Nimepiga marufuku watoto wangu kwenda kanisani

Nimepiga marufuku watoto wangu kwenda kanisani

Poa, angalia mtoto anavyotekwa kiimani, anabatizwa akiwa mtoto, anafahamu nini? Muache awe mtu mzima aamue mwenyewe kama atakubali kudanganywa na hizi imani za kigeni.
Mtu kama Mchungaji Msigwa unaweza amini yule ni Mchungaji?

Hizi imani zipo watu wajipigie tu ndio maana kwenye mambo ya maana huwaoni hawa wahuni.
Kule Dar ndio wabapigwa hadi maskini wanakombwa vihela walivyo navyo.
 
Baada ya kuona ujinga mambo ya makanisani nimeona nipige marufuku watoto wangu kuwa brain washed na mambo ya kanisa na aina zote za imani badala yake nawafùndisha life manners mwenyewe.Kama wataamua kwenda kwenye imani yoyote wafanye baada ya kutoka kwenye himaya yangu.
Mke wangu kwa vile tulikutana ukubwani mi nimeachana nae aendelee kuwa nyumbu wa huu ujinga wa kuwa na matumaini ya kwenda mbinguni.
SERA YANGU:Mbingu yangu ni hii good life niliyo nayo kwa sasa nikifikwa na majanga basi itakuwa jahannam yangu.
KAMA UNAUNGANA NA MIMI GONGA LIKE TUJUANE
Umevunja katiba ya nchi kifungu cha 19 kwa kuingilia uhuru wa mtu mwingine wa kuabudu

Unatakiwa uburuzwe mahakamani kwa kuingilia uhuru wa kuabudu wa watoto na kutumia nguvu kuwadhibiti
 
Baada ya kuona ujinga mambo ya makanisani nimeona nipige marufuku watoto wangu kuwa brain washed na mambo ya kanisa na aina zote za imani badala yake nawafùndisha life manners mwenyewe.Kama wataamua kwenda kwenye imani yoyote wafanye baada ya kutoka kwenye himaya yangu.
Mke wangu kwa vile tulikutana ukubwani mi nimeachana nae aendelee kuwa nyumbu wa huu ujinga wa kuwa na matumaini ya kwenda mbinguni.
SERA YANGU:Mbingu yangu ni hii good life niliyo nayo kwa sasa nikifikwa na majanga basi itakuwa jahannam yangu.
KAMA UNAUNGANA NA MIMI GONGA LIKE TUJUANE
Kwa dunia ilipo hivi sasa, kwa mahitaji ya kidunia na Changamoto zakw ukirunganisha na aina ya Wasimi na viongozi wa dini waliopo hivi sasa, kamwe dini siyo mstari salama kuufuata.
Hata jua liwe kali vipi, kivuli chake si cha kusema ukae upumzike na hata kama ni chemichemi basi maji hayafai kuyanywa
 
Mkuu ulianza kukwepa jumuiya 🤣🤣 sasa unaanza kuwachomoa madogo !
Kikubwa watoto wawe na utu na maadili mema ndo muhimu
Mifano hai
1. Mzee wa Upako- anapiga mabapa
2. Mch Rwakatale anapiga makofi Zitto kuuawa bila kosa
3. Askofu Gwajima- kuungana na ccm
4. Mch Msigwa kuwa mwongo na msaliti.

Bado mnaniambia nikapoteze muda huko? Bora nikapumzike beach kwenye upepo nitapata afya.
 
Wazungu husema
- 'Everything happens for a reason"
-Kuna System zipo duniani kufanya maisha yawe under control for greater good! Mfano; Serikali/Dini etc
- Kwenye hii dunia kuwa tu mtulivu kila kitu fanya kwa kiasi na kupunguza ujuaji itakusaidia sana mkuu
ni hayo tu!
 
Nitazikwa ila sitaki maujinga yenu ya kuniombea coz hayasaidii wala nini na sioni tija yake kwa sababu hamjawahi fufua mtu wala kuhakiki kuwa maombi yamemfikisha marehem peponi.
Ni utahira kwa sisi Waafrika kutaka kwenda mbinguni kuliko hata hao walioanzldika na kupeint hivyo vitabu
Ni heri kuchomwa na majivu kusambazwa shambani maana watu wanaingia gharama kubwa kujenga makaburi ambayo hawayatunzi.

Amandla...
 
Baada ya kuona ujinga mambo ya makanisani nimeona nipige marufuku watoto wangu kuwa brain washed na mambo ya kanisa na aina zote za imani badala yake nawafùndisha life manners mwenyewe.Kama wataamua kwenda kwenye imani yoyote wafanye baada ya kutoka kwenye himaya yangu.
Mke wangu kwa vile tulikutana ukubwani mi nimeachana nae aendelee kuwa nyumbu wa huu ujinga wa kuwa na matumaini ya kwenda mbinguni.
SERA YANGU:Mbingu yangu ni hii good life niliyo nayo kwa sasa nikifikwa na majanga basi itakuwa jahannam yangu.
KAMA UNAUNGANA NA MIMI GONGA LIKE TUJUANE
Usiku wa kuamkia leo umeota nini? Tafakari....
 
Baada ya kuona ujinga mambo ya makanisani nimeona nipige marufuku watoto wangu kuwa brain washed na mambo ya kanisa na aina zote za imani badala yake nawafùndisha life manners mwenyewe.Kama wataamua kwenda kwenye imani yoyote wafanye baada ya kutoka kwenye himaya yangu.
Mke wangu kwa vile tulikutana ukubwani mi nimeachana nae aendelee kuwa nyumbu wa huu ujinga wa kuwa na matumaini ya kwenda mbinguni.
SERA YANGU:Mbingu yangu ni hii good life niliyo nayo kwa sasa nikifikwa na majanga basi itakuwa jahannam yangu.
KAMA UNAUNGANA NA MIMI GONGA LIKE TUJUANE
naunga mkono hoja, me mfia dini kweli kweli dini za sku hizi zinatugeuza manyumbu.
kitaku cha mathayo kinasema dini iliyosafi ni kutazama yatika, wajane na masikini katika shida zao kwisha.
 
Back
Top Bottom