Pyaar
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 16,078
- 77,186
Kuzikwa lazima uzikwe mkuu, majembe na makoleo ni hayo hayo.Hivi vyama vya kufa na kuzikana vitatu vya kazi gani mpaka viniache nioze huku mimi ni mshiriki mzuri misibani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuzikwa lazima uzikwe mkuu, majembe na makoleo ni hayo hayo.Hivi vyama vya kufa na kuzikana vitatu vya kazi gani mpaka viniache nioze huku mimi ni mshiriki mzuri misibani?
Biblia imesema mpende adui yako.Hapana. Nayaamini na ninayazingatia kadri niwezavyo.
Kwani anaye fukiwa kama mzoga na wewe unaye zikwa na cardinal pengo na malasusa mauti yenu inatofautiana nini? Achen kukalilishwa ujingaUkifa tukufukie kama mzoga au utazikwa na City?
NampendaBiblia imesema mpende adui yako.
Je we unatimizi hilo andiko?
Isije ukawa wewe ndie mwenye hayo matatizo.Unageuzwa fursa wewe unahisi unapelekwa mbinguni kaka malizana na mbingu yako hapa hapa kwa kufanya kazi kula vizuri na kulala pazuri na amani ya moyo.Mkuu una tatizo kubwa la afya ya akili, na unahitaji tiba ya haraka sana kabla ya mambo kukuharibikia kabisa. Fanya hima utafute kwanza mshauri wa kisaikolijia.
My favorite part of that storyKwanza tu ile story ya bustan ya Eden ipo kifala fala sana eti Mungu aliwaumba Adam na Eva na akawapa maskani ya Eden then humo humo akatuhusu na li shetan liishi mbaya zaid udanganyifu unafanyika yeye sijui alikuwa kalewa kalala mpaka udanganyifu wa kula tunda unaisha na yeye eti anatokeza na kuanza kupanic na kurusha ma laaana eti nyoka utapondwa kichwa,mwanaume utatafuta kwa uchungu na mke utazaa kwa uchungu na dhambi ya asili ikazaliwa.Sasa najiuliza alikuwa na mpango gani kumleta shetani pale EDEN kama sio alitaka kutuchoma moto
Unaweza kutueleza ni kiasi gani unampenda shetani?Nampenda
Sina adui..
Watoto wanaweza wakawa karibu na wenzao wakiwa shuleni sio lazima huko makanisani, kinachofundishwa shuleni kina mantiki zaidi kuliko hadithi za fimbo kugeuka nyoka zilizo kwenye Biblia,watu hamuelewi mtaji wa kijamii vizuri
ni kama kuwa mwanaume halafu hufuatilii mpira vijiweni utakuwa unatoa macho tu
ndo dini sasa inakupa tiketi ya kuwa karibu na watu, haswa kwa watoto wadogo
Nikifa sina la ziada tena mtaamua nyie mnizike kama mzoga au mnichome yote juu yenu, mkitaka mniache tu harufu itakua juu yenu.Ukifa tukufukie kama mzoga au utazikwa na City?
Maisha ya kwakoNikifa sina la ziada tena mtaamua nyie mnizike kama mzoga au mnichome yote juu yenu, mkitaka mniache tu harufu itakua juu yenu.
Ukishakufa hakuna la ziada hata wakuzike angani ww ni mzoga tu
Mbona mfumo wa Dunia unataka watu wawe mashoga na wewe hujaamua kuwa shoga ?Wapi nimesema linamuongezea kitu? Watu wenye akili tunafahamu dini ni utapeli tu, lakini lazima ukae kwenye mfumo wa dunia inavyotaka siyo unavyotaka, usidhani hizi serikali ni wajinga kukumbatia dini.
Dini ndio siasa namba moja kongwe duniani, kwahiyo huwezi kuishi kwenye dunia halafu upingane na mifumo ya dunia inavyotaka, hili ndio tatizo pia linawasumbuwa sana waislamu.
Alikutana wapi na Mungu mpaka akakikiri na mimi nije?
Imani inaponya alafu yeye anatembea akiwa na mabodyguard
Kuna kijana namfahamu alikuwa anasomea udaktari, baada ya kumaliza kidato cha 6 mama yake kampeleka kwenye makanisa ya kilokole, kumbuka hii familia ni RC mama akahubiriwa akashukiwa roho mtakatifu akahamia huko, kiukweli kijana ana maadili ila kufika chuo ikawa ni kanisa na yeye yeye na kanisa akapewa na uzee wa kanisa, kilichotokea ni kufeli kadisco miaka yote 5, ada yote aliyolipiwa ni hasara maana hakuwa na mkopo, mama mtu yupo kumnanga mwanae aliyempeleka mwenyewe kwenye hayo makanisa.....
Kwahiyo mkuu upo sahihi umeshtuka bado mapema
Ukisema imani za kigeni... Hapo basi uache na vitu vyote... Ikiwemo technology na matumizi ya vitu kama simu. Issue ni kuchagua mazuri uache mabaya... Kuna mtu alisema ngono na mihadarati ni vizuri kwa sababu ngono ni tamu... Lakin wakati huo huo kuna mwenzetu kaanzisha thread anajuta... Just think mtoto wako akawa pornographer na anasema anaingiza pesa huku akifaidi utamu... Lakin in nature ukituliza akili unaona kabisa sio kitu kizuri...Poa, angalia mtoto anavyotekwa kiimani, anabatizwa akiwa mtoto, anafahamu nini? Muache awe mtu mzima aamue mwenyewe kama atakubali kudanganywa na hizi imani za kigeni.
Sawa hayo ni maamuzi na mtazamo wako juu ya hili lakini lengo lako ni nini hasa? Ungewakataza watoto wako kwenda kanisani halafu ukapiga kimya bila mtu yeyote kujua ingekugharimu nini? Au ni shetani amekutuma huku kutafuta wafuasi zaidi?Baada ya kuona ujinga mambo ya makanisani nimeona nipige marufuku watoto wangu kuwa brain washed na mambo ya kanisa na aina zote za imani badala yake nawafùndisha life manners mwenyewe.Kama wataamua kwenda kwenye imani yoyote wafanye baada ya kutoka kwenye himaya yangu.
Mke wangu kwa vile tulikutana ukubwani mi nimeachana nae aendelee kuwa nyumbu wa huu ujinga wa kuwa na matumaini ya kwenda mbinguni.
SERA YANGU:Mbingu yangu ni hii good life niliyo nayo kwa sasa nikifikwa na majanga basi itakuwa jahannam yangu.
KAMA UNAUNGANA NA MIMI GONGA LIKE TUJUANE
Bas hata babu zetu waloish kabla ya ukolon wangekatwa katwa na watoto waoHao watoto unaowakataza kwenda kusikia maneno ya Mungu ipo siku watakuinukia wakukate vipande vipande.