Billie
JF-Expert Member
- Aug 13, 2011
- 13,588
- 22,752
- Thread starter
- #61
Ni kubaki akili mbichi za watoto kwa kuwa register kwenye mifumo ambayo itapunja GB zao kichwani mwao.Poa, angalia mtoto anavyotekwa kiimani, anabatizwa akiwa mtoto, anafahamu nini? Muache awe mtu mzima aamue mwenyewe kama atakubali kudanganywa na hizi imani za kigeni.