Nimepiga mahesabu yangu ya haraka haraka huyu Ginimbi alikuwa millionaire wa kutisha

Nimepiga mahesabu yangu ya haraka haraka huyu Ginimbi alikuwa millionaire wa kutisha

Daaaah cjui wanafanyaje watu wanapata pesa kias hcho me napambna lakin mambo nga nga kula yangu ya siku tu shida 😭😭..!! Kwel utajir bahat sio nywele za kwapa kila mtu awe nazo ila nitapambna tu sitachoka.
 
Inakuwaje wanaJF!

Ginimbi hatarii Aisee. Mungu ampokee kishujaa. Alipangiwa atakufa hivyo pindi tu alipozaliwa haijalishi angekuwa maskini ama tajiri.

Nimepiga mahesabu yangu ya haraka tu nadhan gharama za magari yote aliyomiliki ni kama 10-20 million US dollars.

Mfano tu ile Lamborghini avantador mpya ni 500k US $ kuisafirisha hadi kodi iingie barabaran na insurance ni 500k + $. Jumla 1.2 m

Ferrari 488 spyder 450k us $ ongezea kodi jumla 1.2 m
Hayo magari mawili tu yamemgharimu 2.5 US dollars.

Haya magari yote matatu Rolls Royce phantom, wrath na dawn yamemgharimu pamoja na kodi 3m + US$.

Bentley continental - 800k-1m US $

MERCEDES G 63- 800K-1M

RANFE ROVER SRV - 300k - 500k

Range rover autobiography 800k-1m

Yani hizo kwa uchache tu

Habari za tajiri Muulize maskini!

View attachment 1624186
Maskini Pekee ndio hufahamu na kujua kuwa Tajiri anamatumizi mabaya.

Maskini Pekee ndio huona yuko sawa aktika Matumizi

Maskini ndio kiumbe pekee hujua kupangilia bajeti yake.

Maskini ndio kiumbe pekee humwona tajiri kama Adui na mwizi.

Maskini ndio mtu pekee anayeona ana haki katika ufalme wa Mbingu.

Maskini ndio mtu pekee humkataza Elimu ya Fedha mwanae ilia asije kuwa mwizi😂

Maskini Ndio hujiona ana usafi na hatma njema mbele ya Mungu.

Maskini ndio mtu pekee anayeona kujinyima kila kitu hata kilichondani ya uwezo wako kama ndio Sawa siku zote.
 
nashukuru umekubali idea yangu ya ushaidi wa movie ya harry potter ila unaonekana chadema wewe na una majeraha ya uchaguzi
duuh nimekubali idea yako kivipi? Kwani wewe ndiye mwanamama JK Rowling?
JK Rowling kwenye interview zake anasema ideas zake za Novels ni za kuFikirika (fiction & fantasy).
ingekuwa zile ideas za JK Rowling ni za kweli basi Europeans & Americans wasingehangaika kuwekeza Mamilioni ya USD kutengeneza Drones, Automobiles, Rockets, Jets etc. na badala yake wangewekeza kwenye kutengeneza Ufagio ili wapae kama kwenye fictional fantasy stories za mwanamama JK Rowling kwenye series za Harry Potter.
Mkuu, kifinga sasa unapoelekea mwisho utasema movies za Terminators nazo ni ukweli, na utasema pia Arnold Schwarzenegger ni Cyborg-Robot kweli kiuhalisia. hata yule T1000 liquid metal naye utasema ni kweli.
 
Maskini Pekee ndio hufahamu na kujua kuwa Tajiri anamatumizi mabaya.

Maskini Pekee ndio huona yuko sawa aktika Matumizi

Maskini ndio kiumbe pekee hujua kupangilia bajeti yake.

Maskini ndio kiumbe pekee humwona tajiri kama Adui na mwizi.

Maskini ndio mtu pekee anayeona ana haki katika ufalme wa Mbingu.

Maskini ndio mtu pekee humkataza Elimu ya Fedha mwanae ilia asije kuwa mwizi😂

Maskini Ndio hujiona ana usafi na hatma njema mbele ya Mungu.

Maskini ndio mtu pekee anayeona kujinyima kila kitu hata kilichondani ya uwezo wako kama ndio Sawa siku zote.
😀😀🙌🏾🙌🏾
 
Daaaah cjui wanafanyaje watu wanapata pesa kias hcho me napambna lakin mambo nga nga kula yangu ya siku tu shida 😭😭..!! Kwel utajir bahat sio nywele za kwapa kila mtu awe nazo ila nitapambna tu sitachoka.
Tafta pesa mapambano waachie wanajeshi!
Misingi ya pesa hutaftwa! Siyo kupambana!
Unless uwe ni bondia wa ngumi za shilikisho!
 
Daaaah cjui wanafanyaje watu wanapata pesa kias hcho me napambna lakin mambo nga nga kula yangu ya siku tu shida 😭😭..!! Kwel utajir bahat sio nywele za kwapa kila mtu awe nazo ila nitapambna tu sitachoka.
Mkuu, siku ukiupata utajiri jiandae kuandamwa na siye masikini kila mmoja akikupangia cha kufanya kwa pesa zako.
Utaitwa Mtoa Ndagu, utaitwa Freemason n.k.
Ole wako uonekane unakunywa Soda, utaambiwa ndiyo masharti uliyopewa ili ubaki tajiri.
Hata ukipata ajali pia utaambiwa umeshindwa kufata masharti ya Freemason. As if mtu ukiwa Tajiri wa USD millions basi wewe hustahili kupata Misiba, Majanga, Ajali etc.
Na ukisikiliza na kufuata kila maneno hasi yasemwayo na watu basi maisha yatakuwa tafu kweli japo pesa unayo.
 
