Nimepiga marufuku watoto wangu kwenda kanisani

Nimepiga marufuku watoto wangu kwenda kanisani

Kwa kweli tunaenda kuwajaza watoto mataka taka yasio na ulazima vichwani mwao bila sababu ya msingi.
GB za mtoto wa Kiafrika anajazwa yakikushinda hapa duniani komaa na mchongo wa kwenda peponi ukaonane na Yesu alafu mchina anampika mtoto wake katika kuaminia matumizi sahihi ya ubongo na crafts mbalimbali ili baadae awe producers na mvumbuzi we huoni sisi tunatengeneza kizazi cha watu wavivu.Mfano hao Gen Z wametandikwa na umasikini mpaka wanahisi ahueni yao inapatikana kwa kumtoa rais madarakan maana swala la BILL rais alipiga chini kusaini ila bado wanaandamana.
Njoo Tz nyumbu zimetingwa na life zimejazana kwa Mwambosa ahueni ya life hawaioni japokuwa wamemsogelea Mungu.
Tuliogundua mchongo tupo tunapiga ma businesses na maisha yanasonga kwa speed nzuri muda wa ibada si tupo tunapush mizigo tu kwa nini tusiwapite kwa muonekano,hela na hata utajiri
Kuna msemo mmoja unasema nanukuu ; '" Sungura amelala, tena amelala uchi, ukimuamsha utalala wewe"

Nakuelewa sana mkuu.
 
Waache waende TU! Katika ujinga mwingi Kuna hekima ndani yake ambayo itawasaidia wao na sio wewe uliekata tamaa kabisa!!

Ni kweli dini ni ujinga Fulani lakini ndani ya huo ujinga kuna kimbilio la kupata faraja kidogo!!
Huna fedha

Huna ajira

Huna ndoa

Unatafuta faraja gani kwa kuombewa kama sio kukwepa kumaliza matatizo ya msingi?
 
Wapi nimesema linamuongezea kitu? Watu wenye akili tunafahamu dini ni utapeli tu, lakini lazima ukae kwenye mfumo wa dunia inavyotaka siyo unavyotaka, usidhani hizi serikali ni wajinga kukumbatia dini.

Dini ndio siasa namba moja kongwe duniani, kwahiyo huwezi kuishi kwenye dunia halafu upingane na mifumo ya dunia inavyotaka, hili ndio tatizo pia linawasumbuwa sana waislamu.
Waislam wamefanyaje? Wamekataa dini?
 
Waebrania 11.
Its only by Faith.. nothing else.
Achana na waebrania huko ndio uongo ulipo.

Kama imani ingekuwa ni njia sahihi ya kujua ukweli wa jambo basi kungekuwa na dini moja yenye imani moja.

Lakini kwasababu kuna imani nyingi tena zinazopingana basi imani haiwezi kuwa hakika kama Waebrania walivyo tudanganya.
 
Wale maparoko wanaolawiti vivulana na walimu wa madrasat wanaorawiti ni wa dini ya shetani?
Anahisi viongozi wa dini ni kama vile Chosen one from Heaven kumbe ni ndugu zetu na wengine tumezaliwa nao na pia tupo nao majumbani tunajua tabia zao za karibu kuliko waumini wao.
Kuna nabii alidakwa na madawa ya kulevya Heroin akafungwa na kufilisiwa enzi za Jpm nashangaa katoka juzi now yupo Kenya kaanzisha kanisa na anadondosha watu kwa kuwaponya
 
Anahisi viongozi wa dini ni kama vile Chosen one from Heaven kumbe ni ndugu zetu na wengine tumezaliwa nao na pia tupo nao majumbani tunajua tabia zao za karibu kuliko waumini wao.
Kuna nabii alidakwa na madawa ya kulevya Heroin akafungwa na kufilisiwa enzi za Jpm nashangaa katoka juzi now yupo Kenya kaanzisha kanisa na anadondosha watu kwa kuwaponya
Dini is for low minded individuals.
 
Huna fedha

Huna ajira

Huna ndoa

Unatafuta faraja gani kwa kuombewa kama sio kukwepa kumaliza matatizo ya msingi?
Hayakuhusu ya ngoswe mwachie ngoswe

Ndio maana mojawapo ya sababu ya watanzania kutoendelea ni umbeya kutwa kuangalia mwingine anafanya nini anaabudu nini badala ya ku mind our own business

Unakuta mtu kutwa anaongelea Mwamposa tena padre au mchungaji ndicho alichoitiwa na Mungu kuwa nakutuma kahubiri habari za Mwamposa?

Wazungu wako vizuri na ule msemo wao mind your own business sio business za watu wengine .Ku mind business za watu wengine kiswahili unaitwa umbeya

Mind your own business wewe acha umbeya kutizama wengine mambo yao bwege wewe
Pambana na hali yako choka mbaya kimaisha wewe
 
Huna fedha

Huna ajira

Huna ndoa

Unatafuta faraja gani kwa kuombewa kama sio kukwepa kumaliza matatizo ya msingi?
Nani alimuambia maombezi yanasaidia zaidi ya kupumbaza.Sisi tulivyo nyumbu yaani unakuta li mtu linamfuata kiongozi wa dini badala liende kumfuata Mungu yaani Dini kwa sasa Africa zinaongeza masikini wengi mno hata kidogo ulichonacho unanyang'anywa
 
Achana na waebrania huko ndio uongo ulipo.

Kama imani ingekuwa ni njia sahihi ya kujua ukweli wa jambo basi kungekuwa na dini moja yenye imani moja.

Lakini kwasababu kuna imani nyingi tena zinazopingana basi imani haiwezi kuwa hakika kama Waebrania walivyo tudanganya.
Imani inaponya.
 
Una hoja kubwa sanaa usipuuzwe.

Changamoto inakuja pale sio kwenye taasisi za elimu tu ndio zinamfinyanga mtoto kua mtu bora wa baadae ila taasisi za kidini zina nafasi kubwa ya kumuandaa mtu wa kesho.

Utawatenga kijamii na n mbaya sanaa.
 
Back
Top Bottom