Nimepiga marufuku safari zote za mke wangu msimu huu wa sikukuu

Nimepiga marufuku safari zote za mke wangu msimu huu wa sikukuu

Hahaha pole Sana [emoji23][emoji23][emoji23]



Kupigiwa sio mchezo inahitaji moyo. Kila ukiwaza mkeo anavyopakwa mate akiwa anaandaliwa na njemba au ukiwaza mkeo anavyoirudishia Mashine inapochomoka akiwa anapigwa Mashine na jamaa lazima akili ikuruke !


Ila karma is bitch, Huwa unakuja hapa kujitapa kutembea na wake za watu. Pole sana jikaze
 
Usikute mama mkubwa ndio anaunganisha mahusiano na mshikaji mwizi wetu huko. Nasema hivyo kwa mifano hai.

Nilikuwa na demu dogo toka anasoma. Kwa sababu alikuwa anatumia simu ya dada yake kuwasiliana na mimi, tukajikuta tumefahamiana na nikawa namtumia vocha ikibidi. Wakati mwingine nikitaka kumchakata mdogo wake namwomba dada mtu yeye ndio anafanya mipango yote mpaka kufungua geti usiku.

Kufupisha yule dogo alipata bwana maana mimi nilizingua nikasema siwezi kuoa wanawake wawili.
Sasa maajabu yule dogo niliendelea kumchakata kama kawaida kupitia dada yake.

Nikimtaka nawasiliana na dada yake, then anampanga kwamba aje kusalimia kwao. Akifika tu napigiwa simu kwamba zigo langu lishafika nikajibebee.
Baadaye nikaamua kuacha hiyo tabia kwa vile nilikuwa najaribu kuvaa uhusika wa mshikaji wake nikaona inaumiza sana.

Hivi ninavyozungumza yupo kwao hapo kaja kusalimia anataka tuonane baadaye nikawa sipokei simu.
 
Wakuu,

Usiku wa Juzi nilivorud nyumbani,

MKE wangu alinipokea kwa uchangamfu na bashasha kubwa Sana,nami baada ya Lile tukio la sintofahamu ya laini mpya hivi karibuni, nilishajiapiza sitopanic Wala kuonesha kuchukia au kumshuku ananicheat.

Pia Nishaahidi nitakua kawaida ili kuweza kupata nafas ya kumchunguza. Hivyo nami nikamchangamkia vizuri Kama yeye vile alivonichangamkia.

Kisha baada ya kula,nmeoga nmepanda zangu kitandani kulala, ghafla akaanza kuniuliza Kama leo nmeongea na mama yake mkubwa wa mkoani, nikamjibu hapana.
Hiyo ndoa au idara ya serikali
 
Kuna sku ntajitoa JF maana nyuz za humu n chai sn sjui stry tu ilimrad mtu apate umaarufu comments nyng n.k hazna uhalisia kbsa. [emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]


Haiwezekan kla siku mtu anatupa habar za mke wke kla sjui mke wng hv sjui vle mahusiano yamepanda yameshuka ..... Humu n zaid ya kupoteza muda
 
Hahaha pole Sana [emoji23][emoji23][emoji23]



Kupigiwa sio mchezo inahitaji moyo. Kila ukiwaza mkeo anavyopakwa mate akiwa anaandaliwa na njemba au ukiwaza mkeo anavyoirudishia Mashine inapochomoka akiwa anapigwa Mashine na jamaa lazima akili ikuruke !


Ila karma is bitch, Huwa unakuja hapa kujitapa kutembea na wake za watu. Pole sana jikaze
ntake radhi mkuu, Sjawai tembea,kujisifu au kusifia wanaotembea na wake za watu mkuu
 
Deep kama Deeppond Kwa hili Kamanda umetuheshimisha Wanaume ila Kwa mahusiano yako na mama watoto umejibanika kwenye mkaa,iwe ni kweli au sio kweli anamrengo mwingine ila hizo hasira zake huwezi zimaliza kawaida,Nakumbuka manzi yangu wa kwanza nlieishi nae Miaka 4 nlishawahi mkataza kwenda Kwao maana nlihofia kupashwa kiporo ila kilichofuata ni migogoro iliyopelekea kumwagana,But still you got a chance kubadili hili,Mwambie aende ila umuhakikishie kuwa yupo sahihi kuwa unamuwazia vibaya,halafu mwache aende tena mpe na mazaga zaga ya bi mkubwa Kisha msindikize stendi rudi home relax enjoy Holiday seasons.
 