Jamaa nasikia alikua na umri wa miaka 36 tu alafu mama yake alikuwa anaishi kilomita 3 toka hapo anapoishi mshkaji mama yake alikua masikini wa kutupwa mpaka anafariki mwaka jana. Nasikia iyo ndagu yake ilikua hailuhusu kusaidia ndugu wala kuzaa.
Lakini wanawake ndio hupenda mwanaume ambaye ana ukwasi kama huo bila kujali ni kwa mashart gan, mwanamke ukitaka akuchukie uwe maskini, nimewaona wengi wakiwa wanafurahia maisha ya anasa bila kujali waume zao wanapata wapi hela, yeye mradi ale bata kila siku
 
Kwa utajiri wa huyo mwamba lazima mbunye yoyote ipigwe,ngoja na Mimi nifuge ng'ombe za kulia mbunye
 
Mkuu, siku ukiupata utajiri jiandae kuandamwa na siye masikini kila mmoja akikupangia cha kufanya kwa pesa zako.
Utaitwa Mtoa Ndagu, utaitwa Freemason n.k.
Ole wako uonekane unakunywa soda, utaambiwa ndiyo masharti uliyopewa ili ubaki tajiri.
Hata ukipata ajali pia utaambiwa umeshindwa kufata masharti ya Freemason. As if mtu ukiwa Tajiri wa USD millions basi wewe hustahili kupata Misiba, Majanga, Ajali etc.
Na ukisikiliza na kufuata kila maneno hasi yasemwayo na watu basi maisha yatakuwa tafu kweli japo pesa unayo.
😂😂😂😂😂 ukinywa soda shida ..!! Nitayakabir tu maneno yenu me muhmu nipate tu hizo pesa nilumbue maana shida hazijawah kuzoeleka jmn.
 
Tafta pesa mapambano waachie wanajeshi!
Misingi ya pesa hutaftwa! Siyo kupambana!
Unless uwe ni bondia wa ngumi za shilikisho!
😂😂😂😂😂😂 sawa mkuu ila kutafuta hizo pesa ndo kupambna kwan mapambno siyo lazima uwe mwakinyo au blegedia shilingi pale msitu wa congo.
 
😂😂😂😂😂 ukinywa soda shida ..!! Nitayakabir tu maneno yenu me muhmu nipate tu hizo pesa nilumbue maana shida hazijawah kuzoeleka jmn.
ukiwa tajiri, Sasa ole wako uonekane unakula Tembele au uwe na ka-nguo flani unakapenda kukavaa vaa mara kwa mara, Ohoooo utajuta, utaambiwa ndiyo masharti yako uliyopewa..
Utajiri is not for everybody, its like scoring grade "A" in Mathematics, siyo kila mtu atapata, ila tusichoke kupambana kutafuta.
Kitu chochote ambacho ni kigumu kukipata au kukielewa basi siye Africans wengi tunasema ni uchawi, Afrika burudani sana.

Na tukikukosa kote tutakusema unauza Ngada (cocaine, heroin, ecstasy etc.)
 
wewe vp mkuu unaupenda umasikini
Lakini wanawake ndio hupenda mwanaume ambaye ana ukwasi kama huo bila kujali ni kwa mashart gan, mwanamke ukitaka akuchukie uwe maskini, nimewaona wengi wakiwa wanafurahia maisha ya anasa bila kujali waume zao wanapata wapi hela, yeye mradi ale bata kila siku
 
Inakuwaje wanaJF!

Ginimbi hatarii Aisee. Mungu ampokee kishujaa. Alipangiwa atakufa hivyo pindi tu alipozaliwa haijalishi angekuwa maskini ama tajiri.

Nimepiga mahesabu yangu ya haraka tu nadhan gharama za magari yote aliyomiliki ni kama 10-20 million US dollars.

Mfano tu ile Lamborghini avantador mpya ni 500k US $ kuisafirisha hadi kodi iingie barabaran na insurance ni 500k + $. Jumla 1.2 m

Ferrari 488 spyder 450k us $ ongezea kodi jumla 1.2 m
Hayo magari mawili tu yamemgharimu 2.5 US dollars.

Haya magari yote matatu Rolls Royce phantom, wrath na dawn yamemgharimu pamoja na kodi 3m + US$.

Bentley continental - 800k-1m US $

MERCEDES G 63- 800K-1M

RANFE ROVER SRV - 300k - 500k

Range rover autobiography 800k-1m

Yani hizo kwa uchache tu

Habari za tajiri Muulize maskini!

View attachment 1624186
Huo muda uliopiga mahesabu ya hela za mwanaume ungeutumia kuosha vyombo hapo kwa shemeji yako ili upewe ugali wa bure
 
Ile ni Ndagu ya kichawi,,unakua tajiri unakufa gafla,,wataalam wanaita Punje za mahindi kwa kuku
 
Back
Top Bottom