Nimepiga marufuku watoto wangu kwenda kanisani

Nimepiga marufuku watoto wangu kwenda kanisani

Nitazikwa ila sitaki maujinga yenu ya kuniombea coz hayasaidii wala nini na sioni tija yake kwa sababu hamjawahi fufua mtu wala kuhakiki kuwa maombi yamemfikisha marehem peponi.
Ni utahira kwa sisi Waafrika kutaka kwenda mbinguni kuliko hata hao walioanzldika na kupeint hivyo vitabu
Una hoja. Usikilizwe kidogo
 
Baada ya kuona ujinga mambo ya makanisani nimeona nipige marufuku watoto wangu kuwa brain washed na mambo ya kanisa na aina zote za imani badala yake nawafùndisha life manners mwenyewe.Kama wataamua kwenda kwenye imani yoyote wafanye baada ya kutoka kwenye himaya yangu.
Mke wangu kwa vile tulikutana ukubwani mi nimeachana nae aendelee kuwa nyumbu wa huu ujinga wa kuwa na matumaini ya kwenda mbinguni.
SERA YANGU:Mbingu yangu ni hii good life niliyo nayo kwa sasa nikifikwa na majanga basi itakuwa jahannam yangu.
KAMA UNAUNGANA NA MIMI GONGA LIKE TUJUANE
subiri watoto wako wafundishwe na shetani wawe mashoga, wasagaji, wauwaji na vibaka ndio utastuka.
 
Mfano wewe una uhakika kuwa mama yako mzazi ndie huyo kuwa labda walikuokota jalalani baada ya kutelekezwa na mama yako halisi

Au una uhakika gani kama huyo baba yako ndie mwenyewe ?
Yanafananaje haya maswali na topic yangu?
Umekula leo lakini?
 
Naungana na mtoa mada, Samaki mkunje angali mbichi.....

kwa nchi zilizoendelea mtoto kusema hana Dini ni kitu cha kawaida sana ila kwa hizi nchi za kishenzi za Dunia ya Tatu ndo watu wanashangaa, acha mabadiliko yaanze huu upuuzi hata mimi kwa mwanangu ni marufuku.
watu hamuelewi mtaji wa kijamii vizuri

ni kama kuwa mwanaume halafu hufuatilii mpira vijiweni utakuwa unatoa macho tu

ndo dini sasa inakupa tiketi ya kuwa karibu na watu, haswa kwa watoto wadogo
 
Mkuu Billie binafsi nimekuelewa mno, kila la heri katika yote.
Kwa kweli tunaenda kuwajaza watoto mataka taka yasio na ulazima vichwani mwao bila sababu ya msingi.
GB za mtoto wa Kiafrika anajazwa yakikushinda hapa duniani komaa na mchongo wa kwenda peponi ukaonane na Yesu alafu mchina anampika mtoto wake katika kuaminia matumizi sahihi ya ubongo na crafts mbalimbali ili baadae awe producers na mvumbuzi we huoni sisi tunatengeneza kizazi cha watu wavivu.Mfano hao Gen Z wametandikwa na umasikini mpaka wanahisi ahueni yao inapatikana kwa kumtoa rais madarakan maana swala la BILL rais alipiga chini kusaini ila bado wanaandamana.
Njoo Tz nyumbu zimetingwa na life zimejazana kwa Mwambosa ahueni ya life hawaioni japokuwa wamemsogelea Mungu.
Tuliogundua mchongo tupo tunapiga ma businesses na maisha yanasonga kwa speed nzuri muda wa ibada si tupo tunapush mizigo tu kwa nini tusiwapite kwa muonekano,hela na hata utajiri
 
Kwani kanisa likimzika kuna kitu linamuongezea?
unadanganywa kuwa maombi ya viongozi wa dini yana mantiki yoyote kwenye mazishi
Wapi nimesema linamuongezea kitu? Watu wenye akili tunafahamu dini ni utapeli tu, lakini lazima ukae kwenye mfumo wa dunia inavyotaka siyo unavyotaka, usidhani hizi serikali ni wajinga kukumbatia dini.

Dini ndio siasa namba moja kongwe duniani, kwahiyo huwezi kuishi kwenye dunia halafu upingane na mifumo ya dunia inavyotaka, hili ndio tatizo pia linawasumbuwa sana waislamu.
 
Back
Top Bottom