Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee fulani aliwahi kusema: "Akili za kupewa; changanya na za kwako".Imani inaponya hayo ni maneno yaliyosemwa na mchungaji ambaye kabla ya kuvuka barabara anaangalia kushoto na kulia.
Kabla ya kulala anashusha chandarua na kama haitoshi anachoma kabisa na dawa ya kuua.
At the same time getini kuna mlinzi na ndani amefanya installation ya CCTV Camera in case you want to sneaky around.
Halafu chumbani ana safe box ambayo humo kaweka Glock 19 ambayo tayari iko loaded.
Then akija madhabahuni anasema imani inaponya.
Kama imani inaponya basi kusingekuwa na fire extinguisher makanisani.
Last year tulikuwa na Pastor Makenzie aliyewapa imani hiyo waumini wake na mwisho wakafa kwa ujinga wao.
Tukienda mbali na hizi modern church nowdays zina miradi hadi ya kumiliki hospitali. Hospitali za nini wakati imani inaponya?
Na mbaya zaidi kwenye hizo hospitali hauwi treated for free, sasa hiyo imani inayoponya huwa inaponya nini?
Mkuu una tatizo kubwa la afya ya akili, na unahitaji tiba ya haraka sana kabla ya mambo kukuharibikia kabisa. Fanya hima utafute kwanza mshauri wa kisaikolijia.Baada ya kuona ujinga mambo ya makanisani nimeona nipige marufuku watoto wangu kuwa brain washed na mambo ya kanisa na aina zote za imani badala yake nawafùndisha life manners mwenyewe.Kama wataamua kwenda kwenye imani yoyote wafanye baada ya kutoka kwenye himaya yangu.
Mke wangu kwa vile tulikutana ukubwani mi nimeachana nae aendelee kuwa nyumbu wa huu ujinga wa kuwa na matumaini ya kwenda mbinguni.
SERA YANGU:Mbingu yangu ni hii good life niliyo nayo kwa sasa nikifikwa na majanga basi itakuwa jahannam yangu.
KAMA UNAUNGANA NA MIMI GONGA LIKE TUJUANE
Ukifa tukufukie kama mzoga au utazikwa na City
Hata asipozikwa na jamii, Serikali haiwezi kuuacha mwili wa mlipa kodi wake pasipo kuustili.Ukifa tukufukie kama mzoga au utazikwa na City?
Alikutana wapi na Mungu mpaka akakikiri na mimi nije?"Haya maneno aliyaongea bro mmoja ila kwa sasa is no more Ila nyakati zake za mwisho alimkiri Mungu "
Imani inaponya alafu yeye anatembea akiwa na mabodyguardImani inaponya hayo ni maneno yaliyosemwa na mchungaji ambaye kabla ya kuvuka barabara anaangalia kushoto na kulia.
Kabla ya kulala anashusha chandarua na kama haitoshi anachoma kabisa na dawa ya kuua.
At the same time getini kuna mlinzi na ndani amefanya installation ya CCTV Camera in case you want to sneaky around.
Halafu chumbani ana safe box ambayo humo kaweka Glock 19 ambayo tayari iko loaded.
Then akija madhabahuni anasema imani inaponya.
Kama imani inaponya basi kusingekuwa na fire extinguisher makanisani.
Last year tulikuwa na Pastor Makenzie aliyewapa imani hiyo waumini wake na mwisho wakafa kwa ujinga wao.
Tukienda mbali na hizi modern church nowdays zina miradi hadi ya kumiliki hospitali. Hospitali za nini wakati imani inaponya?
Na mbaya zaidi kwenye hizo hospitali hauwi treated for free, sasa hiyo imani inayoponya huwa inaponya nini?
Kama imesemwa na dini we utapinga?Kwahiyo Scars jirani yako akioga nje nawewe utaoga nje?
Yeah! Umewapiga marufuku kwenda kanisani kwakuwa unayo Mamlaka ya kufanya hivyo. Sasa Je; umekumbuka pia kuwaamuru kwamba badala ya kwenda kanisani waende wapi? Vinginevyo usishangae kuona wanaenda kule ambako hukutegemea wataenda kwani ni lazima kuwepo na mahali pa kwenda.Baada ya kuona ujinga mambo ya makanisani nimeona nipige marufuku watoto wangu kuwa brain washed na mambo ya kanisa na aina zote za imani badala yake nawafùndisha life manners mwenyewe.Kama wataamua kwenda kwenye imani yoyote wafanye baada ya kutoka kwenye himaya yangu.
Mke wangu kwa vile tulikutana ukubwani mi nimeachana nae aendelee kuwa nyumbu wa huu ujinga wa kuwa na matumaini ya kwenda mbinguni.
SERA YANGU:Mbingu yangu ni hii good life niliyo nayo kwa sasa nikifikwa na majanga basi itakuwa jahannam yangu.