Unakosea sana kijana hapo mwanamke una muua Saikorojia yake yaani uyo mkeo anaenda kupunguza intimacy level juu yako

hata penzi atakupa kama baba au gaidi mbakaji na mean time huwez mzuia mwanamke ku date na mchepuko kwasab mchepuko by hu mda ndio huwa wana enjoy sana kwasb ndio comfortzone yake ilipo

wew mwanamke ina bidi una mcomand lakn mpe space yani una kosea Alpha male hawi hivo uki kaa vibaya unaweza lea watoto sio wako

mwanamke unapo mkera nirahis sana kuku cheat huyo kijana wa ng’ombe anaweza mpa nae au majiran wew si uko kazin kijana?

mwanamke ili akuheshimu lazma agundue kua unajiamin na yeye unamuamin hapo mnaenda sana

acha kumbana mwanamke and kama kosa ulisha solve unalileta mezan tena thats red flag kwa mwanamke

kama una nia ya kufanya uchunguzi izo signs unamuonesha huwez fanikisha kabsa kwasb 24hrs unawaza iko iko sehemu ya kuwekeza akili wew unaweka moyo huwez ona majibu sahihi Change your plan bro

Huo ni ukweli wanawake wengi wanaolewa kwasab ya kutimiza ndoto tu ya kua na mume lkn wengine Ex wao waliachana kwa aman means penzi lao lipo hai kwaio huwez zuia wao kuendelea

wanaume wenye wivu au kuwachunguza sana wanawake mahusiano yao huvunjika kaka badirika ukiendelea ndoa yako inaenda kua chungu sana


Rudia kusoma hii com

Umeshauri vizuri sana.
Wanawake wakijua unawivu sana wanakuona hujiamini na kumuona wa nje ni mwanaume bora zaidi yako.

Mwanaume unatakiwa uwe na ile roho ya kujiamini na kumwambia mkeo kwani tayari ushamuambia kuwa siku aki-cheat ndio mwisho wenu. Na huna muda wa kumchunga wala kumfuatilia. Ajichunge mwenyewe.
 
Ushauri
1. Mpe nauli mwambie ulikuwa unamzingua kupima imani yake. Na mwambie amefaulu kwa sababu amekuheshimu na kukusikiliza. Mwambie unamuamini na huwezi kumfikiria vitu vya kipuuzi kwani yeye ni mke bora.

2. Usimfuatilie kipindi hiki ambacho tayari umeonyesha ku-suspect kuwa huenda anaku-cheat.

3. Kama hauna ushahidi wa moja kwa moja usipende kumshutumu mkeo au kumuuliza maswali yanayoonyesha humuamini. Huko ni kujishushia heshima kama mwanaume. Na unamfanya akuonee hujiamini na unanipenda kupitiliza. Hilo ni kosa ambalo wengi wanafanyakwenye mahusiano na ndoa.

4. Fanya uchunguzi mkeo akiwa huru. Hivyo muachie uhuru kifanye kama unamuamini.
Ni kosa kubwa kumchunguza mtu ambaye tayari anajua humuamini. Kwa sisi majasusi tunà- Cancel upelelezi.

5. Mkeo anaweza kugongwa kirahisi ikiwa utakuwa mtu wamihemko.

6. Mkeo akiwa mjanja atatumia udhaifu wako kukutesa na kukutia stress za mapenzi hata kama ha-cheat anaweza kukuchezea dramaili uumie tuu moyo wako.

7. Tayari ulisham-cheat na anajua hivyo anaweza kutumia hiyo kama kulipa kisasi hasa akigundua kuwa kumbe hata wewe unaumia.

8. Mkeo atajihakikishia kuwa kumbe huna uwezo wa kujua yeye aki-cheat ndio maana unatapatapa. Unatakiwa ukishakuwa na uhakika ndo unazungumza na mkeo kuwa habari zake zote unazo. Na mwambie kuwa hakuna chochote atafanya usijue. Muda huo unadata na ushahidi wote.
Sio mihemko yako ndio utumie kuendesha hayo Masuala.

