Nimepiga marufuku watoto wangu kwenda kanisani

Nimepiga marufuku watoto wangu kwenda kanisani

Hao watoto unaowakataza kwenda kusikia maneno ya Mungu ipo siku watakuinukia wakukate vipande vipande.
Mbona huko Middle east watu wanauana daily na ukichunguza ni mataifa ya kidini?

Au Hamas na Israel ni Atheists?

Hujui kuwa dini ndio core ya fujo zote?

Hujui kuwa hata njia iliyotumia dini kusambaa ulimwenguni ime spread through violence?

King Leopold wapili kule Congo ameua mamilion ya wakongo kwa kutumia Biblia.

Hujui hata Mungu wa Biblia mwenyewe alitoa command kwa Mussa kuwa watu wapake damu za kondoo juu ya milango yao, nyumba ambazo zilikiuka agizo zilipata pigo la mtoto wa kwanza kufariki.

Mtoto ambaye hajui baya wala zuri anahukumiwa kifo kwa makosa ya mzazi ya kutotimiza maagizo ya Mungu.

Je hayo ndio mafunzo unayotaka jamaa amfundishe mwanaye?

Yani mtoto asome mafunzo ambayo yanaonesha hatari ya yeye kuweza kufa kutokana na uzembe wa baba?
 
Uko sawa kabla tapeli mwamposa hajawabadilisha maana tapeli ukimpa dakika 1 tu umeisha
 
Wapi nimesema linamuongezea kitu? Watu wenye akili tunafahamu dini ni utapeli tu, lakini lazima ukae kwenye mfumo wa dunia inavyotaka siyo unavyotaka, usidhani hizi serikali ni wajinga kukumbatia dini.

Dini ndio siasa namba moja kongwe duniani, kwahiyo huwezi kuishi kwenye dunia halafu upingane na mifumo ya dunia inavyotaka, hili ndio tatizo pia linawasumbuwa sana waislamu.
Mkuu Dr Matola PhD mbona kama unachanganya madesa na unaji contradict pia. Yaani unafahamu kuwa dini ni utapeli halafu bado unakubaliana na utapeli?

Ukijitambua tu! Utaweza kuishi fresh bila kupingana na hiyo mifumo ya dini na dunia. Kumbuka Kuna Imani nyingine za dini zaidi ya ukristo na uislamu kama Buddha n.k

Kwa kumalizia haupo sawa kwa kuwatupia lawama waislamu kwa sababu wewe ni mkristo. Utajifunza na utaelewa taratibu sababu hata mimi nilikuwa na mawazo kama yako kabla sijaamka katika usingizi mzito. Ukiamka utatambua na utakuwa ndio ukombozi wako wa fikra.
 
Uko sahihi hakuna baba mjinga na mpumbavu kama mleta mada kuzuia watoto kutumia their right of freedom of worship

Huo ni Unyanyasaji wa watoto na kuvunja haki za mtoto
Sisi wazazi ndio tunaobaka haki zao kwa kwenda kuwabatiza wakiwa wadogo je una uhakika kama alitaka kuwa MKATOLIKI au kumpeleka madrasa kwenda kusoma yale maandishi kama tangawizi.We unafikili hao wanaoitwa waislam jina wanatoka wapi? Ni matokeo ya kulazimisha watoto kwenye imani wakiwa wadogo.
 
Mkuu ulianza kukwepa jumuiya 🤣🤣 sasa unaanza kuwachomoa madogo !
Kikubwa watoto wawe na utu na maadili mema ndo muhimu
Utu na maadili unatokana na malezi ya mzazi.

Mtu ndio aliyeanzisha dini, sasa inakuaje kitu ambacho kimechelewa kuja kiwe na umuhimu kiasi kuonekana bila hicho maisha hayawezekani?

Zipo rekodi za mashehe waliokuwa wanawafanyia ulawiti watoto ambao walipelekwa madrassa kusoma dini.

Dini ni upuuzi, upuuzi unaotakiwa kukemewa.
 
Role ya maombi ni nini hasa ? Mtu mfano anasali Rozali mara hamsini akishika Rozali akisali .

Kazi ya maombi hayo ya Rozali ni nini? ya kusali Rozali sala ndefu vile huwa ni kwa ajili ya nini hasa na iwe nini? Labda baada ya sala zilr ndeefu

Naomba wakatoliki tu wajibu hili
 
Dini pia n fursa vip sasa kama ndio kina bulldoza wajao?
Wape urisi wa imani wakijitambua wataamua kama ulivyoamua.
 