KAMA UNAUNGANA NA MIMI GONGA LIKE TUJUANE
Zito ameuawa lini?Mifano hai
1. Mzee wa Upako- anapiga mabapa
2. Mch Rwakatale anapiga makofi Zitto kuuawa bila kosa
3. Askofu Gwajima- kuungana na ccm
4. Mch Msigwa kuwa mwongo na msaliti.
Bado mnaniambia nikapoteze muda huko? Bora nikapumzike beach kwenye upepo nitapata afya.
Mimi na wewe basi ni ndugu sema hatujajuana kwa sura.Itikadi yako nimeipenda ipo kama yanguMke wangu (yeye ni Mkristo) alijaribu kumpeleka mwanangu kanisani nilimuwashia moto mkubwa mno hakurudia tena upumbavu wa namna hiyo. Mama yangu mzazi (yeye ni muislamu) mwanangu alienda kumtembelea akakaa kwake wakati wa likizo eti akampeleka madrasa. Aisee siku niliyokwenda nikaambiwa eti mtoto amekwenda madrasa. Nikaomba nielekezwe madrasa ilipo. Nikaenda nikamchukua na kumsihi mwalimu wa madrasa asimpokee tena mtoto yule.
Nikarudi kwa mama na kumwambia wazi kuwa sitaki mwanangu ajifunze mambo ya dini.
Huu upumbavu unaoitwa dini siwezi kuruhusu mwanangu awekwe chini afundishwe. Sitaki kusikia kuhusu huyo mnaemwita Yesu wala yule wanaemwita mtume. Mtu mwenye akili timamu hawezi kuamini huo upuuzi ulioandikwa kwenye hivyo mnavyoviita vitabu vitakatifu.
Sio tu hivyo...Una uhakika yale ni maneno ya Mungu.
Yaani yeye atuambie kuwa samehe saba mara sabini ila adam na Eva walikula tunda moja tu tena walimegeana ila hakuwasamehe mwishowe katoa laana mpaka kizazi na kizazi kina laana ya kuhasi.
Ni uongo tu wakenya wanasema hizo ni stori za jaba
Acha kuitumia Newton's third law of Motion vibaya kwa hiyo wasipoenda kanisani ni lazima na mimi wanijibu kwa kwenda kokote?Yeah! Umewapiga marufuku kwenda kanisani kwakuwa unayo Mamlaka ya kufanya hivyo. Sasa Je; umekumbuka pia kuwaamuru kwamba badala ya kwenda kanisani waende wapi? Vinginevyo usishangae kuona wanaenda kule ambako hukutegemea wataenda kwani ni lazima kuwepo na mahali pa kwenda.
Action and Reaction are equal and opposite. (Newton's third law).
Naenda na akili zangu.. sio kila kitu cha kubeba.Kama imesemwa na dini we utapinga?
Unatia doubt maneno ya Mungu?Naenda na akili zangu.. sio kila kitu cha kubeba.
Hapana. Nayaamini na ninayazingatia kadri niwezavyo.Unatia doubt maneno ya Mungu?
Kwanza tu ile story ya bustan ya Eden ipo kifala fala sana eti Mungu aliwaumba Adam na Eva na akawapa maskani ya Eden then humo humo akaruhusu na li shetan liishi mbaya zaid udanganyifu unafanyika yeye sijui alikuwa kalewa ama kalala mpaka udanganyifu wa kula tunda unaisha na yeye eti anatokeza na kuanza kupanic na kurusha ma laaana eti nyoka utapondwa kichwa,mwanaume utatafuta kwa uchungu na mke utazaa kwa uchungu na dhambi ya asili ikazaliwa.Sasa najiuliza alikuwa na mpango gani kumleta shetani pale EDEN kama sio alitaka kutuchoma motoSio tu hivyo...
Kwanza alikuwa ni Mungu mbinafsi alitaka kuwatenganisha na ukweli viumbe wake.
Imagine miaka yote walikuwa wakiishi wakiwa uchi lakini walikuwa hawajui, ina maana alikuwa anawachungulia yeye tu.
Shetani ndio aliyekuja kuwapa access kwa kuwaambia wale tunda.
Waliokula tunda ndio wakawa na uwezo wa kujua mema na mabaya.
Kwa hiyo kabla ya hapo Mungu hakutaka watu wajue mema na mabaya.
Then bado credit za kwamba Mungu anampenda sana binadamu zinaenda kwake badala ya shetani.
Umekwisha na kizazi chako chote.Baada ya kuona ujinga mambo ya makanisani nimeona nipige marufuku watoto wangu kuwa brain washed na mambo ya kanisa na aina zote za imani badala yake nawafùndisha life manners mwenyewe.Kama wataamua kwenda kwenye imani yoyote wafanye baada ya kutoka kwenye himaya yangu.
Mke wangu kwa vile tulikutana ukubwani mi nimeachana nae aendelee kuwa nyumbu wa huu ujinga wa kuwa na matumaini ya kwenda mbinguni.
SERA YANGU:Mbingu yangu ni hii good life niliyo nayo kwa sasa nikifikwa na majanga basi itakuwa jahannam yangu.
KAMA UNAUNGANA NA MIMI GONGA LIKE TUJUANE