Nimepiga marufuku watoto wangu kwenda kanisani

Nimepiga marufuku watoto wangu kwenda kanisani

Billie

JF-Expert Member
Joined
Aug 13, 2011
Posts
13,588
Reaction score
22,752
Baada ya kuona ujinga mambo ya makanisani nimeona nipige marufuku watoto wangu kuwa brain washed na mambo ya kanisa na aina zote za imani badala yake nawafùndisha life manners mwenyewe.Kama wataamua kwenda kwenye imani yoyote wafanye baada ya kutoka kwenye himaya yangu.
Mke wangu kwa vile tulikutana ukubwani mi nimeachana nae aendelee kuwa nyumbu wa huu ujinga wa kuwa na matumaini ya kwenda mbinguni.
SERA YANGU:Mbingu yangu ni hii good life niliyo nayo kwa sasa nikifikwa na majanga basi itakuwa jahannam yangu.
KAMA UNAUNGANA NA MIMI GONGA LIKE TUJUANE
 
Baada ya kuona ujinga mambo ya makanisani nimeona nipige marufuku watoto wangu kuwa brain washed na mambo ya kanisa na aina zote za imani badala yake nawafùndisha life manners mwenyewe.Kama wataamua kwenda kwenye imani yoyote wafanye baada ya kutoka kwenye himaya yangu.
Mke wangu kwa vile tulikutana ukubwani mi nimeachana nae aendelee kuwa nyumbu wa huu ujinga wa kuwa na matumaini ya kwenda mbinguni.
SERA YANGU:Mbingu yangu ni hii good life niliyo nayo kwa sasa nikifikwa na majanga basi itakuwa jahannam yangu.
KAMA UNAUNGANA NA MIMI GONGA LIKE TUJUANE
Ukifa tukufukie kama mzoga au utazikwa na City?
 
Ukifa tukufukie kama mzoga au utazikwa na City?
Nitazikwa ila sitaki maujinga yenu ya kuniombea coz hayasaidii wala nini na sioni tija yake kwa sababu hamjawahi fufua mtu wala kuhakiki kuwa maombi yamemfikisha marehem peponi.
Ni utahira kwa sisi Waafrika kutaka kwenda mbinguni kuliko hata hao walioanzisha hizo dini na kuprint hivyo vitabu mnavyoviita vitakatifu
 
Waache waendelee kwenda tu

Dini sio kuhusu kwenda mbinguni tu, ni sehemu ya maisha.

Fikiria watoto wako wakiwa shule wanaambiwa wasali au waende kwenye vipindi vya dini, wataanzaje kujieleza kwamba sio waumini?

Wakiwa na marafiki zao, au ndugu?

Waache wakue kwanza. Kama ni wakubwa kwenye rika la chuo hivi ndo watachagua wenyewe, usiwalazimishe.

Huo ni ushauri kutoka kwa mpinga dini mwenzako....
 
Back
Top Bottom