa wafanyabiashara hao wamebeba fedha nyingi za kwenda kununulia ng'ombe. Wale wafayabiashara walikamatwa na Kisha kwenda kuhifadhiwa sehemu fulani kwenye nyumba binafsi ya mmoja wa maaskari, hawakupelelwa kituoni. Baadaye usiku "mkubwa" aiyewatuma kazi alikuja kwenye hiyo nyumba na kuchukua 'mzigo wake' na kisha kuamuru wafanya iashara hao wote na dereva wamalizwe gari yao kwenda kutelekezwa ktk mji wa mbali karibu 80km kwenye wilaya ya jirani, na ilifanyika hivyo usiku huo huo na baadaye ilijulikana kuwa wale wafanyabiashara walikwa na Tshs. 60milioni cash. Maiti za wale wafanyabiashara walienda kuzitupa mbali kwenye mashamba ya wakulima. Walati matukio yote haya yakiendelea kulikuwa na Askari Polisi mmoja ambaye hakuwa zamu siku hiyo ambaye alikuwa akiishi kwenye mtaa mmoja wenye nyumba walikohifadhiwa wafanyabiashara waliotekwa. Askari huyo baada ya kuona gari la Polisi wa doria lenye namba za kawaida za kiraia lilikuwa linapita mara kwa mara mtaani hapo siku hiyo aliamua kulifuatilia gari hilo na mchongo huo kisirisiri bila hao Askari wenzake kujua.
Miezi michache baaaye minong'ono ya taarifa hii ilianza kusambaa mitaani, wale Askari waliopiga dili walifuatilia ili kujua nani hasa chanzo cha taarifa za kubumbuluka kwa dili lao la Siri kubwa, wakagundua kuwa chanzo Cha kuvuja kwa taarifa hiyo ni Askari mwenzao . Ndani ya muda mfupi kabisa yule Askari alimalizwa, alikutwa 'amekufa' nyumbani kwake, na muda mfupi siku chache baadaye yule Rpc alihamishwa kutoka mkoa ule(inavyoonekana huenda makao makuu ya Polisi walipata taarifa za dili lile). Polisi ni hatari, kaa nao mbali kama umebeba pesa taslimu.
Umesema sahihi Mkuu

Ndiyo maana inashauriwa Bora kutembea na Kadi ya Benki kuliko fedha taslimu
 
Back
Top Bottom