Islamic knoledge, binadamu smart unapaswa kusoma vitabu tofauti.
Kusoma sio ishu, ishu ni kuvipima kwa logic na kuvielewa.

Je hiyo kitu mnayo?

Sasa kitabu page ya kwanza tu unafungua kinakuambia kuna nyoka alikuwa akiongea na watu akawashawishi wale tunda......

Bado tu unapata spirit ya kuendelea kusoma kwa kuamini hiyo story ni legit?
 
Kusoma sio ishu, ishu ni kuvipima kwa logic na kuvielewa.

Je hiyo kitu mnayo?

Sasa kitabu page ya kwanza tu unafungua kinakuambia kuna nyoka alikuwa akiongea na watu akawashawishi wale tunda......

Bado tu unapata spirit ya kuendelea kusoma kwa kuamini hiyo story ni legit?
Kwani wanyama au ndege hawawezi ongea lugha za binadamu ? Mbona ndege kasuku anaweza
 
"Haya maneno aliyaongea bro mmoja ila kwa sasa is no more Ila nyakati zake za mwisho alimkiri Mungu "
 
Baada ya kuona ujinga mambo ya makanisani nimeona nipige marufuku watoto wangu kuwa brain washed na mambo ya kanisa na aina zote za imani badala yake nawafùndisha life manners mwenyewe.Kama wataamua kwenda kwenye imani yoyote wafanye baada ya kutoka kwenye himaya yangu.
Mke wangu kwa vile tulikutana ukubwani mi nimeachana nae aendelee kuwa nyumbu wa huu ujinga wa kuwa na matumaini ya kwenda mbinguni.
SERA YANGU:Mbingu yangu ni hii good life niliyo nayo kwa sasa nikifikwa na majanga basi itakuwa jahannam yangu.
KAMA UNAUNGANA NA MIMI GONGA LIKE TUJUANE
Uko vizuri mkuu. Mti huangukia ulikoinamia. Hao watoto usijidanganye eti ni wa kwako. Hakuna kitu kama hiko. Wewe unawajibika tu kwa kuwazaa na kwa Sheria unapaswa kuhakikisha wanapata huduma ili waendelee kuishi.
Kumbuka Hao watoto ni watu kama ulivo wewe, na wakikua Wataamua kivyao- usiwalazimishe wawe kama wewe kwani hata wewe hakuna aliyekulazimisha uwe kama ulivyo na zaidi hakuna binadamu chini ya hili jua aliye mtaalam wa life manners -HAKUNA. Mazingira ndo mwl. Mkuu wa Life manners. Mbona ww hauishi kama alivyoishi baba au babu yako? Unadhani walikuwa hawana akili?
Endelea kama unavyosema ila usiwaburuze na wengine wawe wafuasi wako.
 
Kwenye jamii siku zote la muhimu ni kuishi tu vizuri na watu inatosha.

Kuna wanaojifanya kuijua dini nje ndani ila matendo na maneno yao mbele ya jamii yanashangaza. Kwao, dhuluma, dharau, jeuri, kujibu na kutenda watu vibaya ni vitu vya kawaida sana kuvitenda.
 
Imani inaponya.
Imani inaponya hayo ni maneno yaliyosemwa na mchungaji ambaye kabla ya kuvuka barabara anaangalia kushoto na kulia.

Kabla ya kulala anashusha chandarua na kama haitoshi anachoma kabisa na dawa ya kuua.

At the same time getini kuna mlinzi na ndani amefanya installation ya CCTV Camera in case you want to sneaky around.

Halafu chumbani ana safe box ambayo humo kaweka Glock 19 ambayo tayari iko loaded.

Then akija madhabahuni anasema imani inaponya.

Kama imani inaponya basi kusingekuwa na fire extinguisher makanisani.

Last year tulikuwa na Pastor Makenzie aliyewapa imani hiyo waumini wake na mwisho wakafa kwa ujinga wao.

Tukienda mbali na hizi modern church nowdays zina miradi hadi ya kumiliki hospitali. Hospitali za nini wakati imani inaponya?

Na mbaya zaidi kwenye hizo hospitali hauwi treated for free, sasa hiyo imani inayoponya huwa inaponya nini?
 
Back
Top Bottom