shep isaac
Member
- Sep 21, 2016
- 23
- 10
Hapo umecheza kama peleHakuna anaekupinga lakini watoto wako wana bahati mbaya ya kuwa na baba mjinga kama wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo umecheza kama peleHakuna anaekupinga lakini watoto wako wana bahati mbaya ya kuwa na baba mjinga kama wewe
Kwa hiyo unaenda kanisani usizikwe na city?Ukifa tukufukie kama mzoga au utazikwa na City?
Mtu kama Mchungaji Msigwa unaweza amini yule ni Mchungaji?Poa, angalia mtoto anavyotekwa kiimani, anabatizwa akiwa mtoto, anafahamu nini? Muache awe mtu mzima aamue mwenyewe kama atakubali kudanganywa na hizi imani za kigeni.
Umevunja katiba ya nchi kifungu cha 19 kwa kuingilia uhuru wa mtu mwingine wa kuabuduBaada ya kuona ujinga mambo ya makanisani nimeona nipige marufuku watoto wangu kuwa brain washed na mambo ya kanisa na aina zote za imani badala yake nawafùndisha life manners mwenyewe.Kama wataamua kwenda kwenye imani yoyote wafanye baada ya kutoka kwenye himaya yangu.
Mke wangu kwa vile tulikutana ukubwani mi nimeachana nae aendelee kuwa nyumbu wa huu ujinga wa kuwa na matumaini ya kwenda mbinguni.
SERA YANGU:Mbingu yangu ni hii good life niliyo nayo kwa sasa nikifikwa na majanga basi itakuwa jahannam yangu.
KAMA UNAUNGANA NA MIMI GONGA LIKE TUJUANE
Hujasikia ya Rufiji na Mtwara?Wapeleke madrasa
Kwa dunia ilipo hivi sasa, kwa mahitaji ya kidunia na Changamoto zakw ukirunganisha na aina ya Wasimi na viongozi wa dini waliopo hivi sasa, kamwe dini siyo mstari salama kuufuata.Baada ya kuona ujinga mambo ya makanisani nimeona nipige marufuku watoto wangu kuwa brain washed na mambo ya kanisa na aina zote za imani badala yake nawafùndisha life manners mwenyewe.Kama wataamua kwenda kwenye imani yoyote wafanye baada ya kutoka kwenye himaya yangu.
Mke wangu kwa vile tulikutana ukubwani mi nimeachana nae aendelee kuwa nyumbu wa huu ujinga wa kuwa na matumaini ya kwenda mbinguni.
SERA YANGU:Mbingu yangu ni hii good life niliyo nayo kwa sasa nikifikwa na majanga basi itakuwa jahannam yangu.
KAMA UNAUNGANA NA MIMI GONGA LIKE TUJUANE
Mifano haiMkuu ulianza kukwepa jumuiya 🤣🤣 sasa unaanza kuwachomoa madogo !
Kikubwa watoto wawe na utu na maadili mema ndo muhimu
We naye mzee wa mizimu ndio ujinga uliotopeaUzi poa wa kuamsha waliolala. Ila nakusihi uendelee na imani yako ya jadi, Mungu wa kweli anapatikana kwa kuwatumia mababu zako waliotangulia mbele ya haki.
ogopeni anayeua roho sio mwili, hii ina maana kwamba mwili si kitu kwenye ufalme wa mbinguni kuna watu wamefia baharini maiti zao zimeliwa na samaki nini kuzikwa na city.Ukifa tukufukie kama mzoga au utazikwa na City?
Si kila Kifo cha kuzika.akifa Kwa Moto je na tusipate chochote cha kuzika itakuwaje?Ukifa tukufukie kama mzoga au utazikwa na City?
Ni heri kuchomwa na majivu kusambazwa shambani maana watu wanaingia gharama kubwa kujenga makaburi ambayo hawayatunzi.Nitazikwa ila sitaki maujinga yenu ya kuniombea coz hayasaidii wala nini na sioni tija yake kwa sababu hamjawahi fufua mtu wala kuhakiki kuwa maombi yamemfikisha marehem peponi.
Ni utahira kwa sisi Waafrika kutaka kwenda mbinguni kuliko hata hao walioanzldika na kupeint hivyo vitabu
well said.Si kila Kifo cha kuzika.akifa Kwa Moto je na tusipate chochote cha kuzika itakuwaje?
Hoja ya watu wapumbavuu hii👆👆Ukifa tukufukie kama mzoga au utazikwa na City?
Kifungu gani hiki?😅😅😅Umevunja katiba ya nchi kwa kuingilia uhuru wa mtu mwingine wa kuabudu
Unatakiwa uburuzawe mahakamani kwa kuingilia uhuru wa kuabudu wa watoto na kutumia nguvu kuwadhibiti
Usiku wa kuamkia leo umeota nini? Tafakari....Baada ya kuona ujinga mambo ya makanisani nimeona nipige marufuku watoto wangu kuwa brain washed na mambo ya kanisa na aina zote za imani badala yake nawafùndisha life manners mwenyewe.Kama wataamua kwenda kwenye imani yoyote wafanye baada ya kutoka kwenye himaya yangu.
Mke wangu kwa vile tulikutana ukubwani mi nimeachana nae aendelee kuwa nyumbu wa huu ujinga wa kuwa na matumaini ya kwenda mbinguni.
SERA YANGU:Mbingu yangu ni hii good life niliyo nayo kwa sasa nikifikwa na majanga basi itakuwa jahannam yangu.
KAMA UNAUNGANA NA MIMI GONGA LIKE TUJUANE
Dead people know nothing.Ukifa tukufukie kama mzoga au utazikwa na City?
naunga mkono hoja, me mfia dini kweli kweli dini za sku hizi zinatugeuza manyumbu.Baada ya kuona ujinga mambo ya makanisani nimeona nipige marufuku watoto wangu kuwa brain washed na mambo ya kanisa na aina zote za imani badala yake nawafùndisha life manners mwenyewe.Kama wataamua kwenda kwenye imani yoyote wafanye baada ya kutoka kwenye himaya yangu.
Mke wangu kwa vile tulikutana ukubwani mi nimeachana nae aendelee kuwa nyumbu wa huu ujinga wa kuwa na matumaini ya kwenda mbinguni.
SERA YANGU:Mbingu yangu ni hii good life niliyo nayo kwa sasa nikifikwa na majanga basi itakuwa jahannam yangu.
KAMA UNAUNGANA NA MIMI GONGA LIKE TUJUANE