Hiyo itamfanya akuweke kwenye comfort zone Wakati huna wasiwasi yeye ndio ataku-cheat.

Mimi ni hayo tuu
 
Ushauri
1. Mpe nauli mwambie ulikuwa unamzingua kupima imani yake. Na mwambie amefaulu kwa sababu amekuheshimu na kukusikiliza. Mwambie unamuamini na huwezi kumfikiria vitu vya kipuuzi kwani yeye ni mke bora.

2. Usimfuatilie kipindi hiki ambacho tayari umeonyesha ku-suspect kuwa huenda anaku-cheat.

3. Kama hauna ushahidi wa moja kwa moja usipende kumshutumu mkeo au kumuuliza maswali yanayoonyesha humuamini. Huko ni kujishushia heshima kama mwanaume. Na unamfanya akuonee hujiamini na unanipenda kupitiliza. Hilo ni kosa ambalo wengi wanafanyakwenye mahusiano na ndoa.

4. Fanya uchunguzi mkeo akiwa huru. Hivyo muachie uhuru kifanye kama unamuamini.
Ni kosa kubwa kumchunguza mtu ambaye tayari anajua humuamini. Kwa sisi majasusi tunà- Cancel upelelezi.

5. Mkeo anaweza kugongwa kirahisi ikiwa utakuwa mtu wamihemko.

6. Mkeo akiwa mjanja atatumia udhaifu wako kukutesa na kukutia stress za mapenzi hata kama ha-cheat anaweza kukuchezea dramaili uumie tuu moyo wako.

7. Tayari ulisham-cheat na anajua hivyo anaweza kutumia hiyo kama kulipa kisasi hasa akigundua kuwa kumbe hata wewe unaumia.

8. Mkeo atajihakikishia kuwa kumbe huna uwezo wa kujua yeye aki-cheat ndio maana unatapatapa. Unatakiwa ukishakuwa na uhakika ndo unazungumza na mkeo kuwa habari zake zote unazo. Na mwambie kuwa hakuna chochote atafanya usijue. Muda huo unadata na ushahidi wote.
Sio mihemko yako ndio utumie kuendesha hayo Masuala.

Hiyo itamfanya akuweke kwenye comfort zone Wakati huna wasiwasi yeye ndio ataku-cheat.

Mimi ni hayo tuu
Aisee! Kuna madini nmepata apa[emoji848]
 
Kama moyo wako unahisi kabisa mkeo anaku-cheat basi jitihada zako kuepusha hilo hazitofua dafu... Unapoteza muda wako tu kumchunga maana hadi sasa kwanza kashakujua weakness yako kwahiyo hata kama hakuwa na lengo hilo basi ni kama umempa wazo sasa.
 
Aisee! Kuna madini nmepata apa[emoji848]

Unapohisi kuna tatizo kwenye mahusiano na hujathibitisha ni muhimu kuwa na utulivu (japo kwa wengi ni ngumu) lakini huo ndio ukomavu.

Sio umeona namba ngeni kwenye simu ya mkeo unaanza kupiga piga kelele.
Jipe muda, ifuatilie. Kama kuna namna wanawasiliana na inafikia wakati wanataka kukutana unaweza kuintarapti na kuvuruga mipango yao bila ya wao kujua.

Mpe nauli aende.
Hakikisha unamwambia ulikuwa unamzingua tuu. Ikiwezekana mpe na zawadi mwambie ulikuwa unaona aibu yeye aende bila zawadi.

Kuhusu kumshutumu mwambie yake ni maneno tuu utani. Mwambie kuwa si anajua yeye ni mtani wako wa Jadi.

Rudisha Trust yake kwako ili ikuwie rahisi kumtawala, ikiwezekana kumchunguza.

Huwezi kumchunguza mtu asiyekuamini miaka Buku.
 
Umeharibu ..ungemruhusu..ila ungemuwekea truth spy kwanza..halafu unamuaga kwa bashasha..hapo ungeupata ukweli ..umetumia hisia sana kuamua
Hilo nishaliwaza Sana,
sema bado Moyo wangu umekua mzito Sana kuridhia hiyo safar, nmeamua TU kufata hisia zangu, maybe ntajaribu siku nyngn ila sio kipind iki Cha hizi sikukuu.
 
Back
Top Bottom